Barnaba Bushiri
Member
- Aug 1, 2020
- 46
- 26
Kwa akili ya kawaida ulichokiandika ni ngumu kukiona na kukielewa, unahiitaji jicho pevu sana kuelewa unamaanisha nini.
Mama anarudisha uchumi mikononi mwa watanzania, ajira, na madaraja kupanda, labda nyongeza ya mishahara na kupunguza machungu. Uchumi wa kati ubakie kwa wananchi siyo kwa nchi.Wanaenda kuua shirika la ndege, wanarudisha mradi wa BAGAMOYO ,wanaenda kumwaga ajira na kuongeza mishahara kupunguza machungu ili wapige vizuri mama anakazi kubwa sana
aah.. mbona maoni watu walikuwa wanatoa tu; mtu mwoga hakutoa maoni wengine walikuwa wanatoa kama kawaida. Sasa tofautisha "maoni" na "madai" (claims). Ukitoa madai ukiambiwa uthibitishe huwezi kukimbilia kusema ni maoni tu... na hasa madai ambayo yana matokeo yake... na kuna vipimo vingine. Lakini kutoa maoni na kuikosoa serikali mbona kulifanyika tu...Mzee Mwanakijiji,
..nadhani makelele kuhusu ripoti ya CAG ni matokeo ya marehemu JPM kunyima wananchi nafasi ya kutoa maoni na kuikosoa serikali.
Rejeeni mada yangu ya "Nchi Iko Salama na Samia"....Mkuu Phillemon Mikael umetajwa huku........!!!
aah.. mbona maoni watu walikuwa wanatoa tu; mtu mwoga hakutoa maoni wengine walikuwa wanatoa kama kawaida. Sasa tofautisha "maoni" na "madai" (claims). Ukitoa madai ukiambiwa uthibitishe huwezi kukimbilia kusema ni maoni tu... na hasa madai ambayo yana matokeo yake... na kuna vipimo vingine. Lakini kutoa maoni na kuikosoa serikali mbona kulifanyika tu...
aah.. mbona maoni watu walikuwa wanatoa tu; mtu mwoga hakutoa maoni wengine walikuwa wanatoa kama kawaida. Sasa tofautisha "maoni" na "madai" (claims). Ukitoa madai ukiambiwa uthibitishe huwezi kukimbilia kusema ni maoni tu... na hasa madai ambayo yana matokeo yake... na kuna vipimo vingine. Lakini kutoa maoni na kuikosoa serikali mbona kulifanyika tu...
Are you religiously devoted to Magufuli or do you follow logic?Na. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.
Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.
Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Mhuu umenena mzee ila anataka kutuaminisha ya kuwa hakuna upotevu wa fedha ya umma na awamu iliyopita ilikuwa safi inafikirisha mzee, ila pole mzee kwa kufiwa.Wewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta
Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini?
Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??😜
Shida yako ni uwazi? upi?
umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume
Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?
JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...
sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...
ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
Umenena vema ...ila je watafaulu kwa mkakati huu?! Na Kama watafaulu je Watanzania watakaa kimya?!Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Na yeye mwendazake aliona hili reasoning yetu iko chini ndiyo maana akajinasibu na mamiradi makubwa ya hasara kwa taifa, ili mradi watu wanaopenda kuona vitu, basi wamsifu na kumuabudu.Mkuu mlituaminisha ufisadi umeisha mpaka mkadai wapinzani wameishiwa ajenda maana hamna wizi tena serikalini.
Mlidai mahakama ya mafisadi ilikua haina kesi maana wizi umedhibitiwa. Sasa mnadhani credibility ipo tena.
Kingine fahamu JPM alikua anakopa na ndio maana pato la mwezi almost trillion 1 iliishia kwenye mishahara na kuserevice madeni na overlapping interest rates!! Sasa kma Mama samia akikopa pia atashindwa nini? Si unakopa tu maadam hujafika 56% ya GDP!!
Issue sio mambo yanayoonekana issue ni sustainability mfano Nyerere dam kumbe haina sustainability plan, Ndege kumbe ni hasara, TGFA kumbe ni liability, sasa issue ni kujenga tu au faida yake kurudi?
Yaani hata angejenga daraja hadi zanzibar kama ni hasara hamna shida ilimradi linaonekana ni daraja? Hvi reasoning zetu zina shida gani
Kwasababu we ni mnyonge wao lazima wakuingizie. Ndo maana unawang'ang'ania sana mabwana zako Sukuma GangNani kakuingiza?
Au ndio ushazoea kuingizwa?
Tatizo la mwendazake alifikiri nchi hii ni geto la masela akawa anaendesha nchi kama geto lake na hakutaka kuhojiwa na MTU yeyote. Nahii inathibitishwa na wateuliwa wake hawakupewa nafasi ya kusikilizwa wala kumshauri na ndio maana tunashuhudia mabadiliko kwenye nafasi nyingi za uongozi.Mwandishi ni kama vile hutaki kuamini kuwa Magufuli alikuwa fisadi namba moja wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Ripoti rasmi za kiuchunguzi wa pesa (CAG) za sasa zinaonyesha hivyo. Ni upigaji mtupu.
Kwanini ushangae hilo sasa wakati wakosoaji wa Magufuli walikuwa wakiyasema hayo kwa miaka mitano yote?
Ni akina nani waliohoji upotezi wa Trilioni 1.5 zilizotajwa na Professor Assad?
Kwanini Professor Assad alifukuzwa kimizengwe?
Kwanini vyombo vya habari vilizibwa midomo?
Kwanini wapinzani walipotezwa, kununuliwa, kuteswa na kuuwawa?
Kwanini wapinzani walinyimwa fursa ya kufanya siasa, kushika ikulu, kuingia bungeni, kutawala serikali za mitaa au mabaraza ya halmashauri ?
Kwanini genge la Magufuli lilikuwa likiratibu utawala wa Magufuli udumu milele?
Kwanini tender zote za miradi mikubwa ziwe siri ya Magufuli na ikulu tu?
Kwanini genge la Magufuli lilitaka kupindisha mambo kwa gharama yoyote ili kukamata kiti cha urais hata baada ya Magufuli kuwa mahututi/kufariki dunia?
Ukweli unaweza kuchelewa kujionyesha, lakini muda utaufunua ukweli wote. Muda umefika sasa kwa utawala wote wa Magufuli kupimwa upya. Tusiogope kusema ukweli hata kama ukweli huo utatufedhehesha baadhi yetu.
Mtoa mada anashindwa kuekeza kwamba pamoja na mazuri ya Magufuli kuna mauaji, kupoteza watu, unyang’anyi wa serikali kupitia TRA, DHULUMA za dhahiri, kutoshaurika na ubaguzi kimaendeleo, ukabila.Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
Upewe ulinzi haraka sana Mkuu.Mtu awaye na asiliewe hili...kwa Bwana Yule alikuwa mtukufu kwa kila kitu.Nime note kitu kimoja kutoka kwako nayo ni 'wapinzani' kumbe ulishajiweka tawi la watawala?
Ok ni haki yako lakini kwa binadamu kamili angehoji je, kwanini aliyeninasibu kuwa msafi mithili ya sufi apende kufanya mambo gizani kiasi kile?
Kweli mtu msafi ajiondoe kwenye mikataba ya uwazi?
Kwanini mtu msafi hakuitaji transparency ili umma umsaidie kuwa msafi?
Mnachofanya sasa ni nafsi zinawasuta, mmeachwa kwenye tope msijue nani atawachomoa, mli compromise nafsi zenu kwa vitu vya kipuuzi na kishenzi.
Kinachowauma zaidi mlizoea kuuza maneno sasa hakuna atakaewaamini tena.
Kwa tuliomfahamu Magufuli tangu enzi hatukua tayari kuuza nafsi zetu kwa sifa za kipuuzi na kijumla jumla namna ile.
Pole sana mtafute kazi ya kufanya sasa.
Hongera kwa bandiko zuri, kulielewa lazima uwe na utimamu wa akili.Na. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.
Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.
Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Tuliambiwa kwamba magufuli alimaliza ufisadi.
Tuliambiwa kwamba tunajenga kwa fedha zetu wenyewe tutembee kifua mbere sisi ni matajri.
Tuliambiwa ATCL inapata faida sana mpaka wakaanza kugawa gawio serikalini.
Majambazi waliokubuhu hawajulikani kirahisi kwa kuwa hata Mali zao haziwi na majina yao kutuambia hana pavement nyumbani kwake ndio unamuona hakuwa mpigaji ni ujinga wako maana yote ni kiini macho nani asiyejua alihusika kuuza nyumba za serikali akiwa waziri barabara ya mwendokasi hasara kiasi gani tunaipata jagwani tuu pekee yake ndio urisi aliotuachia kwa ajili tuu ya poor design na upigaji uliofanywa chini ya wizara aliokuwa akiiongoza??? Unaongozwa na propaganda za kijinga unasahau maslahi ya nchi hiyo SGR Ilitakiwa kuisha tangu mwaka2019 na operation ianze mpaka Leo hola na bado haitaisha hata mwaka huu na sio kitu kigeni maana mkandarasi aliyepewa hiyo kazi hana historia mahali popote alipojenga reli ya aina hii yenye urefu huu na kumaliza kazi ethiopia yenyewe ameshindwa kumaliza na haya sio mageni alipigwa bungeni na akinazito kabwe na tukawaona wapinga maendeleo na tukawatukana na kuwaita pandikizi na wananchi tulikawalipa mshahara 2015 wa kuwafukuza bungeni kwa kutishiwa tukiwachagua tena hatutapata maendeleo kwenye majimbo yetu. injinia msimamizi anaendelea kulipwa na pesa za walipaka kodi kinyume na mkataba ili hali mkandarasi alitakiwa ailipe serikali kwanzia 2019 mpaka atakapomaliza kazi lkn hilo hatushughiuliki nalo unajua kwanini??? ngoja nikuibie siri wasimamizi wote ni ndugu na magufuli sukuma boy kwaanzia mkurugenzi wa shirika ndugu masanja kadogosa ambaye kitaaluma sio hata mhandisi na meneja mradi masanja machibya ambaye sijui ndio mtoto wa baba mkubwa sijui baba mdogo hapo sasa utaongea nini akati pesa inapigwa na mtoto wa mjomba kesi inamalizwa kifamilia na yeye mwenyewe alikuja kuikagua na kuendelea kumsifu mkandarasi ilihali akijua IPO nyuma ya wakati. Kunamengi sana ya kuandika ndugu zangu lkn kwa sababu ya uchungu na hasira siwezi kuendelea naomba niishie hapa na mwendazake alazwe mahali anapostahili.Wewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta
Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini?
Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??
Shida yako ni uwazi? upi?
umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume
Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?
JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...
sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...
ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
Kwenye SGR nilitegemea CAG angesema Km 250 zilizotandikwa reli ni hewa, yaani hakuna kilichofanyika. Na kwamba pesa yote aliyolipwa Mturuki kalipwa pasipo kazi yoyote kufanyika.SGR, Rufiji Dam ni picha tu zile🤣
CAG kaamua kishabiki kusema bila aibu akiwa na watendaji wale wale, akitaka kujikomba kwa mama kumbe anachotwa akili!
wa kujiuzulu sio PM tu hata Rais!
Hakuna namna watamzima kirais JPM, he is here to stay with us for long long time