Mugo wa kibilo
Senior Member
- Oct 13, 2012
- 175
- 72
Deadly pley mpaka sasa naiangalia nzuri sana
Ni movie moja nzuri sana na ni kisa cha kweli kilitokea wakati wa vita ya USA na Vietnam,battalion iligawanyika Stuff Sergeant Barnes na Sergeant Elias kila mmoja alikuwa na askari wake upande mmoja ukitaka smooth war kupigana vita vya akili upande mwengine ukitaka hard war kupigana vita vya kutisha na kuogofya.Hii movie sijawahi kuielewa labda niiangalie tena
Ile ya kikorea ?...Kuna moja pia ya the bodyguard from Thai ushawahi kuiona?
nimekukumbusha 2012 kurudi nyuma hafu unasema mbali......Daah umenikumbusha mbali sana,,Umezisahau,Koyla,Mohra,Zaalim,Teri Mihelibania,Soldier boyz,Strike Commando,Robowar,Shaolin soccer,Shaolin Temple,Amrican Samurai,Game of death,Eastetn Condors,Black ship,A.W.O.L,nk.
Ainomeki babaakonimekukumbusha 2012 kurudi nyuma hafu unasema mbali......
Daah OK.!!Namaanisha haina noma mzee,nikisema aikwereki ujue namaanisha haina kwerehilo lilugha silielewagi japo nimejitahidi kujifunza ila wapi
Hata mijenereta unataka kusema haikua na uhuru kufika huko, unatia aibu mkuuNdo umeme wa Rea umeingia hapa kijijini kwetu,ngoja nizitafute namm nione maana tangu uhuru hapa kwetu ilikuwa giza
Vipi mkuu happy to see yoou... hopefull you good!
- commando vigogo
- arnold jicho moja (the terminator)
- jet li ustadhi (the body guard from beijing)
- commando kibukta asiyekoga (the deadly pray)
- meno ya kaa ( predator)
- american ninja
- the mask
- kick boxer
- universal soldier
- robocop
- drive
- missing in action
- strike commando
- above the law
- cyborg
- lucky kids
- double impact
- solo
- tai chi
- fist of legend (jet li na mjapani mapanki)
dah zile shilingi 20 zangu nilizokuwa nalipia laiti kama ningelizichanga ningelikuwa namiliki kiwanda cha kufyatua movies muda huu (ndoto za kilevi)
me too brother,Vipi mkuu happy to see yoou... hopefull you good!
kumbe nawe mdauu wa haya mavitu nikajua KBC2 pekee
sijui nikupe pole au hongera.. but kila mtu na upendeleo wake.. nami napenda hizi mambo ila sitaki kuangalia series kwa sasa maana najua nitanogewa hafu nitakula muda wa kufanya mengine.me too brother,
hollywoood nilikuwa mshabiki mkubwa sana miaka ya mwanzoni ya utoto wangu, kwa miaka sita hii iliopita nimehamia korea na mpaka muda huu kung'atuka siwezi.
nina miaka takribani sita sijaangalia filam, series wala kufuatilia maisha ya hollywood celebrities.
nina miaka takribani sita sijafuatilia wala kusikiliza nyimbo mpya kwa dhamira za waimbaji wa kimarekani ukiondoa zile za miaka ya zamani zilizoimbwa na waimbaji kama vile mariah carey, celine dion, boyz 2 men e.t.c.
huyo rambo simjui hata yupo hali gani muda huu.
pole inanifaa kupokea brother bila ya pingamizi yoyote.sijui nikupe pole au hongera.. but kila mtu na upendeleo wake.. nami napenda hizi mambo ila sitaki kuangalia series kwa sasa maana najua nitanogewa hafu nitakula muda wa kufanya mengine.
Try mkuu uwe unaangalia mara mojamoja hollywood...!
hata mm hua nasikiliza nyimbo za zamani tu kiukweli..
kila jambo linahitaji dhamira ya dhati pindi unapotaka kulitekeleza, so kiupande wangu nakosa ile dhamira ya kufanya maamuzi ya kurudi hollywood.daaah ila ww si mtaalamu wa mambo ya software.
ok.. brohkila jambo linahitaji dhamira ya dhati pindi unapotaka kulitekeleza, so kiupande wangu nakosa ile dhamira ya kufanya maamuzi ya kurudi hollywood.
ni maamuzi tu brother haijalishi nimeshakuwa muathirika wa hallyu.
lakini itanichukua muda mrefu kupata matibabu ya ugonjwa wa hallyu.
nakosa hamu hata ya kutembelea tovuti tofauti kwa dhumuni la kutafuta link zitakazoniwezesha kucheki ulimwengu wa hollywood n.k