Elections 2010 Kama ni hivi basi imekula kwetu!!!!

These rude exchanges between you JF members are not helpful in resolving issues before us.
 
These rude exchanges between you JF members are not helpful in resolving issues before us.

To me it justifies what I have been thinking about those who are calling themselves activists in this country.:confused2:
 
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????

Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.



Nimejaribu kukusoma nikashindwa kukuelewa lkn baadae nimekupata.Unajua ktk viwango vya akili kuna :- Akili za kuzaliwa ,akili za kukua, na akili za kulazimisha sasa na wewe nimejaribu kukupachika ktk mojawapo za hizo. Lkn kabla ya kufika huko napenda nikuambie hili; Enzi zile za zamani kule kijijini kwetu watoto wote walijua wakina mama wanaokota watoto mtoni na sio kuzaliwa na waliamini hivyo na usingeweza kumgeuza mtoto huyo kwa lolote.Kundi hilo la watoto lilipoanza kukua wengine walikuja kujua kwamba watoto wanazaliwa na hawaokotwi kama walivyoambiwa hapo mwanzo lkn wengine waliendelea na imani ileile.Kwa hiyo wazazi kwa wakati ule ilikuwa ndio kipimo cha kujua mtoto amekua na kama walikuwa wanalala nae nyumba moja walimuondoa na kumpeleka kwenye nyumba za vijana (kambi) na kwa yule ambae aliendelea na kuamini kuwa watoto wanaokotwa alindelea kuishi ndani na wazazi wake.Nakama mtoto huyo akiendelea kuamini kuwa watoto wanaokotwa badae walizamika kumuambia ukweli na kulazimisha akili ziingie za kuamini kuwa wototo wanazaliwa kwa sababu kuendelea kuishi kwa wazazi wake ni upungufu wa akili.Wazazi walijua walichokuwa wanakificha kwa wakati huo na walijua wanadanganya ili kupima uelewa wa watoto wao.Sasa na wewe si kushangai sana Baba yako CCM ametudanganya siku nyingi kwa ahadi kemkem na tulishangilia sana na kuweka matumaini kama watoto ktk hapo juu lakin hakuna hata kimoja kilichotekelezwa, sisi wengine tumekua na tumejua kwamba baba yako ni mwongo maana kila tukichungulia tunaona yeye ndio ananufaika pamoja na wale aliowaita wangu wa karibu, wanangu, mke wangu nk.Na hivi karibuni kuna tangazo limetoka kwa baba yako CCM kwamba URAISI NI WA KIFAMILIA .Sasa najua na wewe siku moja utalazimishwa kukua na huyo baba yako na utakuja tu kwenye kambi ya walio na akili za kuzaliwa.Mpaka hapo nadhani utakuwa umenielewa au sio MKUU.
 
Nimejaribu kukusoma nikashindwa kukuelewa lkn baadae nimekupata.Unajua ktk viwango vya akili kuna :- Akili za kuzaliwa ,akili za kukua, na akili za kulazimisha sasa na wewe nimejaribu kukupachika ktk mojawapo za hizo. Lkn kabla ya kufika huko napenda nikuambie hili; Enzi zile za zamani kule kijijini kwetu watoto wote walijua wakina mama wanaokota watoto mtoni na sio kuzaliwa na waliamini hivyo na usingeweza kumgeuza mtoto huyo kwa lolote.Kundi hilo la watoto lilipoanza kukua wengine walikuja kujua kwamba watoto wanazaliwa na hawaokotwi kama walivyoambiwa hapo mwanzo lkn wengine waliendelea na imani ileile.Kwa hiyo wazazi kwa wakati ule ilikuwa ndio kipimo cha kujua mtoto amekua na kama walikuwa wanalala nae nyumba moja walimuondoa na kumpeleka kwenye nyumba za vijana (kambi) na kwa yule ambae aliendelea na kuamini kuwa watoto wanaokotwa alindelea kuishi ndani na wazazi wake.Nakama mtoto huyo akiendelea kuamini kuwa watoto wanaokotwa badae walizamika kumuambia ukweli na kulazimisha akili ziingie za kuamini kuwa wototo wanazaliwa kwa sababu kuendelea kuishi kwa wazazi wake ni upungufu wa akili.Wazazi walijua walichokuwa wanakificha kwa wakati huo na walijua wanadanganya ili kupima uelewa wa watoto wao.Sasa na wewe si kushangai sana Baba yako CCM ametudanganya siku nyingi kwa ahadi kemkem na tulishangilia sana na kuweka matumaini kama watoto ktk hapo juu lakin hakuna hata kimoja kilichotekelezwa, sisi wengine tumekua na tumejua kwamba baba yako ni mwongo maana kila tukichungulia tunaona yeye ndio ananufaika pamoja na wale aliowaita wangu wa karibu, wanangu, mke wangu nk.Na hivi karibuni kuna tangazo limetoka kwa baba yako CCM kwamba URAISI NI WA KIFAMILIA .Sasa najua na wewe siku moja utalazimishwa kukua na huyo baba yako na utakuja tu kwenye kambi ya walio na akili za kuzaliwa.Mpaka hapo nadhani utakuwa umenielewa au sio MKUU.

A crap.Can't solve the nation's problems.:confused2:
 
Back
Top Bottom