Habari za usiku huu ndugu.
Kwenye maisha haya ya kiliberali ili yasonge mbele kila mtu anatakiwa aishi vile anavyotaka. Kimjini mjini wanasema kila mti kimpango wake. Yaani unaishi bila kuuliza uliz maswali ya nani anaishi vipi anakukaje. Sasa jama ndio hivi okay poa tusisimbuane.
Hapa nina funzo kwa vijana, wazee mmeshapitia mengi hata ukijifunza leo haisaidii kitu. Kama kupata umeshapata na kukosa ushakosa. Nimekuwa na marafiki wengi wenye msaada na wale wa kupita tu. Mradi maisha yaende. Baadhi tabia zao zinanikera. Mtu anatafuta pesa zake kwa jasho lake, sawa! Ofcourse huwezi kumpangia mtu atumieje.
Akishakupata pesa yake anakula bata, kesho yuko na demu yule. Keshokutwa yuko Beach Hotel. Inafika jumapili anakupigia simu umtoe buku teni ya umeme. unamshangaa huyu vipi? Pesa zake yeye ale bata ila ya umeme umnunulie wewe? Mwingine naye yeye chapombe tu. Tena mwanamke. Ana kazi ya kupata hela daily lakini anapopata mchongo mzuri basi Bar kali kali zitamkoma.
Wakati sisi na maumivu ya tozo na vyuma kukaza chini ya Mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan na ajira ngumu tunabajeti ili siku zisonge. Sasa Kodi yake imeisha ameniganda kama ruba. Sipumui. Si hemi utadhani hiyo nyumba yangu. Ofcourse anajua kama nina hela a uwezo wa kumsaidia ninao lakini nawaza.
Mimi zangu nazipata kama anavyopata yeye. Naweza mahesabu natumia kwa vitu vya msingi. Bata napunguza. Pesa zake ake bata ila kodi ya nyumba nimchangie mimi?
Kama ntaitwa bahili sawa tu na wacha ikae hivyo hivyo. Ila ujinga sitakagi mimi.
Kwenye maisha haya ya kiliberali ili yasonge mbele kila mtu anatakiwa aishi vile anavyotaka. Kimjini mjini wanasema kila mti kimpango wake. Yaani unaishi bila kuuliza uliz maswali ya nani anaishi vipi anakukaje. Sasa jama ndio hivi okay poa tusisimbuane.
Hapa nina funzo kwa vijana, wazee mmeshapitia mengi hata ukijifunza leo haisaidii kitu. Kama kupata umeshapata na kukosa ushakosa. Nimekuwa na marafiki wengi wenye msaada na wale wa kupita tu. Mradi maisha yaende. Baadhi tabia zao zinanikera. Mtu anatafuta pesa zake kwa jasho lake, sawa! Ofcourse huwezi kumpangia mtu atumieje.
Akishakupata pesa yake anakula bata, kesho yuko na demu yule. Keshokutwa yuko Beach Hotel. Inafika jumapili anakupigia simu umtoe buku teni ya umeme. unamshangaa huyu vipi? Pesa zake yeye ale bata ila ya umeme umnunulie wewe? Mwingine naye yeye chapombe tu. Tena mwanamke. Ana kazi ya kupata hela daily lakini anapopata mchongo mzuri basi Bar kali kali zitamkoma.
Wakati sisi na maumivu ya tozo na vyuma kukaza chini ya Mh Rais Mama Samia Suluhu Hassan na ajira ngumu tunabajeti ili siku zisonge. Sasa Kodi yake imeisha ameniganda kama ruba. Sipumui. Si hemi utadhani hiyo nyumba yangu. Ofcourse anajua kama nina hela a uwezo wa kumsaidia ninao lakini nawaza.
Mimi zangu nazipata kama anavyopata yeye. Naweza mahesabu natumia kwa vitu vya msingi. Bata napunguza. Pesa zake ake bata ila kodi ya nyumba nimchangie mimi?
Kama ntaitwa bahili sawa tu na wacha ikae hivyo hivyo. Ila ujinga sitakagi mimi.