Kama Dunia inazunguka jua kwa Spidi kubwa kwanini vyombo vilivyo nje ya dunia haviachwi?

Wanasayansi wanasema dunia hulizuguka jua kwa speed ya 1609.344 kilomita kwa lisaa limoja tu, hivyo kumbe dunia ipo katika speed kubwa ya kulizunguka jua ndio maana tunapata usiku na mchana na majira ya mwaka.

Lakini ikumbukwe kuwa nnje ya uso wa dunia wanasayansi wametuma vyombo vingi sana ambavyo vipo katribu na uso wa Dunia kwaajili ya utafiti wa mambo ya anga na vingine kwa ajili ya mawasiliano na miongoni mwa vyombo hivyo ni

•ISS ~INTERNATIONAL SPACE STATION

•SATELLITE

View attachment 1009186

View attachment 1009187

Kama vyombo hivi vimetulia angani nnje ya uso wa Dunia kwa nini huwa haviachwi na Dunia kwa kuwa huwa inazunguka kwa Speed kubwa ya 1609.344 kilomita kwa saa?

Sent using Jamii Forums mobile app


Katika hali kama hiyo anatokea mtu anadai kuwa hakuna Mungu!!??.

Niingie kwenye mada, ni kwamba huna haja ya kuhoji juu ya hizo satellites (artificial), wewe kwanza fikiria juu ya mwezi ambao ni natursl satellite ya dunia, kitu ambacho mwezi unavyo behave kwa dunia ndivyo hivyohivyo artificial satellites zinavyo behave, kimsingi binadamu tumeiga sayansi ya Mungu kuhusu dunia na mwezi.

Kinachofanya mwezi siku zote uwe kando ya dunia licha ya dunia kukimbia katika kasi kubwa kiasi hicho kuzunguka jua ndiyo nguvu hiyohiyo inayozishikilia artificial satellites katika orbit zake nayo ni nguvu ya uvutano katika ya dunia na hizo satellites na ndiyo sababu hizo satellites na mwezi siku zote nazo huizunguka dunia ili kufanya nguvu ya uvutano iwiane na nguvu ya centrifugal.

Kwanini haziachani ni kwamba satellites zote zimo kwenye closed system moja na dunia. Mfano wake ni kama mtu uwemo ndani ya gari inayokwenda speed kubwa na wewe unakuwa katika kipindi hicho ni sehemu ya hilo gari na kama hakuna mtikisiko na hauta angalia nje basi huwezi kutambua kabisa kwamba gari hiyo inakimbia kwa speed kubwa kiasi hicho, na hii ndiyo hali tuliyonayo sisi tuliokuwa juu ya uso wa dunia kamwe hatuwezi kutambua/ kuhisi kwamba dunia inasafiri kwa (circular speed) kubwa kiasi hicho kwa sababu tumo ndani ya closed system na sisi tumekuwa kama ni srhemu ya dunia.
 
Kwa elimu ya kawaida ya Fzikia ambayo hata hivyo sikuendelea nayo naweza nikachangia hivi, kwanza vyombo hivi huwa vinarushwa kwa speed kubwa ili viweze kutoka kwenye uso wa dunia na vikifika kule juu vinaachiwa na kuanza kuizungua dunia kama ufanyavyo mwezi ila inategemea wanachunguza nini.

Kama kinachochunguzwa kipo sehemu flani labda bahari ya pacific wanarusha hicho chombo usawa huo na kukipa speed sawa na ya dunia inapojizunguusha kwenye mhimili wake hivyo vinakuwa vinakwenda sambamba eneo moja kama vile magari mawili yatembee barabarani kwa speed moja alafu yapo sambamba (wenyewe wanaita parking orbit)

Wanasayansi wanachoangalia ni speed ya dunia kujizunguusha kwenye mhimili wake ambayo inatupa usiku na mchana na si speed ya dunia kulizunguuka jua hivyo kwa kuwa vile vyombo vipo kwenye anga la juu la dunia vyenyewe vinafanya kazi ya kuizunguuka dunia kama unavyofanya mwezi na dunia wakati inalizunguka jua inakwenda navyo kwa pamoja kama vile unavyojitwisha mzigo huku umebeba vitu vingine mabegani unatembea

Nimejibu kisekondarisekondari yaani zamani sana miaka ya 90 na kitu hivi kabla ya google (wataalamu watakuja kuweka record sawa)
 
Habari mkuu. Naomba nijibu kutokana uelewa wangu kidogo nafikiri hivyo vyombo haviachwi na dunia kwa sababu vipo kwenye anga ya dunia nikiwa namaana kwamba vipo kwenye kani ya mvutano wa dunia (earth's gravitational force).
Pili hivi vyombo huwa vinawekwa kwenye 0 gravity area yaan sehem ambayo kani ya mvutano kati ya mwezi na dunia huwa pako balanced yaan hauwezi kuenda juu au kuenda chini kwani kani ya mvutano kati ya dunia na mwezi ni sawa au ni sifuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu vema sana
 
Umejibu vema sana


Matokea ya kani ya uvutano na kani centrifugal ni sufuri, yaani the resultant force between gravitational force and the centrifugal force equals zero.and that is why the equilibrium is achieved.

Lakini sio kwamba kani ya uvutano ni sufuri.
 
Satellite nazo zinazunguka kufuata mzungo na kasi ya mzunguko wa dunia.

Sio kwamba zinakuwa zimetulia.

Ni kama wewe upo ubavuni mwa gari unakimbia speed sawa na gari huku unawasiliana na mtu alie kwenye gari, gari ikikata kona na wewe unakata huko huko mradi ubaki usawa wa dirisha lile la gari unaloongea na mtu.
 
Habari mkuu. Naomba nijibu kutokana uelewa wangu kidogo nafikiri hivyo vyombo haviachwi na dunia kwa sababu vipo kwenye anga ya dunia nikiwa namaana kwamba vipo kwenye kani ya mvutano wa dunia (earth's gravitational force).
Pili hivi vyombo huwa vinawekwa kwenye 0 gravity area yaan sehem ambayo kani ya mvutano kati ya mwezi na dunia huwa pako balanced yaan hauwezi kuenda juu au kuenda chini kwani kani ya mvutano kati ya dunia na mwezi ni sawa au ni sifuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Je na vyenyewe huwa vinakimbia sawa sawa na dunia au vipo at stationary position sababu ya zero gravity?.
Kama vitu stationery sasa kwanin haviachwi nyuma?
 
Katika hali kama hiyo anatokea mtu anadai kuwa hakuna Mungu!!??.

Niingie kwenye mada, ni kwamba huna haja ya kuhoji juu ya hizo satellites (artificial), wewe kwanza fikiria juu ya mwezi ambao ni natursl satellite ya dunia, kitu ambacho mwezi unavyo behave kwa dunia ndivyo hivyohivyo artificial satellites zinavyo behave, kimsingi binadamu tumeiga sayansi ya Mungu kuhusu dunia na mwezi.

Kinachofanya mwezi siku zote uwe kando ya dunia licha ya dunia kukimbia katika kasi kubwa kiasi hicho kuzunguka jua ndiyo nguvu hiyohiyo inayozishikilia artificial satellites katika orbit zake nayo ni nguvu ya uvutano katika ya dunia na hizo satellites na ndiyo sababu hizo satellites na mwezi siku zote nazo huizunguka dunia ili kufanya nguvu ya uvutano iwiane na nguvu ya centrifugal.

Kwanini haziachani ni kwamba satellites zote zimo kwenye closed system moja na dunia. Mfano wake ni kama mtu uwemo ndani ya gari inayokwenda speed kubwa na wewe unakuwa katika kipindi hicho ni sehemu ya hilo gari na kama hakuna mtikisiko na hauta angalia nje basi huwezi kutambua kabisa kwamba gari hiyo inakimbia kwa speed kubwa kiasi hicho, na hii ndiyo hali tuliyonayo sisi tuliokuwa juu ya uso wa dunia kamwe hatuwezi kutambua/ kuhisi kwamba dunia inasafiri kwa (circular speed) kubwa kiasi hicho kwa sababu tumo ndani ya closed system na sisi tumekuwa kama ni srhemu ya dunia.
Umefafanua vizuri mkuu maana mie nilijitutumua kwa kukumbuka Physics ya A level kitambo sana (nimezunguuka lakini wewe umenyoosha maelezo)
 
Waliiona wapi ikiwa inazunguka?
Kingine ni kwamba sisi tunazunguka na dunia kwani tupo kwenye uso wadunia sisi pamoja na vitu vingine kama bahari,milima nk hii inatufanya tuzunguke kwa spidi sawa na dunia. Mfano ukiwa kwenye gari unakuwa na spidi sawa na gar na ndio maana dereva akiweka breki lazma abiria atokee kioo cha mbele kwani gari inasimama wakati abiria bado yupo kwenye spidiView attachment 1009209

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali kama hiyo anatokea mtu anadai kuwa hakuna Mungu!!??.

Niingie kwenye mada, ni kwamba huna haja ya kuhoji juu ya hizo satellites (artificial), wewe kwanza fikiria juu ya mwezi ambao ni natursl satellite ya dunia, kitu ambacho mwezi unavyo behave kwa dunia ndivyo hivyohivyo artificial satellites zinavyo behave, kimsingi binadamu tumeiga sayansi ya Mungu kuhusu dunia na mwezi.

Kinachofanya mwezi siku zote uwe kando ya dunia licha ya dunia kukimbia katika kasi kubwa kiasi hicho kuzunguka jua ndiyo nguvu hiyohiyo inayozishikilia artificial satellites katika orbit zake nayo ni nguvu ya uvutano katika ya dunia na hizo satellites na ndiyo sababu hizo satellites na mwezi siku zote nazo huizunguka dunia ili kufanya nguvu ya uvutano iwiane na nguvu ya centrifugal.

Kwanini haziachani ni kwamba satellites zote zimo kwenye closed system moja na dunia. Mfano wake ni kama mtu uwemo ndani ya gari inayokwenda speed kubwa na wewe unakuwa katika kipindi hicho ni sehemu ya hilo gari na kama hakuna mtikisiko na hauta angalia nje basi huwezi kutambua kabisa kwamba gari hiyo inakimbia kwa speed kubwa kiasi hicho, na hii ndiyo hali tuliyonayo sisi tuliokuwa juu ya uso wa dunia kamwe hatuwezi kutambua/ kuhisi kwamba dunia inasafiri kwa (circular speed) kubwa kiasi hicho kwa sababu tumo ndani ya closed system na sisi tumekuwa kama ni srhemu ya dunia.
SAMAHANI mkuu, ivi hakuna MTU anaeishi pembezoni kabisa mwa Dunia , ili awe anachugulia pembeniii au haina madirisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom