Kama Kufuturisha ndiyo hivi...

Hukumuzuku

JF-Expert Member
Aug 29, 2008
6,676
5,024
iftaarhomboza1_500x247.jpg


Officials from the American embassy were invited to break the fast with Homboza villagers, Kisarawe on Monday, September 14, 2009. Speaking at the occasion the U.S. Embassy Political/Economic chief, Carl B. Fox said America will always stand for the universal rights of all people to speak their mind, practice their ...

iftaarhomboza2_200x118.jpg


...basi poleni sana Ndugu zangu Waislamu. Nasema bora jini ulijualo kuliko hawa Wazungu wanafiki...
 
Mkuu, kufunga siku hizi ni gelesha tu, ni kubadilisha masaa ya kula na kutafuta misaada.
 
Dude unamaanisha nini wazungu wanafiki? Waislamu wasipopewa vitu kama hivi si wanadai "wanaonewa"?
 
Dude unamaanisha nini wazungu wanafiki? Waislamu wasipopewa vitu kama hivi si wanadai "wanaonewa"?

Hawa Wazungu wamemnyima mshikaji wangu visa nikaamua niwatolee ghadhabu kidogo. Ila wote kenge tuu! Lakini kwa nini Wafanyakazi wa ubalozi wa US wanakuwa Wazungu kwenye nchi kama Tanzania wakati kuna Wanugu wengi tu ambao wangewaongezea Wamarekani credibility kama wangepewa kazi ubalozini? Ona hao Wazungu walivyojitofautisha kati ya Waswahili kwa weupe wao na jinsi wanavyochekelea kiunafiki kwenye hiyo picha ... haileti maana kabisa.
 
Kwenda Marekani ni fadhila tu na wala si haki ya mtu. Kama watu hawakutaki nchini kwao hamna sababu ya kulialia kama vile huna kwenu!!

Leo hii mimi wakiniambia niondoke hata kama hamna sababu maalum nitaondoka na kurudi kwetu na wala sitalalamika.

Hakuna mantiki kabisa kuwasagia wazungu wakati mtu unaishi huko huko kwa wazungu. Kama mtu hupendi wanavyokutendea au kama hupendi wanavyoendesha mambo nadhani kama mtu mzima unajua nini cha kufanya. Unaondoka unarudi kwenu.
 
Kwenda Marekani ni fadhila tu na wala si haki ya mtu. Kama watu hawakutaki nchini kwao hamna sababu ya kulialia kama vile huna kwenu!!

Leo hii mimi wakiniambia niondoke hata kama hamna sababu maalum nitaondoka na kurudi kwetu na wala sitalalamika.

Hakuna mantiki kabisa kuwasagia wazungu wakati mtu unaishi huko huko kwa wazungu. Kama mtu hupendi wanavyokutendea au kama hupendi wanavyoendesha mambo nadhani kama mtu mzima unajua nini cha kufanya. Unaondoka unarudi kwenu.

Marekani si ya Wazungu tu. Waafrika wameishi nchi hii miaka zaidi ya 400! Na ajabu ni kwamba, hata kwenye balozi zao Afrika wanajaza wafanyakazi Wazungu. Vinginevyo una pointi - hapa hakuna cha kukimbilia zaidi ya kutafuta elimu. Na kama kweli mtu ana nia ya kuja kusoma huku, sioni kwa nini wanakuwa wagumu sana kutoa visa eti hujawadhihirishia kama kweli una nia ya kusoma. Damn! Yaani mtu umehangaika kutafuta shule ya kweli, umetumia mini-fortune kulipa school application fees, SEVIS fees, visa application fees, postage na gharama nyingine kibao achilia mbali muda mwiiingi uliotumia kwa process nzima hadi unafika stage ya kwenda kwenye visa interview Halafu you get all your hopes, money and time invested thrown out just like that in a 2-minute interview ambapo hata document moja ya shule hawaangalii! Kama si upumbavu ni nini?
 
Marekani si ya Wazungu tu. Waafrika wameishi nchi hii miaka zaidi ya 400! Na ajabu ni kwamba, hata kwenye balozi zao Afrika wanajaza wafanyakazi Wazungu. Vinginevyo una pointi - hapa hakuna cha kukimbilia zaidi ya kutafuta elimu. Na kama kweli mtu ana nia ya kuja kusoma huku, sioni kwa nini wanakuwa wagumu sana kutoa visa eti hujawadhihirishia kama kweli una nia ya kusoma. Damn! Yaani mtu umehangaika kutafuta shule ya kweli, umetumia mini-fortune kulipa school application fees, SEVIS fees, visa application fees, postage costs na gharama kibao pamoja na muda mwiiingi kutafuta shule, halafu you get all your hopes, and time and money invested thrown out in a 2-minute interview ambapo hata document moja ya shule hawaangalii!

Ndjabu, hata hao Waafrika Wamarekani wengi wao wanaidharau sana Afrika. Wengi hata hawai-claim Afrika. Utasikia wanasema "I have some Indian and white in me". Kama umewahi ku interact nao (of course sio wote) utagundua kuwa wanatudharau sana sisi tuliotoka Motherland. Wanatucheka accent zetu. Wanatuona sisi washamba. Wanadharau sana hao watu.

Kwenye kwenda/kuja kusoma. Najua kuna watu wengi sana waliopo Marekani ambao walikuja kusoma na baada ya masomo wakachikichia na kubaki (kisheria na kinyume cha sheria). Kuna wengine walikwenda Marekani kwa kisingizio cha kusoma na walikuwa na documents zote zinazohitajia na baada ya kufika Marekani hakuna mtu aliyetia mguu shule!

Kwa hiyo, kwa upande mmoja naelewa kabisa frustration zako. Na kwa upande mwingine, naelewa kabisa sababu za wao kuwanyima hati za kusafiria hata watu wenye nia njema kabisa ya kwenda kutafuta elimu. Kwa upande wao ni balancing act na katika kufanya hivyo ndio wanajikuta wananyima watu hati za kusafiria huku wakiwapa wengine wasio hata na nia ya kusoma!
 
Kweli kabisa uliyosema Julius. Hawa visa consulars wanafanya what to many appear to be totally arbitrary subjective decisions ambazo zinawaumiza sana bona fide visa applicants wengi. How can a visa consular make a fair decision in less than 3 minutes by asking a couple of dumb questions and not even bothering to check the authenticity of all documentary evidence presented? On the other hand, nasikia kupata visa kwa Wahindi is a cake walk.
 
Ndjabu, hata hao Waafrika Wamarekani wengi wao wanaidharau sana Afrika. Wengi hata hawai-claim Afrika. Utasikia wanasema "I have some Indian and white in me". Kama umewahi ku interact nao (of course sio wote) utagundua kuwa wanatudharau sana sisi tuliotoka Motherland. Wanatucheka accent zetu. Wanatuona sisi washamba. Wanadharau sana hao watu.

Kwenye kwenda/kuja kusoma. Najua kuna watu wengi sana waliopo Marekani ambao walikuja kusoma na baada ya masomo wakachikichia na kubaki (kisheria na kinyume cha sheria). Kuna wengine walikwenda Marekani kwa kisingizio cha kusoma na walikuwa na documents zote zinazohitajia na baada ya kufika Marekani hakuna mtu aliyetia mguu shule!

Kwa hiyo, kwa upande mmoja naelewa kabisa frustration zako. Na kwa upande mwingine, naelewa kabisa sababu za wao kuwanyima hati za kusafiria hata watu wenye nia njema kabisa ya kwenda kutafuta elimu. Kwa upande wao ni balancing act na katika kufanya hivyo ndio wanajikuta wananyima watu hati za kusafiria huku wakiwapa wengine wasio hata na nia ya kusoma!

Hata wakicheka ni sawa tu lakini kuwa na uhindi au uzungu sidhani kama ni sifa. Kinacho takiwa ni kupigana kuwa na maisha bora kwa watoto wetu popote ulipo. Kwanza mi naona Tanzania tunaendelea japo tuna matatizo ya uongozi wa kisiasa. Mbona kuna vi nchi kama Myamar, Cambodia, n.k. vina shida tu kuliko sisi??

Kwanza mimi binafsi najuvunia kuwa mwafrika kwa sababu taabu za huku nje nazo nazijua, ubaguzi umekithiri.
 
Hawa Wazungu wamemnyima mshikaji wangu visa nikaamua niwatolee ghadhabu kidogo. Ila wote kenge tuu! Lakini kwa nini Wafanyakazi wa ubalozi wa US wanakuwa Wazungu kwenye nchi kama Tanzania wakati kuna Wanugu wengi tu ambao wangewaongezea Wamarekani credibility kama wangepewa kazi ubalozini? Ona hao Wazungu walivyojitofautisha kati ya Waswahili kwa weupe wao na jinsi wanavyochekelea kiunafiki kwenye hiyo picha ... haileti maana kabisa.

Sasa kama alifuga ndevu kama za Osama unategemea nini? Wenzako bado wana machungu na Sept 11!
 
kufuturu huwa sio lazima, kama unaona wanakunyanyapaa unaacha unaenda kufuturu kwenu
 
Ndjabu, hata hao Waafrika Wamarekani wengi wao wanaidharau sana Afrika. Wengi hata hawai-claim Afrika. Utasikia wanasema "I have some Indian and white in me". Kama umewahi ku interact nao (of course sio wote) utagundua kuwa wanatudharau sana sisi tuliotoka Motherland. Wanatucheka accent zetu. Wanatuona sisi washamba. Wanadharau sana hao watu.

Kwenye kwenda/kuja kusoma. Najua kuna watu wengi sana waliopo Marekani ambao walikuja kusoma na baada ya masomo wakachikichia na kubaki (kisheria na kinyume cha sheria). Kuna wengine walikwenda Marekani kwa kisingizio cha kusoma na walikuwa na documents zote zinazohitajia na baada ya kufika Marekani hakuna mtu aliyetia mguu shule!

Kwa hiyo, kwa upande mmoja naelewa kabisa frustration zako. Na kwa upande mwingine, naelewa kabisa sababu za wao kuwanyima hati za kusafiria hata watu wenye nia njema kabisa ya kwenda kutafuta elimu. Kwa upande wao ni balancing act na katika kufanya hivyo ndio wanajikuta wananyima watu hati za kusafiria huku wakiwapa wengine wasio hata na nia ya kusoma!

true true true Mukulu.....tena juzi juzi tu mmoja akawa anasema kuhus mshikaji wangu eti ana accent.....nikamwambia hii kitu ya accent unayosema its a two way traffic....na yeye pia atasema kwa wengine kuwa wewe una accent......nikaendelea kumwambia akija Muingereza mwenye atasema wewe una accent..........naona akanywea.........damn
 
iftaarhomboza1_500x247.jpg


Officials from the American embassy were invited to break the fast with Homboza villagers, Kisarawe on Monday, September 14, 2009. Speaking at the occasion the U.S. Embassy Political/Economic chief, Carl B. Fox said America will always stand for the universal rights of all people to speak their mind, practice their ...

iftaarhomboza2_200x118.jpg


...basi poleni sana Ndugu zangu Waislamu. Nasema bora jini ulijualo kuliko hawa Wazungu wanafiki...

Pole ya nini? wakati waIslam tunaonyesha kwa vitendo, hatubagui wala hatuchagui nani wa kufuturu nae, na si kwa kufuturu tu, hata kwa chakula cha siku yeyote ile. Ni aghalabu kwenda kwa muIslam asikukaribishe japo chakula chake cha mwisho.

Lazima uelewe kuwa uIslam ndio wenye mafunzo kamili ya maisha ya Binadamu ya kila siku, kuanzia aamkapo mpaka aingiapo kulala.

Hao waIslam wa Kisarawe wanaonyesha kwa mafano kuwa kutoa si utajiri. Nawapongeza, na hilo ni somo kwa hawa wa Merekani kuwa uIslam ni amani na si kama wengi wanavyotaka uonekane.
 
Ndjabu, hata hao Waafrika Wamarekani wengi wao wanaidharau sana Afrika. Wengi hata hawai-claim Afrika. Utasikia wanasema "I have some Indian and white in me". Kama umewahi ku interact nao (of course sio wote) utagundua kuwa wanatudharau sana sisi tuliotoka Motherland. Wanatucheka accent zetu. Wanatuona sisi washamba. Wanadharau sana hao watu.

Kwenye kwenda/kuja kusoma. Najua kuna watu wengi sana waliopo Marekani ambao walikuja kusoma na baada ya masomo wakachikichia na kubaki (kisheria na kinyume cha sheria). Kuna wengine walikwenda Marekani kwa kisingizio cha kusoma na walikuwa na documents zote zinazohitajia na baada ya kufika Marekani hakuna mtu aliyetia mguu shule!

Kwa hiyo, kwa upande mmoja naelewa kabisa frustration zako. Na kwa upande mwingine, naelewa kabisa sababu za wao kuwanyima hati za kusafiria hata watu wenye nia njema kabisa ya kwenda kutafuta elimu. Kwa upande wao ni balancing act na katika kufanya hivyo ndio wanajikuta wananyima watu hati za kusafiria huku wakiwapa wengine wasio hata na nia ya kusoma!

True lakini hatred inazidi kwasababu accent hiyo hiyo inawa cost mademu zao,sijui masikio ya mademu zao kwanini yanapenda accent,utasikia i like your accent,ntolee....Ila ya wanaijeria ndo mbovu zaidi.
 
Back
Top Bottom