Marshall plan
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 644
- 980
Hizi propaganda za kipumbavu mnazofundishwa na poleole katika kipindi HIKI Cha wasomi nikuonesha ujinga wenu/wake!!! Leta source ya unuha uliyoundika!!
ushahidi huu hapaMhh!! Hakuna kitu kama hicho, kwamba Marekani haipongeze Tanzania kwa demokrasia??
ushahidi huu hapaHivi wewe Pimbi , yaani Marekani wapongeze wehu huu uliofanyika kwenye uchaguzi huu wa Tanzania ? Unaota ndoto za mchana hapo Lumumba .
Uharo huuNatoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT wazalendo wajiunge na SUK na Chadema wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
ushahidi angalia hapa mkuuKwani Tanzania mlikubali Uchaguzi urudiwe kama wao?
hii hapa mkuu,Bwashe sasa unaendeleza ulaghai kwa jamii hii yetu ya giza. Hebu weka popote ambapo Pompeo amezungumzia positively kuhusiana na yaliyotokea Tanzania. Spokesperson ya foreign affairs ya US ni Pompeo not Nyani Ngabu. Watch out!
Here's the evidence, watch this video.Give us vivid evidence and not these propaganda
Mkuu naomba weka hii video kama evidence. Chukua link hapo YouTube dumbukiza hapoNatoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT wazalendo wajiunge na SUK na Chadema wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kumbe kweli unaona ni sifa kutajwa na Rudy Giuliani!Ulitaka itajwe Chadema?!
Umelowa wewe,Marelani kaitulana Tanznia,kwani mfano aliotowa alimaanisha kuwa nchi yetu ni miongono mwa nchi ovyo ndio mana kalinganisha na uchaguzi wao kuwa ulikuwa ovyo.kwa vile sisi ni Afrika inastahiki lakini kwa vile wao ni Wstaarabu zaidi ni fedheha.Natoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT wazalendo wajiunge na SUK na Chadema wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mlipokuwa mnaiba kura mlifikiria niniNatoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT wazalendo wajiunge na SUK na Chadema wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa lugha uliyo itumia nina uhakika usiyo na mashaka kuwa hajakuelewa na hatokuelewaGive us vivid evidence and not these propaganda
Alafu wana nafasi ya kuwasiliana na kina m7 na kina kagameNyie endeleeni tu kuiba. Mi binadamu wa kawada tu wala sina hata fimbo. Nyie mna vifaru, ndege za kivita....
Natoa tu angalizo kwamba kama Marekani wanakubali mfumo wetu wa uchaguzi kuwa ni wa kidemokrasia basi ni vema Chadema na ACT wazalendo wakubali yaishe ili tusonge mbele.
ACT wazalendo wajiunge na SUK na Chadema wawaruhusu akina Halima Mdee kujiunga na wabunge wenzao wa viti maalumu bungeni.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Hiyo ni ajira tuu yenye masharti yake. 1964 jeshi la KAR lilivunjwa na kuundwa JWTZ na kwa mikataba mipyaKumbe vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina mpango na nyinyi!?? Kwa hiyo kama mngeshinda mngeendeshaje nchi sasa? Ndiyo maana tumeshasema upinzani utachukua miaka 100 kuiondoa CCM madarakani kama ndiyo hivyo!