Kama January Makamba ana mpango wa kugombea Urais 2030, namshauri akabatizwe kwa maji mengi mapema

Hata Mwalimu Nyerere alishasemaga ktk kumpata Rais wa nchi tusiangalie dini ya mtu.

Hata wakifululiza waislam awamu 2-3 haina tatizo ilimradi tupate Rais mwenye kutufaa kushirikiana naye ktk kuleta maendeleo ya nchi yetu kwa faida ya tuliopo na vizazi vyetu vijavyo.

Kwa hiyo kama Januari ataamua kutanga nia na kupata ridhaa ya chama chake basi tutakuwa tayari kumuunga mkono na mguu.
mtamuunga mkono nani?
 
Unakuwa mgeni na siasa za bongolandccm?

Eti mwaka 2025 tunamweka.....ampokee samia!!!!

Chukua hii huyo Samia ni mwenyekiti wa chama Chao

Ulishasikia mwenyekiti wao kaishia njiani hataki kuongoza) kwenye safari ya miaka 10?
Siyo swali langu, lakini nijuavyo mwenyekiti aliye pita wa chama hicho hicho, hakumaliza ten! Hata 6 hakufika!
 
Unachuki za kishenzi na za kishamba wewe .watu wenye tabia hizo wengi wao wanaishi kwa mashemeji
Kwa hiyo kama naishi kwa shemeji ndio siruhusiwi kukutongoza mtoto mzuri?

Usiwe na wasiwasi mtoto mzuri, nitakua nakupeleka gesti mama angu kwenda kukutafuna.
 
Samia mwisho wake ni 2025.

Kama anapenda urais mwaka 2025 akagombee kwao Zanzibar pamoja na Mwinyi ila huku Tanganyika hii bahati aliyopata ndio ya kwanza na ya mwisho.

Wazanzibari nafasi yao ni makamo wa rais tu na sio urais. Wawe tu wanaombea rais afe washike nchi kwa muda mfupi uliobaki.

Hilo ni moja, la pili, huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana. Sasa hivi kila kitu anasema anaenda kuomba, juzi akiwa arusha anaulizwa stendi anasema ataomba hela, madarasa alisema ameomba mahala hela, kila kitu anasema anaomba sehemu hela. Sasa Tanzania haina tofauti na Afghanistan, ni omba omba wa kila kitu.

Haiwezekani unaongoza nchi kwa kuomba omba. Mkapa aliwahi kusema, utegemezi hudumaza na heshima inashuka ukiwa omba omba. Tanzania sasa imekua omba omba kwa vitu hata ambavyo tungeweza kufanya wenyewe. Ama huyu mama anaamini Wazungu wanatupenda saaana watanzania pale akiomba wanampatia?

Jana nimemsikia anasema aliamua kuwaondoa machinga eti kisa wazungu waliogopa kuja kwa sababu machinga wakikwapua pochi wanapotelea kwenye vibanda sio rahisi kupatikana ila sasa mtu akikwapua pochi ni rahisi kupatikana, yaani huyu mama anaamini watanzania wote ni wezi, kwamba machinga wote kazi yao ni kukwapua vipochi vya wazungu.

Tanganyika tukiendelea kuweka watu kama hawa madarakani basi maendeleo tutaendelea kuyasikia redioni.
Nimesoma kw makini hoja yako.....ni bahati mbaya Sana Rais wetu inaelekea Hana washauri wazuri, au wanafanya makusudi kutomshauri ikiwa ni mbinu chafu ya kumhujumu...Ni Jambo baya Sana kumhujumu Rais wetu...
 
Mnaumizana kisa mh January mara mh mwigulu
Mama atawale tu hizi timu zife


Sisi tunataka kuchagua kiongozi na siyo mtawala.

Baada ya kupata Uhuru tunaongozana kwa kupeana ridhaa na siyo kutawalana.

Mentality ya kutawala Ndiyo inayopelekea Viongozi kuvuka mipaka kwa kuamua mambo mengine kinyume na Katiba kwa matakwa yao kwa kujiona ni watawala badala ya Viongozi wa wananchi.
 
Namshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.

Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Haya ndio alishayasemaga nyerere! Kwamba watz kuna kautaratbu ambacho sio formal..wamejiwekeaa..mwanzo ilikuwa ni rais akiwa wa zenji awam hii bas ijayo atatoka bara..hilo likaisha wakat wa jk na mkapa na had sasa..limebak moja tu ambalo limeota miziz..kwamba awam hii akiwa mkiristo awamu inayo ni muislam..hili litatumaliza sana watz..ni udhaifu mkubwa katika hili..tusichague mtu kisa ni mkristo au muslim..tutakosa ubora wa mtu!
Hizi dini kama ni amri yangu ni kuzipiga marufuku....na kufuta hii inayoitwa ukirsto na uislam..
 
Samia mwisho wake ni 2025.

Kama anapenda urais mwaka 2025 akagombee kwao Zanzibar pamoja na Mwinyi ila huku Tanganyika hii bahati aliyopata ndio ya kwanza na ya mwisho.

Wazanzibari nafasi yao ni makamo wa rais tu na sio urais. Wawe tu wanaombea rais afe washike nchi kwa muda mfupi uliobaki.

Hilo ni moja, la pili, huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana. Sasa hivi kila kitu anasema anaenda kuomba, juzi akiwa arusha anaulizwa stendi anasema ataomba hela, madarasa alisema ameomba mahala hela, kila kitu anasema anaomba sehemu hela. Sasa Tanzania haina tofauti na Afghanistan, ni omba omba wa kila kitu.

Haiwezekani unaongoza nchi kwa kuomba omba. Mkapa aliwahi kusema, utegemezi hudumaza na heshima inashuka ukiwa omba omba. Tanzania sasa imekua omba omba kwa vitu hata ambavyo tungeweza kufanya wenyewe. Ama huyu mama anaamini Wazungu wanatupenda saaana watanzania pale akiomba wanampatia?

Jana nimemsikia anasema aliamua kuwaondoa machinga eti kisa wazungu waliogopa kuja kwa sababu machinga wakikwapua pochi wanapotelea kwenye vibanda sio rahisi kupatikana ila sasa mtu akikwapua pochi ni rahisi kupatikana, yaani huyu mama anaamini watanzania wote ni wezi, kwamba machinga wote kazi yao ni kukwapua vipochi vya wazungu.

Tanganyika tukiendelea kuweka watu kama hawa madarakani basi maendeleo tutaendelea kuyasikia redioni.
Duu..hilo la wazungu kuogopa kuja..hakika tumepigwaa pale chamwino na magogoni! Yelewiiiiji..ngachokaaa
 
Mzee Mgaya kuna siku ulisema humu kwamba huyo jamaa ni mgalatia leo naona unakanusha,
 
Namshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.

Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mhhhhh mzee wa Preventive Maintenance, nchi wasiofaa ndio wanao pigiwa debe wawe Marais.
 
Samia mwisho wake ni 2025.

Kama anapenda urais mwaka 2025 akagombee kwao Zanzibar pamoja na Mwinyi ila huku Tanganyika hii bahati aliyopata ndio ya kwanza na ya mwisho.

Wazanzibari nafasi yao ni makamo wa rais tu na sio urais. Wawe tu wanaombea rais afe washike nchi kwa muda mfupi uliobaki.

Hilo ni moja, la pili, huyu mama uwezo wa kuongoza nchi hana. Sasa hivi kila kitu anasema anaenda kuomba, juzi akiwa arusha anaulizwa stendi anasema ataomba hela, madarasa alisema ameomba mahala hela, kila kitu anasema anaomba sehemu hela. Sasa Tanzania haina tofauti na Afghanistan, ni omba omba wa kila kitu.

Haiwezekani unaongoza nchi kwa kuomba omba. Mkapa aliwahi kusema, utegemezi hudumaza na heshima inashuka ukiwa omba omba. Tanzania sasa imekua omba omba kwa vitu hata ambavyo tungeweza kufanya wenyewe. Ama huyu mama anaamini Wazungu wanatupenda saaana watanzania pale akiomba wanampatia?

Jana nimemsikia anasema aliamua kuwaondoa machinga eti kisa wazungu waliogopa kuja kwa sababu machinga wakikwapua pochi wanapotelea kwenye vibanda sio rahisi kupatikana ila sasa mtu akikwapua pochi ni rahisi kupatikana, yaani huyu mama anaamini watanzania wote ni wezi, kwamba machinga wote kazi yao ni kukwapua vipochi vya wazungu.

Tanganyika tukiendelea kuweka watu kama hawa madarakani basi maendeleo tutaendelea kuyasikia redioni.
Well said ni mbovu sn huyu bibi
 
Back
Top Bottom