Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 6,201
- 12,565
Huu ndio ukweli, haya mengine ni umbea tu wa binadamu
Kama kweli Mungu yupo basi hataki tumjue, wala hataki tumuabudu na hataki tufuate sheria zake.
Angekuwa anataka tumjue angejionesha au aongeonesha ishara kuwa yupo
Angekuwa anataka tumuabudu angetuambia sisi direct, kila kizazi angekiambia kwa wakati wake, tena sasahivi kuna teknolojia habari zake zingesambaa jwa kasi among people. Kuliko kutegemea eti watu wataamini uwepo wake kupitia story za vizazi ambavyo hatuna hata uhakika kama vilikuwepo
Angekuwa anataka tumuabudu angetuelekeza mwenyewe. Leo kuna Ukristo, uislamu, Buddha, Uhindu na bado kuna atheist ambao hawaamini, na Mungu anaonekana hata hajali. Maana angekuwa anajali angekuja kutuambia namna sahihi ya kumuabudu ni ipi, na angekuja kuwasihi wasioabudu waanze kumuabudu
Lakini yupo kimya miaka yote hii, maana yake hataki usumbufu. Tupunguze umbea na kujipendekeza
Kama kweli Mungu yupo basi hataki tumjue, wala hataki tumuabudu na hataki tufuate sheria zake.
Angekuwa anataka tumjue angejionesha au aongeonesha ishara kuwa yupo
Angekuwa anataka tumuabudu angetuambia sisi direct, kila kizazi angekiambia kwa wakati wake, tena sasahivi kuna teknolojia habari zake zingesambaa jwa kasi among people. Kuliko kutegemea eti watu wataamini uwepo wake kupitia story za vizazi ambavyo hatuna hata uhakika kama vilikuwepo
Angekuwa anataka tumuabudu angetuelekeza mwenyewe. Leo kuna Ukristo, uislamu, Buddha, Uhindu na bado kuna atheist ambao hawaamini, na Mungu anaonekana hata hajali. Maana angekuwa anajali angekuja kutuambia namna sahihi ya kumuabudu ni ipi, na angekuja kuwasihi wasioabudu waanze kumuabudu
Lakini yupo kimya miaka yote hii, maana yake hataki usumbufu. Tupunguze umbea na kujipendekeza