Kwahiyo watavunja na kukuajiri wewe mkuu?Hiyo ni ajira tuu yenye masharti yake. 1964 jeshi la KAR lilivunjwa na kuundwa JWTZ na kwa mikataba mipya
Kwahiyo watavunja na kukuajiri wewe mkuu?Hiyo ni ajira tuu yenye masharti yake. 1964 jeshi la KAR lilivunjwa na kuundwa JWTZ na kwa mikataba mipya
Natoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT Wazalendo wajiunge na SUK na CHADEMA wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
ushahidi huu hapa
hahahahahaaaaaa, wewe kiingereza unakielewa, vizuri mkuuKwa Wenu wenu wana Lumumba hapo ndo Gullian amewasifia??? Unajua kiingereza vizuri wewe??? Hapo amesifu au amewakejeli???
Tuliwaambia nyie ni ma certified vilaza mnasema tunawatukana kumbe ndo ukweli 😀
Halafu huyo mmarekani hajui vizuri sheria ya uchaguzi ya Tanzania, yeye anaongelea mail ballot, wakati sisi hatuna hiyo kitu.Kwa Wenu wenu wana Lumumba hapo ndo Gullian amewasifia??? Unajua kiingereza vizuri wewe??? Hapo amesifu au amewakejeli???
Tuliwaambia nyie ni ma certified vilaza mnasema tunawatukana kumbe ndo ukweli 😀
Natoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT-Wazalendo wajiunge na SUK na CHADEMA wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa...... Unamkubali sana P!