MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,343
- 11,227
All in all, kumpa mtu gari na apartment haimanishi mtu ana-care. Be careful with your choice of words.
Kuna siku moja tulikuwa tumekaa na mzee mmoja wa makamo hivi kwa jili ya kinywaji jioni, huyu mzee ni mpenda totoz na hela anayo sana tu...tukawa tunazungumzia wazee wa style yake kuwa wamezidi kuhonga mpaka vijana tukitoa visenti vyetu tulivyosevu tunaonekana 'hatukei'! Mzee ni mnene kitambi hichooo....akasema 'look at me...hivi ni msichana gani mzuri kijana atanipenda mimi? its obvious ukiniona na msichana mzuri kijana anataka hela yangu tu, na mimi ninayo...kwa nini nisimpe nami nikapata nitakacho!'....ni kweli, wacha hii mibaba ipendwe tu, inajua kuhonga bana!
Wanasema Wazee kazi ndogo malipo makubwa,wakati vijana kazi kubwa malipo madogo,naamini nimesomeka!
Huu umasikini utawapeleka kubaya hawa mabinti!
How on earth money has ever bought love!!..thinking loud!
I am sorry to say this "kutegemea kuhongwa ni ujinga", hakuna cha girl's power wala nini. kama una power kwa nini usifurukute kidogo ili uweze kujitafutia chako? si ku hizi kuna nafasi kibao za kuwainua wanawake, yaani ukijitahidi kidogo tu unainuliwa. kwa nini usubiri kuhongwa? tena na babu ambaye ana msululu wa wakuwahonga? na ambaye unajua kesho tu akipata mwingine aliyemtamani kama wewe probability ya kukumwaga ni kubwa?
Kisa cha kumuhonga mke wangu nini? Kama ninacho ntampa au tutakula wote. Sihongi kamwe. Uzoefu wangu unaonyesha mtu akizoea kuendesha maisha kwa chenji chenji na kuhongwa hana msaada sana. Zikitetereka kidogo tu naye anahamia boti nyingine. Anyway kila mtu anachaguzi yake ila I want to live the life that I live and 100% I enjoy it...Abeg to differ ooo.
Mwanaume lazima awe na pesa na ahonge. Vijana hongeni wake zenu mtaenjoy duniani.
You live only once boys, make it right.
Snowball we beta look for money oooooooooooo coz love yenyewe haiexist
haswaaaa!!! bora umelikubali hilo!! its care that we are all striving for!
mbona kama wanapenda huko kumiliku haku-last longer? Ni kujidanganya tu rafiki yangu.i used to be like you madam,baadae nikagundua this kujitutumua policy does work with wanaume wetu, mwanaume anapokuhonga honga hivi ndo anajisikia vizuri na kujiona anakumiliki vizuri.
i used to be like you madam,baadae nikagundua this kujitutumua policy does work with wanaume wetu, mwanaume anapokuhonga honga hivi ndo anajisikia vizuri na kujiona anakumiliki vizuri.
Abeg to differ ooo.
Mwanaume lazima awe na pesa na ahonge. Vijana hongeni wake zenu mtaenjoy duniani.
You live only once boys, make it right.
unajisikia raha kumilikiwa?
mbona kama wanapenda huko kumiliku haku-last longer? Ni kujidanganya tu rafiki yangu.
naongelea penzi la mme,mchumba sio la pedesheeeeeee, sasa kama huongwi na mme wako pole sana