ZeMarcopolo
JF-Expert Member
- May 11, 2008
- 14,011
- 7,197
Kuna wana JF waliosikiliza majadiliano kati ya Mzee Mwanakijiji na Mama Anna Kilango Malecela wakavutiwa kuangalia profile ya Mama Malecela kwenye tovuti ya Bunge. Kwa bahati mbaya kuna waliomdisqualify mbunge huyu aliyeonyesha ujasiri baada ya kusoma profile yake.
Kama tunawapima watu kutokana na profile zao,huyu je mnamuonaje?
http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2000-2005&fpkey=261&vusername=GUEST")
Kama tunawapima watu kutokana na profile zao,huyu je mnamuonaje?
http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2000-2005&fpkey=261&vusername=GUEST")