Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,275
Habari wana Jf,

Kwa mujibu wa kazi yangu inanibidi nitafute mke au housegirl maana nimechoka kufanya kazi ndogondogo za nyumbani. Hii ni kutokana na kazi niliyonayo ya kitaifa, je kwa mtazamo wa kawaida, naruhusiwa kuwa na housegirl nyumbani kwangu ikiwa nipo single sina mke?
 
Africa Tanzania

Maswali mengine yanachekesha sana

Anyway inafaa sana kaka Vila taadhali ni wewe kucontrol miemko yako ya kimwili maana waweza shawishika kulala name house girl

So take care mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hahhhhahaha. Hauruhusiwi kabisa. Mpaka uwowee. Idiot
 
habari wana jf, kwa mujibu wa kazi yangu inanibidi nitafute mke au housegirl maana nimechoka kufanya kazi ndogondogo za nyumbani.Hii ni kutokana na kazi niliyonayo ya kitaifa, je kwa mtazamo wa kawaida,naruhusiwa kuwa na housegirl nyumbani kwangu ikiwa nipo single sina mke?

Posts count:1
Other:junior member
Forum: MMU - Lango la jiji au ubungo terminal na gari ya viazi
 
Sijui tukusaidieje humu??!!....
Ngoja nipulize kwanza nitarudi tena
 
kwani we kaka mleta mada unaonaje?ebu jaribu kujishauri mwenyewe kwanza alafu tuambie umejishaurije
 
Kuna watu wakiitwa watoto wanakasirika...sasa hapo unauliza swali gan??
 
Upo mwenyewe..... Komaa Na kwa Mantilie
 
Tafuta hausigelo ili akusaidie shughuli zote, hata ukiwa na mke utahitaji hausigelo...bora hausigelo tu
 
Hivi unaweza kuweka simba na swala kwenye zizi moja wawe salama?
 
Back
Top Bottom