Elections 2010 Kama ni hivi basi imekula kwetu!!!!

Am a doctor by profession i know what i asked you, and am serious on that. nimefuatilia post zako nyingi. anyway sijui level yako ya elimu , lakini naona unashindwa kuelewa mambo madogo tu! kama hata unashindwa kumuelewa slaa anasema nini, we have to put big question mark! Silaa hajasema mambo hayo yatakuwa tayari within 100days. Anachosema ni kwamba within 100 days mambo yatakuwa kwenye pipeline. sasa unashindwa kuelewa hata hilo ndugu yangu!

Did I mention Slaa peke yake hapo??Au unaona machi yanachotaka kuona?:violin:
 
Swali la kizushi kwa nini thread zako nyingi huwa unajijibu mwenyewe? Tuma ujumbe uliomo kwenye video hii kwa watu 50 wakiwemo waliokutuma waambie



HATUDANGANYIKI TENA
 
Last edited by a moderator:
Sikushangai naona umeamua kua toilet paper na kujisifu kwa kupakwa kinyesi.

Kwinini unazipa popularity na video zake nyingine zilizo Youtube.Safi.Ndugu,haya ni maoni yako.Nayaheshimu.Malezi yangu hayaruhusu kutumia lugha chafu.I don't get angry,I reason with people no matter how poor is their thinking capacity.
 
Nd. Tandale hukuelewa, Dr. hakusema ataleta treni ya umeme ndani ya siku 100 bali baada ya mwaka mmoja wa kuwa Rais ataanzisha mchakato wa kupata treni inayosafiri kwa kasi na ya uhakika kuliko ilivyo sasa. Unashangaa nini? au unafurahia akinamama na watoto wanavyotaabika kwenye usafiri wa sasa. TANZANIA YENYE USAFIRI WA KISASA INAWEZEKANA.

Tusitetee upuuzi,tutoe hoja za msingi.:confused2:
 
Inaumaa sana, pale Unapoona Mtu anaedhaniwa kuwa msomi, anapo tetea Upuuzi akiwa anajua fika ni upuuzi, Anapotumia Majukwaa kama hili, kupotosha, kusingizia, kubatilisha maswala yaliyo wazi kabisa.

Katika ufahamu wangu, waweza kum judge mtu katika Maongezi, Jinsi aongeavyo. hasa kwa level ya kwanza.

Sasa mtu abezae Ahadi za Dr Slaa, zenye Scientific utetezi, sidhani kama yuko sawa, Ifike mahala Swala la Utaifa, litetewe kitaifa, Hana Maana yeyote apotoshae hili. Nationalism jamani TUNAKWENDA WAPI???? :confused2:
 
Am a doctor by profession i know what i asked you, and am serious on that. nimefuatilia post zako nyingi. anyway sijui level yako ya elimu , lakini naona unashindwa kuelewa mambo madogo tu! kama hata unashindwa kumuelewa slaa anasema nini, we have to put big question mark! Silaa hajasema mambo hayo yatakuwa tayari within 100days. Anachosema ni kwamba within 100 days mambo yatakuwa kwenye pipeline. sasa unashindwa kuelewa hata hilo ndugu yangu!


Inawezekana wewe ni daktari wa ujinga au upofu!Kwani kama unashindwa kunakiri jina la Slaa na ukaliandika Silaa utaweza vipi kutabibu wenye magonjwa ya kweli!?BIG Q-mark!
 
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????

Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.
Kwa maswali mengi namna hii Mkuu inaelekea umeamka na ndoto mbaya tu, kapate Safari ya moto mchana ili upate majibu!
 
Inawezekana wewe ni daktari wa ujinga au upofu!Kwani kama unashindwa kunakiri jina la Slaa na ukaliandika Silaa utaweza vipi kutabibu wenye magonjwa ya kweli!?BIG Q-mark!

Maswali mazito.:confused2:
 
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????

Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.

Da hii kali bana, humu kumejaa uongo na ukweli, it is better ukawa open. Nani kasema ataleta train ndani ya siku 100 za kuwa ikuluni. EBOOOO!!!!!!!!!!!! Usitufanye mabwege kama ulivyo bana.... tunafuatilia hizo hotuba.
 
CCM itapita kwa kishindo.Indiketa iliwaka uchaguzi wa serikali za mitaa.Tz haina swing voters.

Asante mkuu kada namba moja wa ccm uliyetumwa kukatisha tamaa wamependa mabadiliko na maendeleo ya nchi yetu nzuri Tanzania. Endelea kujidanganya na matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa ulojaa rushwa na hujuma tele, kumbuka pia wananchi walikuwa hawana hata idea kama mkombozi Dr. Slaa ataingia kwenye kinyang'anyiro cha urais, jibu zuri utalipata october 31.
 
Inaumaa sana, pale Unapoona Mtu anaedhaniwa kuwa msomi, anapo tetea Upuuzi akiwa anajua fika ni upuuzi, Anapotumia Majukwaa kama hili, kupotosha, kusingizia, kubatilisha maswala yaliyo wazi kabisa.

Katika ufahamu wangu, waweza kum judge mtu katika Maongezi, Jinsi aongeavyo. hasa kwa level ya kwanza.

Sasa mtu abezae Ahadi za Dr Slaa, zenye Scientific utetezi, sidhani kama yuko sawa, Ifike mahala Swala la Utaifa, litetewe kitaifa, Hana Maana yeyote apotoshae hili. Nationalism jamani TUNAKWENDA WAPI???? :confused2:

Njaa ndugu yangu weee njaa haina adabu, unaweza kuta anawekwa mjini kwa pesa za kifisadi pia, but mwisho wao unakuja october 31 cha moto watakiona.
 
Heri yake aliyesema mke wa rais hatumii fweza za walipa kodi bali kutoka mfuko wa rais. Shehe Yahaya yuko wapi?
 
Uko nje ya topic

37291_1474883921209_1507034707_31191571_7753096_n.jpg
 
Back
Top Bottom