Mbunge Rose Kamili aliyetekwa na kundi haramu la Green Guard jana huko Kalenga taarifa zinasema hali yake siyo nzuri.
Mbunge huyo alikuwa katika kikao cha ndani na akina mama wa Chadema ghafla akavamiwa na kundi la Green Guard akapigwa vibaya na kudhalilishwa halafu akapelekwa mpaka Ofisi kuu ya CCM Mkoa.
Mbunge huyo aliendelea kuteswa kiharamia na kundi hilo huku viongozi wa CCM wakishuhudia.Walipoona hali yake inazidi kuwa mbaya waliwaita polisi na kusingizia alikamatwa akigawa Rushwa.
Mbali na kipigo alichopata mbunge huyo aliibiwa vitu mbalimbali zikiwemo simu zake mbili za mkononi na fedha Taslimu ambazo idadi yake haijawekwa wazi.
Taarifa kutoka Kalenga zinasema mbunge huyo anaandaliwa usafiri wa kumpeleka Hospitali ya Rufaa ya KCMC
Kundi la kihalifu la Greenguard limekuwa likifanya vitendo vingi vya kikatili kwa kisingizio cha siasa bila kuchukuliwa hatua yoyote kama kupiga wapinzani,kutesa, kuharibu mali na hata kuua.
Updates kutoka Radio One:........
Radio one Breaking News wamesema hali yake si nzuri na muda wowote anaweza kuletwa na helkopta KCMC ili kuokoa maisha yake
Mbunge huyo alikuwa katika kikao cha ndani na akina mama wa Chadema ghafla akavamiwa na kundi la Green Guard akapigwa vibaya na kudhalilishwa halafu akapelekwa mpaka Ofisi kuu ya CCM Mkoa.
Mbunge huyo aliendelea kuteswa kiharamia na kundi hilo huku viongozi wa CCM wakishuhudia.Walipoona hali yake inazidi kuwa mbaya waliwaita polisi na kusingizia alikamatwa akigawa Rushwa.
Mbali na kipigo alichopata mbunge huyo aliibiwa vitu mbalimbali zikiwemo simu zake mbili za mkononi na fedha Taslimu ambazo idadi yake haijawekwa wazi.
Taarifa kutoka Kalenga zinasema mbunge huyo anaandaliwa usafiri wa kumpeleka Hospitali ya Rufaa ya KCMC
Kundi la kihalifu la Greenguard limekuwa likifanya vitendo vingi vya kikatili kwa kisingizio cha siasa bila kuchukuliwa hatua yoyote kama kupiga wapinzani,kutesa, kuharibu mali na hata kuua.
Updates kutoka Radio One:........
Radio one Breaking News wamesema hali yake si nzuri na muda wowote anaweza kuletwa na helkopta KCMC ili kuokoa maisha yake