Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Aseee!!!Hapa kuna ka ukweli hivi.........................
Duh!!
Suzy bana, asee, pigania ndoa yako..........ikigoma iachie iende na mkondo wa maji taka!!! damn!
Aseee!!!Hapa kuna ka ukweli hivi.........................
mimi hata sishangai mambo ya kudai pesa wanaume wamekua "MARIOO". Nina rafiki yangu nae anaishi nchi ya jirani, mume yuko bongo na ni mfanyakazi pia. mke ana rotation ya 9 weeks kazini, 3 weeks likizo, utashangaa akija bongo, hizo 3 weeks, analipa madeni kibao yameachwa dukani na wapi sijui. halafu akiondoka after likizo, ni kwamba anaacha pesa za matumizi ya nyumbani kwa 9 weeks ambazo hatakua nchini, hii ni pamoja na luku, bill ya maji, mshahara wa maid, fuel ya gari ambalo mtumiaji ni mume, na upupu wote mnaojua wa ndani. ana mume huyu ambaye ni muajiriwa pia. nilisema mimi hadi shoga kaninunia kiaina, maana mie niliona ni u stupid na ushenzi fulani. huyo mwanaume kazi yake as a man ni kukuparamia tu au? ujinga mwingine tunaendekeza sisi wanawake, then baadaye kuacha inakua tatizo. wanaume wa siku hizi nao wakipata mteremko ni kwamba gear inawekwa free ateremke taratibu. hivyo huyu baba kudai pesa kwa mkewe, huenda mke alizoea hizo wakati wa malovi davi ya nguvu, sasa yakipungua unaanza kuona kero.
Ladies naomba tusiwazoeshe wanaume tabia ambazo hatutaweza kuendelea nazo. from day one, mwanaume ajue wajibu wake ndani ya nyumba, nikifanya mimi namsaidia tena haste haste. baba ndio kichwa cha nyumba na sio mama, yeye ndio akune kichwa tule, tuvae na tulale kwa raha.
kumbe kuna wanaume wanapenda dezo eeeh yaani unaishi na mume ndani then mabill yote unacleaer wewe hata ukiwa nje ya nchi mabill yanakufata? Hii kali
heri mtu uzae watoto wako ukae kwenu
Aseee!!!
Duh!!
Suzy bana, asee, pigania ndoa yako..........ikigoma iachie iende na mkondo wa maji taka!!! damn!
Mmoja kamchoka mwenzake...for whatever reason!This means it is over between us for long time therefore we don't have to interfere each other in our life!
Hivi na ukikuta mail kama hii unafanyaje???
Bigirita unakubaliana na DA kuwa kuna kitu cha ziada hapa eh?Aseee!!!
Duh!!
Suzy bana, asee, pigania ndoa yako..........ikigoma iachie iende na mkondo wa maji taka!!! damn!
Mmoja kamchoka mwenzake...for whatever reason!
Mbona unanibatiza ndugu vipi aisee???
Bigirita unakubaliana na DA kuwa kuna kitu cha ziada hapa eh?
Eh DA, usinambie kuwa wewe ndo Suzzy? !
Na hapo mimi ndo ninaposemea kuwa inaelekea toka mwanzo dada wa watu alikuwa analipa kila kitu ndani ya nyumba
Kutegemea jamaa abadilike katika kipindi kifupi ni issue
Na kama amemchoka sioni sababu ya kushikilia kulipana au kudaiana mambo ya bills
Hilo nalo nenooo!!!!!!!!!!!!!
Nimekugongea Like ya nguvu
Asante sana
Hata yangu umeiona???
sijacheka siku nyingi ila hii thread imenifurahisha jamani
yaani mama unasafiri mzee yupo home anakusanya bill za maji,umeme ,kingamuzi, watoto walitoka out wkend flani uje kuclear
kwanini jamani? kisa?
bado simu unapewa masaa ya kumpigia?
hapa ndo utaona kuna wanaume wa aina nyingi tena wabaya zaidi ya wa kwako
ngoja nimsamehe tu yule sharo wangu hana ubaya huu loh
ahaa sis pamoja na usharo wake huu ukatili hana bwana khaaaaHa ha ha Smile bana si jana ulisema humtaki tena unatafuta Babu kama Asprin na DC???
Yeah nimeiona
Ila tusichakachue siredi ya watu hapa