Mbalo
Member
- Feb 28, 2016
- 30
- 6
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mtashinda !!!!!!!!!insha allah ccm tutashinda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] mtashinda !!!!!!!!!insha allah ccm tutashinda.
Sure kabisa katiba mpya ndo itakuwa suruhisho la yoteSio umeya tu,hata Zanzibar mpaka sasa CCM ndio washindi.
Tutakapoweza kuing'oa CCM madarakani,na ni baada ya kupata katiba mpya pendekezwa ndipo tutakapoweza kufanya ya maana,tofauti na hapo ni ngumu kuzuia figisu figisu za CCM.
Habari wanajamvi,leo nikiwa nimetoka k,koo naelekea zangu makumbusho ofisini kwangu,nilikuwa kwenye daladala.mara kukazuka story kuhusiana na meya wa jiji la DSM,kuna jamaaa kaongea jambo ambalo imenibidi niamini kwa kiasi fulani hasa kutokana na figisufigisu zilizotokea.jamaa anadai ya kwamba ccm wana mpango wa kuwanunua madiwani 11kutoka ukaww ili wampigie kura mgombea wa ccm.jamaa akaenda mbali zaidi na kusema hadi sasa wamefanikiwa kurubuni na kuwapa pesa madiwani 6 bado wa5 ili kazi iishe na ndipo waitishe uchaguzi,inasemekana wanachelewesha kwa sababu wanataka wahakikishe wamewapata hao wajumbe 11 na ndipo waitishe uchaguzi,,sasa kama ni kweli hizo habari basi ccm hawawezekani na ni bora mtu ufanye shughuri zako za kimaisha kuliko kufuatilia siasa za africa maba zote zipo sawa,laaana hii sijui tuliachiwa na nani ya kutofuata democracy
Tatizo sio kuing'oa CCM ,,, ishu ni haki itendeke...hata kama itabaki milele ila kwa haki hakuna tatizo ,,,,Sio umeya tu,hata Zanzibar mpaka sasa CCM ndio washindi.
Tutakapoweza kuing'oa CCM madarakani,na ni baada ya kupata katiba mpya pendekezwa ndipo tutakapoweza kufanya ya maana,tofauti na hapo ni ngumu kuzuia figisu figisu za CCM.
Habari wanajamvi,leo nikiwa nimetoka k,koo naelekea zangu makumbusho ofisini kwangu,nilikuwa kwenye daladala.mara kukazuka story kuhusiana na meya wa jiji la DSM,kuna jamaaa kaongea jambo ambalo imenibidi niamini kwa kiasi fulani hasa kutokana na figisufigisu zilizotokea.jamaa anadai ya kwamba ccm wana mpango wa kuwanunua madiwani 11kutoka ukaww ili wampigie kura mgombea wa ccm.jamaa akaenda mbali zaidi na kusema hadi sasa wamefanikiwa kurubuni na kuwapa pesa madiwani 6 bado wa5 ili kazi iishe na ndipo waitishe uchaguzi,inasemekana wanachelewesha kwa sababu wanataka wahakikishe wamewapata hao wajumbe 11 na ndipo waitishe uchaguzi,,sasa kama ni kweli hizo habari basi ccm hawawezekani na ni bora mtu ufanye shughuri zako za kimaisha kuliko kufuatilia siasa za africa maba zote zipo sawa,laaana hii sijui tuliachiwa na nani ya kutofuata democracy
GaidiDaaahh wakiwanunua hao vijana poa ila UKAWA waandae kalamu maalum baada ya kuwagundua dawa yao ndogo sana na familia zao
True , big upNASHUKURU SANA KWA TAARIFA YAKO HIYO, KWANI SASA TUNAJUA WAZI WAKISHINDA CCM BASI UKAWA AMA BAADHI YA MADIWANI WAMENUNULIWA. NAMKUMBUKA MWALIMU WANGU ALIYEPENDA KUSEMA DARASANI "KITENDO CHA KUFAMU TU, BASI NI USHINDI MKUBWA SANA". TUMEFAHAMU WAKISHINDA TU CCM TU TUNATHIBITISHA NA MAAMUZI TUTAYAFANYA HATA MIAKA 2000.
MWISHI HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA, YANA MWISHO HAYA KWANI HITLA, IDDI AMINI, SADAM, GADAFFI (PAMOJA NA KUWA NILIMPENDA SANA) WAPO WAPI LEO? CCM NI HILTER, AMANI, SADAM NA GHADAFFI IN THE FORM OF CHAMA.
My dear Mgibeon ,mwenzio nimekaa kimya tu naangalia maana hili la Zanzibar nilitegemea ndio tutaona haki ikitendeka lakini kiukweli CCM hawako tayari kuachia nchi kivyovyote vile.Hivi Ni Kweli tunaweza kuzeeka bila Kuona MABADILIKO yeyote? Hii kitu inauma sana, binafsi nilikua naamini kizazi chetu Ndio Muda muafaka wa kufanya MABADILIKO ya Kweli Kama kizazi cha Miaka ya 1950s-1960s.. Ila kwa jinsi upepo unavyovuma Ni Kama vile Hakuna lolote litakalofanyika, hii kitu inaniuma sana sio Siri.
Hata wakati wa Meya wa Kinondoni waliwahonga na bado wakapigwa ndiyo hasira yote hiyo.Zile pen zetu zitatumika.Na pesa ya hongo itpiaipia Hoteli kwa ajili ya madiwani wakienda kupiga kura wake na kufanya semina.Hapo wamekuwa piHabari wanajamvi,leo nikiwa nimetoka k,koo naelekea zangu makumbusho ofisini kwangu,nilikuwa kwenye daladala.mara kukazuka story kuhusiana na meya wa jiji la DSM,kuna jamaaa kaongea jambo ambalo imenibidi niamini kwa kiasi fulani hasa kutokana na figisufigisu zilizotokea.jamaa anadai ya kwamba ccm wana mpango wa kuwanunua madiwani 11kutoka ukaww ili wampigie kura mgombea wa ccm.jamaa akaenda mbali zaidi na kusema hadi sasa wamefanikiwa kurubuni na kuwapa pesa madiwani 6 bado wa5 ili kazi iishe na ndipo waitishe uchaguzi,inasemekana wanachelewesha kwa sababu wanataka wahakikishe wamewapata hao wajumbe 11 na ndipo waitishe uchaguzi,,sasa kama ni kweli hizo habari basi ccm hawawezekani na ni bora mtu ufanye shughuri zako za kimaisha kuliko kufuatilia siasa za africa maba zote zipo sawa,laaana hii sijui tuliachiwa na nani ya kutofuata democracy
Ni Kweli Mkuu, akija Faizafoxy hapo kwenye Suruhisho atakwambia Ni SULUHISHO.Sure kabisa katiba mpya ndo itakuwa suruhisho la yote
Kwani zile kalamu zao zimezuiliwa?
Usikate tamaa mkuu, kutakucha tu, wanasema kamba hukatikia pabovuHivi Ni Kweli tunaweza kuzeeka bila Kuona MABADILIKO yeyote? Hii kitu inauma sana, binafsi nilikua naamini kizazi chetu Ndio Muda muafaka wa kufanya MABADILIKO ya Kweli Kama kizazi cha Miaka ya 1950s-1960s.. Ila kwa jinsi upepo unavyovuma Ni Kama vile Hakuna lolote litakalofanyika, hii kitu inaniuma sana sio Siri.
Hahaha akisharekebisha post ina-count, anaonekana ana posts nyingi kumbe zaidi ya nusu ni kufanya u-kifimbo chezaNi Kweli Mkuu, akija Faizafoxy hapo kwenye Suruhisho atakwambia Ni SULUHISHO.
Ha ha ha ha ha hA.. Umenikumbusha gazeti la Sani Mkuu.Hahaha akisharekebisha post ina-count, anaonekana ana posts nyingi kumbe zaidi ya nusu ni kufanya u-kifimbo cheza