MINENE BOY
Member
- Jun 3, 2017
- 17
- 14
Naomba niingie kwenye Mada moja kwa moja.
Kutokana na malalamiko ya wananchi kutendewa unyama na jeshi la polisi sehemu mbalimbali za nchi, kama vile raia kuuwawa vituo vya polisi, raia kubambikwa kesi n.k.
Napendekeza kiundwe chombo kingine cha kuchunguza jinai zinazofanywa na jeshi la polisi au afisa yoyote wa jeshi hilo, badala ya kutegemea jeshi la polisi lenyewe lijichunguze.
Kuundwa kwa chombo huru nje ya jeshi la polisi kuchunguza jinai zinazofanywa na polisi kutapunguza hisia hasi juu ya jeshi hilo kupendelea maafsa wake wapofanya makosa, pia, kutaongeza ufanisi na umakini kwa jeshi hilo nchini, baadala ya kuunda tume kila linapojitokeza jambo fulani fulani.
Naomba kuwasilisha.
Kutokana na malalamiko ya wananchi kutendewa unyama na jeshi la polisi sehemu mbalimbali za nchi, kama vile raia kuuwawa vituo vya polisi, raia kubambikwa kesi n.k.
Napendekeza kiundwe chombo kingine cha kuchunguza jinai zinazofanywa na jeshi la polisi au afisa yoyote wa jeshi hilo, badala ya kutegemea jeshi la polisi lenyewe lijichunguze.
Kuundwa kwa chombo huru nje ya jeshi la polisi kuchunguza jinai zinazofanywa na polisi kutapunguza hisia hasi juu ya jeshi hilo kupendelea maafsa wake wapofanya makosa, pia, kutaongeza ufanisi na umakini kwa jeshi hilo nchini, baadala ya kuunda tume kila linapojitokeza jambo fulani fulani.
Naomba kuwasilisha.