Kama huwezi utani usifungue hapa.

Kama huwezi utani usifungue hapa.

Status
Not open for further replies.
Haha! Muone huko, shangaz yako mnene akivaa nguo za njano anafanana na SCHOOL BUS
 
yani mlio comment humu midomo yenu kama chai jaba.
 
Twende twende!kichwa kama tonge la ugali
midevu imekusimama kama brashi ya chachandu
tumbo kubwa kama unanyea humo humo

niendelee

ndio maana bibi yako sista duu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom