Kama Mama Malecela hafai, je Mbowe anafaa?

ZeMarcopolo

Platinum Member
May 11, 2008
14,013
7,209
Kuna wana JF waliosikiliza majadiliano kati ya Mzee Mwanakijiji na Mama Anna Kilango Malecela wakavutiwa kuangalia profile ya Mama Malecela kwenye tovuti ya Bunge. Kwa bahati mbaya kuna waliomdisqualify mbunge huyu aliyeonyesha ujasiri baada ya kusoma profile yake.

Kama tunawapima watu kutokana na profile zao,huyu je mnamuonaje?

http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2000-2005&fpkey=261&vusername=GUEST")
 
Kuna wana JF waliosikiliza majadiliano kati ya Mzee Mwanakijiji na Mama Anna Kilango Malecela wakavutiwa kuangalia profile ya Mama Malecela kwenye tovuti ya Bunge. Kwa bahati mbaya kuna waliomdisqualify mbunge huyu aliyeonyesha ujasiri baada ya kusoma profile yake.

Kama tunawapima watu kutokana na profile zao,huyu je mnamuonaje?

http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2000-2005&fpkey=261&vusername=GUEST")

tuje na ile hoja uongozi ni kipaji na si elimu mana tukija kwenye elimu wengi wataumbuka!
 
Nimeiona ni ya Mbowe
Kuna ubaya gani ktk profile yake????
 
Cv Za Wanene Hazina Mpangoo...tunatakaa..........utendaji Si Makaratasi
 
kuna wengine hawana CV nzuri lakini ni bora sana kuliko wenyewe CV kubwa sasa hapo mwaonaje..
 
Sawa kipaji na uzalendo vinatakiwa lakini haitoshi, cv iwepo pia hata kama sio ya kutisha sana tusije kuingia katika mambo ya akina mfalme mangungo wandugu!!!
 
Tumetafuta cv kwa nguvu zetu zote mpaka tukasema hugombei Urais Tz mpaka uwe na degree,baadaye tukasema degree si lazima ila mtu ajue kusoma na kuandika.Kushituka mtu anacheti cha marehemu na yuko ndani ya bunge,siku hizi tuna madakitari wengi kiasi inatia shaka,

Mimi nauliza chuo cha kufundishia uzalendo mbona hakijengwi? mimi maoni yangu,walau kuanzia elimu ya kati na kwenda juu mtu anaweza kupewa madaraka,uwezo wa kufanya kazi ni lazima pamoja na uzalendo.
 
Tumetafuta cv kwa nguvu zetu zote mpaka tukasema hugombei Urais Tz mpaka uwe na degree,baadaye tukasema degree si lazima ila mtu ajue kusoma na kuandika.Kushituka mtu anacheti cha marehemu na yuko ndani ya bunge,siku hizi tuna madakitari wengi kiasi inatia shaka,

Mimi nauliza chuo cha kufundishia uzalendo mbona hakijengwi? mimi maoni yangu,walau kuanzia elimu ya kati na kwenda juu mtu anaweza kupewa madaraka,uwezo wa kufanya kazi ni lazima pamoja na uzalendo.

Malila I side with you .Umesema vyema na wacha niishie mimi kama wewe tungoje majibu .
 
Jibu ni short and clear, HAFAI!!!!


Freeman Mbowe
From Wikipedia, the free encyclopedia
• Have questions? Find out how to ask questions and get answers. •
Jump to: navigation, search

Freeman Aikaeli Mbowe (born 14 September 1961) is a Tanzanian politician and chairman of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA – Party for Democracy and Development). Mbowe is a member of the Chaga ethnic group.
Mbowe Campaigning
Mbowe Campaigning

Mbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency (Kilimanjaro Region). He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's.

In preparation for the 2005 elections, Mbowe was nominated as CHADEMA's presidential candidate. Jumbe Rajab Jumbe, a Zanzibari was chosen as his vice-presidential candidate. The election was originally scheduled for 30 October 2005, but was postponed until 14 December due to the death of Jumbe.
Mbowe and Komu Campaigning
Mbowe and Komu Campaigning

Mbowe criticized the lengthy postponement, saying a week's delay would have sufficed and that his party cannot afford to finance extra campaigning. Chadema eventually settled on Anna Komu to be the running mate.

He placed third out of ten candidates in the 14 December 2005 presidential election, winning 5.88% of the vote.

Mbowe is the owner of Club Bilicanas, one of the best nightclubs in Dar es Salaam. He is also the owner of Tanzania Daima, a national daily newspaper, as well as Protea Hotel Aishi Machame, a hotel in his native town of Machame, in Kilimanjaro region, Tanzania.

Mbowe is married to Lillian Mtei (daughter of Edwin Mtei, the first Governor of Bank of Tanzania). They were married on 17 August 1991. The two live happily with their children in Mikocheni A, a suburb of Dar es Salaam, Tanzania. Mbowe has three children: Dudley A. Mbowe (15), Nicole A. Mbowe (11) and Dennis E. Mbowe (8). All their children go the Dar es Salaam Independent School (D.I.S.), also in Mikocheni.
 
Tell me something I dont know.... uchafu wa mbowe ni upi? kuuza mali ya watanzania kwa wageni? kuiba pesa BoT, richmonduli, iptl, kiwira, buzwagi, bulyanhulu, bandari, au kipi ambacho sijui!

Kama mambo ya BoT, richmonduli, iptl, kiwira, buzwagi, bulyanhulu, bandari, sote tunajua, lakini uchafu wa mbowe pia umeshaongelewa na wewe ukiwa kidedea kutetea kwenye hizo forum, I suggest you go back and find those forum, then ask yourself why are trying to defend another fisadi??
 
Kama mambo ya BoT, richmonduli, iptl, kiwira, buzwagi, bulyanhulu, bandari, sote tunajua, lakini uchafu wa mbowe pia umeshaongelewa na wewe ukiwa kidedea kutetea kwenye hizo forum, I suggest you go back and find those forum, then ask yourself why are trying to defend another fisadi??

Labda nikuulize hili swali tena hapa;

Tell me something I dont know.... uchafu wa mbowe ni upi? kuuza mali ya watanzania kwa wageni? kuiba pesa BoT, richmonduli, iptl, kiwira, buzwagi, bulyanhulu, bandari, au kipi ambacho sijui!
 
Freeman Mbowe
From Wikipedia, the free encyclopedia
• Have questions? Find out how to ask questions and get answers. •
Jump to: navigation, search

Freeman Aikaeli Mbowe (born 14 September 1961) is a Tanzanian politician and chairman of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA – Party for Democracy and Development). Mbowe is a member of the Chaga ethnic group.
Mbowe Campaigning
Mbowe Campaigning

Mbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency (Kilimanjaro Region). He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's.

In preparation for the 2005 elections, Mbowe was nominated as CHADEMA's presidential candidate. Jumbe Rajab Jumbe, a Zanzibari was chosen as his vice-presidential candidate. The election was originally scheduled for 30 October 2005, but was postponed until 14 December due to the death of Jumbe.
Mbowe and Komu Campaigning
Mbowe and Komu Campaigning

Mbowe criticized the lengthy postponement, saying a week's delay would have sufficed and that his party cannot afford to finance extra campaigning. Chadema eventually settled on Anna Komu to be the running mate.

He placed third out of ten candidates in the 14 December 2005 presidential election, winning 5.88% of the vote.

Mbowe is the owner of Club Bilicanas, one of the best nightclubs in Dar es Salaam. He is also the owner of Tanzania Daima, a national daily newspaper, as well as Protea Hotel Aishi Machame, a hotel in his native town of Machame, in Kilimanjaro region, Tanzania.

Mbowe is married to Lillian Mtei (daughter of Edwin Mtei, the first Governor of Bank of Tanzania). They were married on 17 August 1991. The two live happily with their children in Mikocheni A, a suburb of Dar es Salaam, Tanzania. Mbowe has three children: Dudley A. Mbowe (15), Nicole A. Mbowe (11) and Dennis E. Mbowe (8). All their children go the Dar es Salaam Independent School (D.I.S.), also in Mikocheni.

Je nani alikuwa mwenyekiti wa kwanza na mwanzilishi wa CHADEMA?

Je Mbowe alivyomaliza sekondari alienda kufanya kazi BoT kama bank office kwa qualification gani?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom