Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

Tatizo hawashauriki
Hizi ni changamoto za biashara japokuwa ni ngumu kutoa maamuzi kwa kutumia flight moja.Je ni kila siku hakuna wateja au ni siku hiyo tuu?Na jee ilivyokua inarudi Entebe Kilimanjaro, hali ilikua hivyo hivyo?

Niliwahi kushuhudia Egypt Air Airbus 320 from Cairo to DSM ikiwa na abiria 20.

So hizi ni changamoto na ninaamini wahusika wakiona route hailipi wataifuta kama KQ walivyositisha NBO to New York.
 
Jamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Hapana ni kutokuwa na business plana na kukimbilia biashara ta show off!!!!!!!!!!!
Inauma sana kuona brand new long range Aircraft bado inafanya safari za inter city chopper!!!!!! Are we real serious with what presider invested??????????
Naomba Boss mkubwa aiwajibishe ATCL management including its Board of Directors!!!!!!!!!!!!!!
 
November 30 ndege ya abiria 144 ilipata abiria mmoja tu kwenda Thai island.
Mwaka jana ndege ya abiria iliyokuwa inaenda Malta ilipata abiria mmoja tu.
Haya ni mambo ya kawaida sana.
 
Hata basi za Modern kutoka Mwanza kwenda Nairobi mara nyingine huwa zinabeba hadi watu 15 kwenda Nairobi. Biashara kuna kupata na kukosa.
Hayo mabasi hayatuhusu maana hatukuingiza kodi zetu sisi tunaongelea hiyo ndege yetu iliyo tafuna kodi zetu kuinunua tena keeshiii
 
Mm nliwahi kusafiri na basi toka dar hadi iringa tulikuwa abiria hatuzidi 20 kwenye basi la watu 60, so haya mambo ni ya kawaida kila kona.

Shida ya mleta mada yeye ni kuokoteza kila aina ya takataka na kuila
Mwanabodi, tutumie hekima na busara, kwa kuwa wa kweli khs Gharama za uendeshaji....

City daladala, Buses za safari za Mikoani na Airplanes..
Gharama zake hauwezi kuzilinganisha hata Kidogo.
Labda Insane persons!
 
Unajua ubishani huja mtu asipojua fikra za mwenzake.
Mimi najua biashara kwa shirika lililofufuliwa is next to national identity.
Sasa mtu asipojua hilo ni kila siku kuleta habar hasi.
What a sadist generation!
hamuwezi kuwa busy kila siku kuwafanya wenzenu ni second class,kuwanyanyasa ,kuwateka,kuwaua halfu wasifurahie vimeo vyenu vikifeli.
 
Tunaambiwa ndege zingine mbili zunakuja disemba hii ngoja zije ili zipakie hata matunguli ya maccm as a part of passengers maana ndege zimekosa abiria wa uhakika.
Kuna failure zingine ni za kujitakia, shirika liaanzaje biashara bila business plan wanakurupuka kupeleka ndegee Entebe bila research kwa kutafuta kiki za kisiasa.

If you don't plan you are planning to fail.
 
Hayo mabasi hayatuhusu maana hatukuingiza kodi zetu sisi tunaongelea hiyo ndege yetu iliyo tafuna kodi zetu kuinunua tena keeshiii
Hahahahaaa...... Kumbuka ile ni biashara, labda tukodishe kuepuka hasara.
 
Wewe hata ungesafiri pekee yako kwenye hilo bus haituhusu bali kwa ndege yetu iliyo tumia kodi zetu kuinunua na kuiendesha ndiyo inattuma na lazima tupige kelele
Mm nliwahi kusafiri na basi toka dar hadi iringa tulikuwa abiria hatuzidi 20 kwenye basi la watu 60, so haya mambo ni ya kawaida kila kona.

Shida ya mleta mada yeye ni kuokoteza kila aina ya takataka na kuila
 
Back
Top Bottom