Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,467
- 2,861
Wakitokea MI hapo tutakuwa tumeanzia pazuri. Na baada ya hapo recruitment ifanyike kwa kuanza na damu mpya na wajipe muda wa kukua, hapo tutakuwa na real checks na balance kati ya police (usalama wa raia) na CIDMi nnaona staff na mabosi wao watokee taasisi za usalama wa taifa na jeshi la wananchi, wale wazee wa military intelligence