Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 347
- 546
Ukweli ndo huu ,uchukie ,ubishe,unune,kama huna elimu ya juu (angalau diploma na kuendelea kwenye fani yoyote) kutoboa aya maisha ni kwa bahati sana.
Angalizo : sijamaanisha kuwa na professional education ni tiketi ya moja kwa moja ya mafanikio.
Ngoja niende pale ofisi za CCM central police,Mwanza, nikatie nia ya kugombea udiwani kata ya mbugani nichukue na form.
Angalizo : sijamaanisha kuwa na professional education ni tiketi ya moja kwa moja ya mafanikio.
Ngoja niende pale ofisi za CCM central police,Mwanza, nikatie nia ya kugombea udiwani kata ya mbugani nichukue na form.