Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,590
DuuhAnaenda mbali zaidi akimaanisha atawafunza namna ya kutoa mlango wa uwani
DuuhAnaenda mbali zaidi akimaanisha atawafunza namna ya kutoa mlango wa uwani
Ni kweli akili yake imejaa upupu tuLimjaalo mtu ndio limtokalo.
Nilikua nina stress Ila nimepitia comment za wadau nikajikuta nacheka mwenyewe 🤣🙌Nasikitika kuwaambia vijana wenzangu hii dunia Ina watu wenye funguo zake na the only way ya kuzipata ni kuwa humble kwao.
Kweli masikini jeuri ni msemo usiuweke kwenye akili by FA.
Miaka mingi iliyopita.....Nasikitika kuwaambia vijana wenzangu hii dunia Ina watu wenye funguo zake na the only way ya kuzipata ni kuwa humble kwao.
Kweli masikini jeuri ni msemo usiuweke kwenye akili by FA.
mawazo yamejaa fikra za mitaro tu. Sasa huyu ni mtu wa kutegemewa kujenga Taifa.Ni kweli akili yake imejaa upupu tu
Nakubali sana mkuu. Life is game but it's not fair.Miaka mingi iliyopita.....
Kuna watu hawawez kua chawa hata maisha yawe vipi....
Huwa hatuzijui kesho zetu oxygen ni hii wengine Bata eee wengine msoto eeee....
Maisha hayana Single difinition.....Kuna watu Wana bahati sana tangu wanazaliwa mpka wanakufa hawajawai kupata misoto wa kimaisha....
Kwan nasema uongo mkuuNilikua nina stress Ila nimepitia comment za wadau nikajikuta nacheka mwenyewe
Utafanyaje Sasa wakati uhakika wa kula hamnaLambeni viatu
hujamwelewa jamaa...issue sio kuomba hela au kuwa chawa....issue ni kupewa fursa ambazo hujawahi kudhania kuwa watu ndio wanapigia pesa...i.e michongoSwali: Una ushawishi gani wa kumfanya mwenye hela, akupatie hela yake?
Kweli Mkuu watu wanawaza uchawa tu Bado tuna safari ndefu.hujamwelewa jamaa...issue sio kuomba hela au kuwa chawa....issue ni kupewa fursa ambazo hujawahi kudhania kuwa watu ndio wanapigia pesa...i.e michongo