TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #21
Am a doctor by profession i know what i asked you, and am serious on that. nimefuatilia post zako nyingi. anyway sijui level yako ya elimu , lakini naona unashindwa kuelewa mambo madogo tu! kama hata unashindwa kumuelewa slaa anasema nini, we have to put big question mark! Silaa hajasema mambo hayo yatakuwa tayari within 100days. Anachosema ni kwamba within 100 days mambo yatakuwa kwenye pipeline. sasa unashindwa kuelewa hata hilo ndugu yangu!
Did I mention Slaa peke yake hapo??Au unaona machi yanachotaka kuona?:violin: