Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

Kama kweli Ayatollah wamemla kichwa, basi hao Wairan kichwani hamna kitu kabisa!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,061
Reaction score
136,424
Mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kama kweli amekufa au bado yuko hai.

Ila, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya siku 12.

Iweje siku ya kwanza tu wanakukula kichwa kizembe namna hiyo?

Nchi kubwa namna hiyo unakosaje pa kujificha?

Lakini yawezekana pia Israel wanataka kucheza na akili za Wairan halafu katika kuthibitisha kuwa Ayatollah bado yu hai, bila kujua wanataja alipo halafu Israel wanaenda kumla kichwa kikwelikweli.

Maana vita si mabomu tu. Hata propaganda na psychological warfare nazo ni sehemu ya mbinu za kivita.

Hisia zangu na kwa kutumia uzoefu wangu wa kuyasoma mambo, uwezekano wa kuwa Ayatollah kauliwa ni mkubwa kiasi maana Wairan washajionyesha kuwa ni watu wasio na akili kivile.

Si ajabu hilo li Ayatollah limeliwa kichwa likiwa linapata staftahi.
 
Inashangaza sana kama kwa miaka yote hiyo hawa Wairan hawakuwa na mbinu madhubuti ya kumhami kiongozi wao dhidi ya mashambulizi ya kushtukiza toka kwa mahasimu wao IL&USA.

Kweli hawapo vizuri upstairs. Mbwembwe zote zile kumbe mazuzu tu...!
 
Hawa madikteta nguvu yao ni tishio tu kwa raia asiyekuwa na silaha, lakini wakikutana na mwenye chuma mwenzao ndio utagundua kumbe hawana maajabu

Magenerali 9 walilipuliwa kwa pamoja kana kwamba walikuwa wamejificha kwenye shimo moja kama paya buku

How can a mejor general be killed like that, not to mention in one instance?
, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya siku 12.
 
Inashangaza sana kama kwa miaka yote hiyo hawa Wairan hawakuwa na mbinu madhubuti ya kumhami kiongozi wao dhidi ya mashambulizi ya kushtukiza toka kwa mahasimu wao IL&USA.

Kweli hawapo vizuri upstairs. Mbwembwe zote zile kumbe mazuzu tu...!
Same can happeni kwa Putin mnayemwona ana maajabu sana🤣🤣
 
Mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kama kweli amekufa au bado yuko hai.

Ila, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya siku 12.

Iweje siku ya kwanza tu wanakukula kichwa kizembe namna hiyo?

Nchi kubwa namna hiyo unakosaje pa kujificha?

Lakini yawezekana pia Israel wanataka kucheza na akili za Wairan halafu katika kuthibitisha kuwa Ayatollah bado yu hai, bila kujua wanataja alipo halafu Israel wanaenda kumla kichwa kikwelikweli.

Maana vita si mabomu tu. Hata propaganda na psychological warfare nazo ni sehemu ya mbinu za kivita.

Hisia zangu na kwa kutumia uzoefu wangu wa kuyasoma mambo, uwezekano wa kuwa Ayatollah kauliwa ni mkubwa kiasi maana Wairan washajionyesha kuwa ni watu wasio na akili kivile.

Si ajabu hilo li Ayatollah limeliwa kichwa likiwa linapata staftahi.

Kwani Jana sijui juzi Trump aliposema atatoa live location ya Ayatollah ulifikiri alimaanisha nini Mkuu?
 
Netanyahu kalihutubia taifa muda siyo mrefu na kasema kuna kila dalili Ayatollah ameuawa....
 
Mpaka sasa bado hakuna uthibitisho kama kweli amekufa au bado yuko hai.

Ila, kama amekufa, basi atakuwa kafa kiboya sana sawa na wale majenerali wake walioliwa vichwa kipindi kile cha vita vya siku 12.

Iweje siku ya kwanza tu wanakukula kichwa kizembe namna hiyo?

Nchi kubwa namna hiyo unakosaje pa kujificha?

Lakini yawezekana pia Israel wanataka kucheza na akili za Wairan halafu katika kuthibitisha kuwa Ayatollah bado yu hai, bila kujua wanataja alipo halafu Israel wanaenda kumla kichwa kikwelikweli.

Maana vita si mabomu tu. Hata propaganda na psychological warfare nazo ni sehemu ya mbinu za kivita.

Hisia zangu na kwa kutumia uzoefu wangu wa kuyasoma mambo, uwezekano wa kuwa Ayatollah kauliwa ni mkubwa kiasi maana Wairan washajionyesha kuwa ni watu wasio na akili kivile.

Si ajabu hilo li Ayatollah limeliwa kichwa likiwa linapata staftahi.
Waliwalisha taarifa fake kuwa Usiku Marekani itashambulia wakijua kitafanyika kikao, na Israeli haina historia ya kuanza mashambulizi mchana, na radar mpya za wachina zikawapa imani shambulio lolote la anga lazima watajua kabla halijafika Iran...kumbe wasela lengo lao wafanye kikao alafu wale vichwa viwili vitatu kwa mpigo
 
1772311893283.png
 
Back
Top Bottom