Kama kijana hujaaajiriwa pita hapa

Kweli FaizaFoxy wewe ni ccm ndio maana ni mbinafsi "egoist" kauli yako hutumiwa zaidi ma wanga na vizee vya uswahilini pia unakatisha tamaa vijana hapa kuwa na ustaarabu wa kuwasemea walio wengi kwa 98% I dont means am a poor in real as i speak,tuwaonee waliowengi zaidi huruma mummy!/bafana songeni mbele kukata tamaa mwiko "uoga wako ndio umasikini wako"

Wewe kwanza hebu tumia lugha yako ya Taifa maana hiyo lugha ya Malkia imekupitia upande wa kushoto. Unajiaibisha tu.

Kuna bavichaa mmoja anauliza kama "rada ilitaifishwa IPTL kulikoni", sasa huyo utamuonea huruma kwa lipi?

Huruma za mamba? unawachangisha kwenye bakuli halafu unaenda kujengea jumba hawara? na wanaona, na wanajuwa. Hao wa kuonewa huruma? fikiri.
 
Wewe kwanza hebu tumia lugha yako ya Taifa maana hiyo lugha ya Malkia imekupitia upande wa kushoto. Unajiaibisha tu.

Kuna bavichaa mmoja anauliza kama "rada ilitaifishwa IPTL kulikoni", sasa huyo utamuonea huruma kwa lipi?

Huruma za mamba? unawachangisha kwenye bakuli halafu unaenda kujengea jumba hawara? na wanaona, na wanajuwa. Hao wa kuonewa huruma? fikiri.

mama tunakuomba kwa hekima na busara ama uachie thread hiii.Ama utushauri wanao namna gani tujikwamue na ajila.
Masuala ya kusema kama huna huna tuuu nikujishusha hadhi mama yetu
 
mama tunakuomba kwa hekima na busara ama uachie thread hiii.Ama utushauri wanao namna gani tujikwamue na ajila.
Masuala ya kusema kama huna huna tuuu nikujishusha hadhi mama yetu

= ajira

Nimesema anza kwa kuandika lugha yako ya Taifa vizuri, unategemea nani atakupa ajira ikiwa hata unapoelekezwa kuandika sawasawa hutaki?

Kama hujaanza kujirekebisha huu ujinga mdogo mdogo unafikiri utaajirika? sana sana ukatafute ajira ya kushughulikia garden za akina Mbowe tu. Na hata yeye sijuwi kama atakupa hiyo "ajila".

Hakuna "ajila" kuna ajira tu, unachokiongelea hakipo. Kumbuka hilo.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
= ajira

Nimesema anza kwa kuandika lugha yako ya Taifa vizuri, unategemea nani atakupa ajira ikiwa hata unapoelekezwa kuandika sawasawa hutaki?

Kama hujaanza kujirekebisha huu ujinga mdogo mdogo unafikiri utaajirika? sana sana ukatafute ajira ya kushughulikia garden za akina Mbowe tu. Na hata yeye sijuwi kama atakupa hiyo "ajila".

Hakuna "ajila" kuna ajira tu, unachokiongelea hakipo. Kumbuka hilo.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Sawa mama " ajira" ila utupishe basi naona mnawasiwasi na nafasi zenu baada ya kuona vijana wenye kasi
 
= ajira

Nimesema anza kwa kuandika lugha yako ya Taifa vizuri, unategemea nani atakupa ajira ikiwa hata unapoelekezwa kuandika sawasawa hutaki?

Kama hujaanza kujirekebisha huu ujinga mdogo mdogo unafikiri utaajirika? sana sana ukatafute ajira ya kushughulikia garden za akina Mbowe tu. Na hata yeye sijuwi kama atakupa hiyo "ajila".

Hakuna "ajila" kuna ajira tu, unachokiongelea hakipo. Kumbuka hilo.

Ukweli ubaki kuwa ukweli.

Wahitimu wa siku hizi wanatia aibu kabisa eti ajila badala ya ajira hivi ni kweli Kiswahili hamkifahamu au mnafanya makusudi nyambafu hebu jifunzeni kuandika kiswahili fasaha ili mpate hizo ajira kwani mnaonekana bado ni wajinga.
 
Wakuuu heshima kwenu.
Nimesikitishwa sana na suala la TRA nafikiri kuendesha interview kwa vijana 28000 pale taifa huku vijana wanaohitajika hawafiki 50!
Ninaaamini kunavijana wengi humu hawana ajila.
Ningependekeza basi tuungane wakuuu serikali haina mpango kutuajili.
Nashauri tuuu labda wapatikane vijana makini zaidi ya 50, vijana hawa wanakutana na kujadili waanze na kipi wafuate kipi! Then wakakaaa na kujadili ajila zipi zitengenezwe katika miradi ipi itakayoundwa. Tutengeneze taasisi ya kwanza itakayo tengeneza ajila na kuwa tegemeo la kwanza kwa wahitimu.
Nawasilisha
********
kunawazo la kuunda Watsup group kwaajili ya kutuunganisha kama unahitaji nitumie ujumbe kupitia 0652967265 nitakuadd

Ajira na sio ajila.
Wazo lako ni zuri.
 
Wahitimu wa siku hizi wanatia aibu kabisa eti ajila badala ya ajira hivi ni kweli Kiswahili hamkifahamu au mnafanya makusudi nyambafu hebu jifunzeni kuandika kiswahili fasaha ili mpate hizo ajira kwani mnaonekana bado ni wajinga.

mwanzoni niliwrong lakini sasa nafanya makusudi. AJILA. fox ondoka hapa vijana hatukutaki.Hatujaandaa thread kwaaajili ya Ajila ama Ajira
 
Sawa mama " ajira" ila utupishe basi naona mnawasiwasi na nafasi zenu baada ya kuona vijana wenye kasi

Nenda kwenye post yako kafanye editing.

Hiyo kasi? au kujirudisha nyuma darasa la kwanza? Ikiwa hujuwi kuwa ni ajira na si "ajila" halafu unaiita kasi? nakusikitikia sana kijana. Anza kuwa mkweli ndani ya nafsi yako na ukubali kujirekebisha.

Nakushauri uanzie kwenda pale karibu kabisa na kwako kwenye ofisi yoyote ya chadema, kutana na viongozi wa hapo wana ajira nyingi sana, lakini kama si mchagga nenda na rafiki yako wa kichagga bila hivyo utapigwa danadana. Anzia hapo.
 
Ukiwa huna huna tu hata uwekwe shule gani unabaki kuwa huna tu.

Binafsi nakiri kosa katika uandishi na ningerekebisha kama ningeambiwa na mtu mwenye busara. Faidha anamaneno ya kebehi! kama hiyo statement hapo juu
Faidha tunakuomba uachie thread hii vijana tufanye kazi ya msingi.
Ninakwambia sibadilishiiiiii
Bora nidhalilike kwa spelling error lakini so nidhalilike kwa kumtii mwanamke fedhuli kama faidha
 
Nenda kwenye post yako kafanye editing.

Hiyo kasi? au kujirudisha nyuma darasa la kwanza? Ikiwa hujuwi kuwa ni ajira na si "ajila" halafu unaiita kasi? nakusikitikia sana kijana. Anza kuwa mkweli ndani ya nafsi yako na ukubali kujirekebisha.

Nakushauri uanzie kwenda pale karibu kabisa na kwako kwenye ofisi yoyote ya chadema, kutana na viongozi wa hapo wana ajira nyingi sana, lakini kama si mchagga nenda na rafiki yako wa kichagga bila hivyo utapigwa danadana. Anzia hapo.

Heee we mama umefikia hatua ya kunipa kadi ya chama?????
shame on you
SIENDI na SI EDIT
 
Usijifanye unaleta ujuaji usio maana hapa na siasa taka za u-ccm/u-chadema.
Ukiona unaumizwa na makosa madogo ya lugha, nenda kaanzishe Uzi wa elimu/ kiswahili au lugha hukoooo

Usikasirike, hata wewe jana nilikupa darsa na umefaidika, unakumbuka?
 
Wakuuu heshima kwenu.
Nimesikitishwa sana na suala la TRA nafikiri kuendesha interview kwa vijana 28000 pale taifa huku vijana wanaohitajika hawafiki 50!
Ninaaamini kunavijana wengi humu hawana ajila.
Ningependekeza basi tuungane wakuuu serikali haina mpango kutuajili.
Nashauri tuuu labda wapatikane vijana makini zaidi ya 50, vijana hawa wanakutana na kujadili waanze na kipi wafuate kipi! Then wakakaaa na kujadili ajila zipi zitengenezwe katika miradi ipi itakayoundwa. Tutengeneze taasisi ya kwanza itakayo tengeneza ajila na kuwa tegemeo la kwanza kwa wahitimu.
Nawasilisha
********
kunawazo la kuunda Watsup group kwaajili ya kutuunganisha kama unahitaji nitumie ujumbe kupitia 0652967265 nitakuadd

0652 611 558
Naunga hoja mkuu
 
Faiza foxy kwani shida yako nini? Tumeshakwambia utuachie thread yetu, kama ww una akili sana unaona sisi vilaza wa division 5, basi tuache na ukilaza wetu, hatutaki kebehi na dharau zako,

Anza kwa kuwa mzalendo kuienzi lugha yako ya Taifa.

Sikebehi wala sidharau nnapokupa darsa la kutumia herufi sahihi unapoandika lugha yako ya Taifa. Wewe unapoandika Kiswahili kibovu ndiye mwenye kufanya dharau na kukebehi lugha yetu tamu.

Huu mtandao unasomwa na kuonekana dunia nzima, na wengi huingia humu kufanya mazoezi ya Kiswahili. Kumbuka hilo.

Mimi nyuzi yenu sina shida nayo, lakini nikipita nikiona Kiswahili kinaharabiwa basi mjuwe ntawapa darsa. Mkitaka msinione humu anzeni kwa kuandika Kiswahili sawasawa.

Upo hapo ulipo?
 
Back
Top Bottom