Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Kama hii ikiwezekana, sioi mapema

Mmh wanawake kazi ipooo, mijitu mingine inaoa kisa uvivu wake kazi za ndogondogo hawezi ! na mwanamke akiugua tu atalazimishwa apike amfulie ndipo apumzike mfyuuuuiu, khaaa hebu tusubiri ambaye akikupata atafikiri mungu kamjaalia kumbe wew ulitaka tingatinga
 
naona kama jamii itanichukulia vibaya, maana siyo kawaida hii

ni kweli, ila we ndio unajua unahitaji nn....i thnk ukipata housegirl huyo msichana in a few months utambadilisha kuwa mke na hilo ninauhakika wa asilimia 100 kwamba unalijua na ndicho utakachokifanya cz itakuwa nyie wawili tu na maisha kama ya mume na mke (stay home wife na working husband)...mwisho wa siku ni maamuzi yako, goodluck
 
hahahahahaa mleta mada umenifurahisha, kama ukifikia uamuzi ni kuoa namuonea huruma sana huyo atakaekuwa mkeo.
 
Inawezekana kabisa Mkuu.......cha muhimu tafuta housegirl mwenye makalio makubwa!
 
Huyo hausgel anaweza kuwa anakuja na kuondoka...
 
Hili ndiyo tatizo la kuwa na vyuo vikuu vingi, ukiuliza Elimu ya mleta mada, atakuambia yupo mwaka wa mwisho chuo kikuu fulani.
 
Habari wana Jf,

Kwa mujibu wa kazi yangu inanibidi nitafute mke au housegirl maana nimechoka kufanya kazi ndogondogo za nyumbani. Hii ni kutokana na kazi niliyonayo ya kitaifa, je kwa mtazamo wa kawaida, naruhusiwa kuwa na housegirl nyumbani kwangu ikiwa nipo single sina mke?

ukifanya hivyo ujue kabisa ndo mkeo. hata ikija shwala la kuchagua basi umchague kama mke...hahaha
 
Hili ndiyo tatizo la kuwa na vyuo vikuu vingi, ukiuliza Elimu ya mleta mada, atakuambia yupo mwaka wa mwisho chuo kikuu fulani.

hahahaaa! sawa mkuu hujui tu, unaniona mtoto sana haya we mkubwa toa mawazo ya busara
 


Mfano Hai.
Kuna jamaa yupo sinza ana mke ambaye hajafunga naye ndoa na wana mtoto cha kuchekesha mke anaishi mtaa mwingine na jamaa anishi mtaa wa pili, mke yupo na mtoto pamoja na binti wa kazi LAKINI jamaa pia yupo anaishi na binti wa kazi za ndani na maisha yanaendelea.

Sijawahi kuona, kusikia fujo au matata kuhusu binti aliye kwa jamaa. Tatizo linaweza kuja kwako siku ya kupata njaa.
 
Inawezekana kuwa na HOUSE MAID hata kama hujaoa. Lakini atakuwa ni wa kutwa yaani anakuja asubuhi akishamaliza kazi zake anaondoka. Ufunguo mtakubaliana sehemu ya kuukuta anafanya usafi, kupika kwa kufuta menu iliyompa akimaliza anaondoka.

Hii kwa Nairobi ni kawaida kabisa na ni hao maid in wamana watu wazima ambao huna budi kumpa heshima kama shangazi yako
 
Inawezekana kuwa na HOUSE MAID hata kama hujaoa. Lakini atakuwa ni wa kutwa yaani anakuja asubuhi akishamaliza kazi zake anaondoka. Ufunguo mtakubaliana sehemu ya kuukuta anafanya usafi, kupika kwa kufuta menu iliyompa akimaliza anaondoka.

Hii kwa Nairobi ni kawaida kabisa na ni hao maid in wamana watu wazima ambao huna budi kumpa heshima kama shangazi yako

sawa mkuu
 
Back
Top Bottom