Nataka siku moja niitafute kwa udi na uvumbaHii ni balaaa
Hahahaha kumbe ndivyo inavyoitwa duh akili za kitoto hizoOnly the way....
The sound track was fantastic
Naona kwenye za kivita kila mmoja ana mtazamo wake saving private ryan ndio bora kwangukama hujaangalia WE WERE SOLDIERS ni kazi bure.
Naona kwenye za kivita kila mmoja ana mtazamo wake saving private ryan ndio bora kwangu
Jamaa alikufa mdogo aged 35 kwa ngoma aliyoipata kutokana na kuongezewa damu.Yupi huyo mkuu
Mkuu kama mtu akizihitaji hata kwa kukuchangia kiasi cha pesa unaweza kumpa?ninazo kwenye CDs na zimeanza kupata scratches nataka nizihifadhi kwa uzuri.ninazo kiasi ila zoote hapo nimeona
View attachment 1099151
Platoon mkuu,hutojuta!Naona kwenye za kivita kila mmoja ana mtazamo wake saving private ryan ndio bora kwangu
Katoa kama ushauri si lazima uufuate(ushauri humfikia uumpasae, ukiona haukupaswi basi si maalum kwa ajiri yako), hii ni sehem ya kushare kile unachokijua ili na wenzio wajue kupitia ww.. yupo sawa Da vinci.Ndugu mara zote huwa naheshimu sana na kusoma kwa umakini mkubwa sana nyuzi zako, ila kwa hii umepotoka sana. Usikae kuona kwamba jambo fulani unaweza kulifanya kiukamilifu basi ukajua kila mtu anaweza kufanya vivyo hivyo kama wewe au kila unachokifahamu basi kila mtu anakifahamu
Wale wa Bollywood sasa!! Ngumi moja toka posta unadondokea masaki...