Kama nimekosea nishaurini jamani

Kama nimekosea nishaurini jamani

[FONT=trebuchet
ms]Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye
ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last
time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na
mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama
tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe?
Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati
hupo hayakuhusu....

Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende
ukakue kwanza[/FONT]

nakushukuru mtu mkubwa ila sio lazima ku comment uzi wa kitoto.ungepita tu
 
Yakkkkkhhhhhh

Yaani uache kwa maneno ya watu ambao hawakupunguzii wala kukuzidishia???

Huyo bi harusi kama she's a woman enough si aje akwambie mwenyewe kuwa hakutaki......

Kama hao marafiki wanauoendo sana na bibi harusi kwa nini wasingemsaidia wakasimamie mpaka kuwapa shida upande wa biharusi????

Hebu nenda kasimamie....ila.bi harusi akukuketea shombo mpe za uso afterall wao ndio wamekufata na si wewe ulowafata.....

Acha bibi harusi akukatae mwenyewe na usimpe sababu....

asante dia ubinadam kazi
 
hamuendani kivip? ww ndio umemfunika au yy ndio amekufunika? ..........

Grand PA
 
wanawake tuna mambo as long as
maharusi bado wanakuhitaji wewe simamia coz utawapa sababu gani ya
kuacha kama hadi mama mtu amekuomba,ukiacha kusimama ndio itakuwa furaha
yao

asante mkuu. nafikilia niwambie nasafiri
 
Usipende kusimamia
harusi za watu...wanasema ni nuksi... utakuwa huolewi...maana kama huko
under 30 afu umeshakuwa matron mzoefu ina maana unapenda sana
shughuli...

Nijuavyo mimi matron anatakiwa awe tayari kwenye ndoa...

Mi sijawahi kuwa matron na sijawai kuwaza eti ntakuja kukosa matron kisa
nimetolea watu nje waliponiomba niwe msimamizi...

tena umesema la maana kuna mtu alinambia ni nuksi. ingawa si simamii mara nyingi. ni kama mara 5
 
Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe? Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati hupo hayakuhusu....

Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende ukakue kwanza


petcash, ukisoma vizuri utagunduo huyu mdada ni mwenye majivuno sana na ingawa amejaribu kuweka mada aonekane kaonewa lakini nahisi huyu dada anatatizo kwenye public relations hasa ukirefer alisema anapenda sherehe maana ndo zake hizo kusimamia sasa huenda pozi alizoweka kwenye hyo picha iliwakera watu.ila dada ananata.
 
asante mkuu. nafikilia niwambie nasafiri

kama utasafiri kweli hapo sawa lakini kama hutasafiri kweli,itabidi uishi maisha ya kujificha sana coz wakijua upo italeta picha nyingine tofauti kabisa hasa kwa mama mtu na bwana harusi wasiojua ukweli
 
Sijaona kipya zaidi ya kujisifia tu.....

Zamani mtu anayesimamia send off au harusi alikua ameolewa

wewe hujaolewa, wewe ni Nung'ayembe
 
Lakini unawezaje kusimamia za wenzako wakati hauna ndoa?huoni wewe ni kimbelembele sana ndo maana unatumika?
 
petcash, ukisoma vizuri
utagunduo huyu mdada ni mwenye majivuno sana na ingawa amejaribu kuweka
mada aonekane kaonewa lakini nahisi huyu dada anatatizo kwenye public
relations hasa ukirefer alisema anapenda sherehe maana ndo zake hizo
kusimamia sasa huenda pozi alizoweka kwenye hyo picha iliwakera
watu.ila dada ananata.

kama huna la kusema pita sio lazima
 
Mmmhhh
Yaani wanawake bwana tuna mambo. ..hivi hapo hao mashost wanaona wivu tu hakuna kingine!

Kwa maoni yangu
Usiache, just do it!ukiacha watafurahi!

Najua utakuwa umemzidi bi harus muonekano mzuri!!!!!
Hahaa haaa
Jus do it

asante dia maana wengine wamenitukana sana utafikir nimewalazimisha.watu bana.
 
Na yeye bi harusi ni
mzembe, hivi nani siku hizi anachaguliwa maid of honor? Hao rafiki zake
hakuwaona hadi waje wakuombe wewe?? Wewe shoga angu kasimamie vizuri tu
coz hiyo familia ndo wamekuomba. So wewe nenda vizuri tu, na make sure
unaitendea haki hiyo shughuli. Hahaha haya mambo bana unashangaa kila
mtu anawish maid of honor ndo angekuwa mtarajiwaa mwee

shoga angu umenichekesha sana. u hav made my day
 
Yakkkkkhhhhhh

Yaani uache kwa maneno ya watu ambao hawakupunguzii wala kukuzidishia???

Huyo bi harusi kama she's a woman enough si aje akwambie mwenyewe kuwa hakutaki......

Kama hao marafiki wanauoendo sana na bibi harusi kwa nini wasingemsaidia wakasimamie mpaka kuwapa shida upande wa biharusi????

Hebu nenda kasimamie....ila.bi harusi akukuketea shombo mpe za uso afterall wao ndio wamekufata na si wewe ulowafata.....

Acha bibi harusi akukatae mwenyewe na usimpe sababu....

umenichekesha sana.ila nashukuru nimepata sababu maana nilitaka kukataa tangu mwanzo.
 
Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe? Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati hupo hayakuhusu....

Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende ukakue kwanza

Nadhani umemsoma vizuri. Huyu hafai kabisa kuwa matron (ingawa sioni umuhimu sana wa hayo mambo).
Mswahili mswahili mnoo!!!
 
Nijuavyo mimi matron huwa rafiki wa karibu ambaye mnafahamiana inakuwa rahisi kukucare.

Juzi kati nilihudhuria harusi moja hivi, bwana harusi alichagua wapambe kutokana na urafiki baina yake na huyo mpambe ambayw tayari ameashaoa. Ila mke wa huyo mpambe hana ukaribu na bi harusi nahisi walianza kufahamiana baada ya bwana harusi kutaka kuoa. Basi sasa yaan kwanza mpambe wa bi harusi alikuwa kivyakevyake, hayuko karb na bi harusi, pia vazi lilikuwa tofauti sana. Hata ukioneshwa picha hutagundua kuwa alikuwa mpambe wa hi harusi.

Wadada chagueni wapambe ambao no mashost zenu walau mtacheka mkikonyezana

Kwako mtoa mada, kubali kwenda kusimamia make ulishaikubalia familia kwa ujimla. ila siku nyingine uwe inasimamia harusu/sherehe ambazo unafajamiana na bi harusi...ujifunze
 
Back
Top Bottom