Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Ni kweli.....ila hapo kutenganisha polisi na idara ya upelelezi walifanya vyema..........saa mbovu kuna muda huwa sahihi.Rwanda ni nchi ya kidekteta na polisi wake wanafanya kazi kutokana na matakwa ya wanasiasa waliowekwa na Kagame badala ya weledi.