wote tumepita huko mkuu..Nishanyanganywa shati kisa kuchungulia ukumbini..ilikua SpidermanMkuu Da'Vinci hizo movies zilikula sana vijisenti vyangu enzi ya utotoni maana tulikua tunazicheki kwenye mabanda ya video tena zikiwa zimetafsiriwa kwa kiswahili na bwana Lufufu Mukandala
Kingilio ilikua tunalipia Tsh.50/= kwa kila movie
Iko poaYep ndio hio mkuu
Pretty sureApparently am good enough,hope u good too!
Kwa mdau mkubwa wa muvi kama ww lazima uwe umeziona hizi
Hii nayo ina vituko
Usingeiweka ningeiweka mimiNyingine hiiView attachment 1099226
Mimi makonzi nishachezea sana kisa kuchungulia muvi hizowote tumepita huko mkuu..Nishanyanganywa shati kisa kuchungulia ukumbini..ilikua Spiderman
Kevin Peter Hall , huyu alikua ndiye predator ,kwenye zile movies za arnoldYupi huyo mkuu
Natamani niione tena the hard way
No retreat no surrender