Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Mpwa unamaanisha nini ukisema umeila bila Dad? Umekua kimya sana sana
Xmas lazima nirudi nyumbani hata nikiwa kona gani ya dunia.Dad amefariki mwaka jana,alikuwa mtu muhimu sana,kwa mara ya pili tumekutana bila yeye kuwepo na tunajitahidi kuzoea lakini wapi? It is very painful.But we gonna cope Elli.
 
Last edited by a moderator:
Xmas lazima nirudi nyumbani hata nikiwa kona gani ya dunia.Dad amefariki mwaka jana,alikuwa mtu muhimu sana,kwa mara ya pili tumekutana bila yeye kuwepo na tunajitahidi kuzoea lakini wapi? It is very painful.But we gonna cope Elli.

Pole sana. Ni vigumu kuzoea lakini mungu ni wa ajabu utayashinda haya. Mi ni zaidi ya miaka 13 sasa.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana. Ni vigumu kuzoea lakini mungu ni wa ajabu utayashinda haya. Mi ni zaidi ya miaka 13 sasa.
Can't imagine it is to long MANI.It means for 11 years I have been enjoying the favour of having my Dad, while you have none. For sure I may not be grateful. But I am praying a lot to gain the faith. Merry Xmass.
 
Last edited by a moderator:
Can't imagine it is to long MANI.It means for 11 years I have been enjoying the favour of having my Dad, while you have none. For sure I may not be grateful. But I am praying a lot to gain the faith. Merry Xmass.

Thanks. There is a saying which goes "I cried I have no shoe till I met a man without a leg".
 
Last edited by a moderator:
Pole sana. Ni vigumu kuzoea lakini mungu ni wa ajabu utayashinda haya. Mi ni zaidi ya miaka 13 sasa.

Ni vigumu sana kuzoea tena ikiwa ndio imetokea siku za karibuni.Mie huu mwaka wa 10 tunasheherekea sie wenyewe ila Thanks to God tumeishakubali matokeo japo mambo hayawi kama alivyokuwepo yeye
 
Mkuu Elli mimi nitakuombea wewe pamoja na wapwa zangu wote hapa jamvini Muumba wetu awajaalie muone mwaka mpya wa 2015. Walidhani watakuja hapa na kuliteka nyara hili jamvi lakini sasa watakuwa wamebaini kwamba hali iko tofauti na walivyoitegemea. Hongera kwa wote ambao bado mnachangia bila kukosa katika jukwaa letu lile tukufu hapa jamvini.

Naona umeliona hilo la mpwa wetu everlenk kuwa na akili za kuzaliwa, akili za maisha na akili za shule pia. Ila nawaomba wapwa zangu wote kama mtaamua kukamata masanga katika sherehe za kuuaga mwaka basi muhakikishe kuna designated driver huyu atakuwa anakunywa vyoda tu ili kuhakikisha safari yenu ya kurudi maskani inakuwa salama salmini. Haya mpwa mie niko hapa naflip channels kama tano ili kuangalia mechi mbali mbali za EPL zinazoendelea sasa hivi lakini zaidi nipo kwenye mechi ya MANU na New Castle. Uwe na jioni njema Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Elli. Mpwa wangu bila shaka maombi yako yamejibiwa kwa upande flani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Elli mimi nitakuombea wewe pamoja na wapwa zangu wote hapa jamvini Muumba wetu awajaalie muone mwaka mpya wa 2015. Walidhani watakuja hapa na kuliteka nyara hili jamvi lakini sasa watakuwa wamebaini kwamba hali iko tofauti na walivyoitegemea. Hongera kwa wote ambao bado mnachangia bila kukosa katika jukwaa letu lile tukufu hapa jamvini.

Naona umeliona hilo la mpwa wetu everlenk kuwa na akili za kuzaliwa, akili za maisha na akili za shule pia. Ila nawaomba wapwa zangu wote kama mtaamua kukamata masanga katika sherehe za kuuaga mwaka basi muhakikishe kuna designated driver huyu atakuwa anakunywa vyoda tu ili kuhakikisha safari yenu ya kurudi maskani inakuwa salama salmini. Haya mpwa mie niko hapa naflip channels kama tano ili kuangalia mechi mbali mbali za EPL zinazoendelea sasa hivi lakini zaidi nipo kwenye mechi ya MANU na New Castle. Uwe na jioni njema Mkuu.

Mpwa Nashukuru sana sana, Nipo kwa Mom nimetulia na.wajukuu zake tu. Ile kitu sipati kabisaaaa ila Asante kwa kuwakumbusha na wengine. Blessed
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Can't imagine it is to long MANI.It means for 11 years I have been enjoying the favour of having my Dad, while you have none. For sure I may not be grateful. But I am praying a lot to gain the faith. Merry Xmass.

Pole sana sana I can feel the pain. Marehemu baba yangu alifia mikononi mwangu May 2003! Usiku wa saa nane you can imagine Nurse Anakuja anasema huyu Basi mfunikeni vizuri!!! Mmmghh
 
Last edited by a moderator:
Mpwa Nashukuru sana sana, Nipo kwa Mom nimetulia na.wajukuu zake tu. Ile kitu sipati kabisaaaa ila Asante kwa kuwakumbusha na wengine. Blessed

Mpwa mi nimesubiria jibu la swali langu hadi nasinzia sasa hivi
 
Umemalizaaa R.I.I kama ukisepa ila lama utabaki endelea kutoa maviews na manews humu ndani. Na mashairi pia. Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom