johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,627
Namshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.
Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.