Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,500
- 86,042
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.
Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.
Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?
Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.
Wakumbuke, nawakumbusha aliyekuwa Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauaji Kanisani.
Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Jumla ya viongozi na wanachama 20 wa CHADEMA kanda ya Viktoria wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi baada ya kukamatwa jana kanisani.
Kwa mjibu wa OCD anadai kuwa wanachama hao wa CHADEMA walifanya vurugu kanisani.
Askofu Nkwande amekanusha kuwa kulikuwa na vurugu
Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.
Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?
Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.
Wakumbuke, nawakumbusha aliyekuwa Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauaji Kanisani.
Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Jumla ya viongozi na wanachama 20 wa CHADEMA kanda ya Viktoria wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi baada ya kukamatwa jana kanisani.
Kwa mjibu wa OCD anadai kuwa wanachama hao wa CHADEMA walifanya vurugu kanisani.
Askofu Nkwande amekanusha kuwa kulikuwa na vurugu