TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Hivi ni kweli kuna watu bado wanauza kura zao hapa Tanzania??????
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????
Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.
Hivi ni kweli kuna wanasiasa viongozi mabingwa wa kufoji risiti????
Na ni kweli kwamba siasa zetu zimetawaliwa na blah blah kuliko ishu za msingi???
Hivi jamani ni kweli siku 100 zinatosha kuwa kupata treni ya umeme????
Vipi kuhusu fly overs!!!!!???Na ni kweli kwamba Tanzania siasa ni mchezo wa kuigiza????
Na wale jamaa hivi kweli walimaanisha wanachosema???Kwamba kuna watu wananunua watu kuchafua watu?????Kwa faida ya nani????Hivi tunaweza kuwa na kinga dhidi ya tatizo la kiuchumi la dunia pindi litokeapo????
Hivi kweli kuna mtu mkamilifu???Mbona wanajiita wakamilifu????Kuna watu wamekula fedha ya kusaidia yatima Tanzania???Laaaaaaaaaana!!
Jioni ina maswali sana!!
Wikendi njema ndugu zangu.