Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Maswali mengine yanachekesha sana

Anyway inafaa sana kaka Vila taadhali ni wewe kucontrol miemko yako ya kimwili maana waweza shawishika kulala name house girl

So take care mkuu

sawa mkuu, swali linachekesha eee?
 
Gfttjrrjffffkffrmnr frjjgjkkkkkkkkkkkirirjvghjjhhhhhhhhhhhjjhjjjfjfjffjrjfijffjfjfjfjfjtfffjtjjjfjftjtjtrjhjjttjjjffjdjej. Highly. Nguo tritium
 
Unategemea kuwa na viongozi wazuri kama ndo hivi
 
Tafuta mtu atakayekuwa anakuja kufanya kazi asubuhi na kurudi kwao jioni
 
habari wana jf, kwa mujibu wa kazi yangu inanibidi nitafute mke au housegirl maana nimechoka kufanya kazi ndogondogo za nyumbani.Hii ni kutokana na kazi niliyonayo ya kitaifa, je kwa mtazamo wa kawaida,naruhusiwa kuwa na housegirl nyumbani kwangu ikiwa nipo single sina mke?
mpaka hapo nakushauri tu usitafute housegirl wala mke.
 
Sio mbaya ukianza kwa kumpa cheo cha house girl baadaye ukampandisha cheo na kuwa mother house.
 
Back
Top Bottom