Ungemkata kidevu_hao ndio wanaochezea kodi zetu.
Huu umasikini utawapeleka kubaya hawa mabinti!
How on earth money has ever bought love!!..thinking loud!
Huu umasikini utawapeleka kubaya hawa mabinti!
How on earth money has ever bought love!!..thinking loud!
It me, kumbe na wewe unakuja huku:spy:
Hapa ndio maskani mama..
Nice to meet u here!
Tell 'em.
To me they are just modern day courtesans.
Why not call them paramour too dude?
Kuna mtu mmoja tu duniani ananisalute kama mama. Kama ni wewe basi nahama jamvi hadi kwa Le Mutuz.
Ila kubali matokea, na jua haupo peke yako kuna kitu kinaitwa UKIMWI wewe bado upo kwenye Twenties zee lishafikisha fifties or sixties hata likifa halina lilichobakisha wewe unakatika kwenye twenties kwa ajili ya PESA. Bora Binti ajisomee apate elimu yake anunue vyake....................
Ile kampeni ya Tupo wangapi? hivi bado inaendelea?
Who is that buddy?
Just google before you melt away
wazee hawana nguvu za kiume wanahonga just to be loved, vijana tunakula, wake zao, vimada wao na hizo pesa wanazohongwa na sie tunahongwa na vimada wao kupiga kazi all night long!