Leo wakati Rais wa Tanzania akihitimisha ziara yake mkoani Mwanza, aliongea na kundi muhimu sana katika jamii yoyote ile (vijana)
Mh Rais aliwataka wabunge waliokuepo eneo hilo anhalau watoe salam. Mbunge wa Sengerema ndugu Tabasamu amewaambia vijana eti wasome waelewe ila serikalini hakuna ajira.
Wewe Tabasamu kwani hukusoma ukaelewa mbona uliomba ubunge?
Au hujajua kwamba hao unaowaeleza hayo ndio wamekuajiri. Au hutarudi tena kwao? Tabasamu umetonesha vidonda vya watu.
Muwe mnaandika kwanza halafu mkifika mbele za watu msome maana hamchelewi kutoa boko.
Tabasamu kwakua umesoma ukaelewa uchaguzi ujao kajikalie nyumbani kwako usiwasumbue vijana. Mbona Mh. Rais anatumia lugha ya upole, ustaarabu na inayoeleweka. Wewe kuonge atu dakika moja na robo umechafua hali ya hewa. Ama kweli mwenye shibe, hamjui mwenye njaa.
Hatahivyo, halmashauri ya Sengerema inakabiliwa na ufujaji wa fedha hivyo Mh Rais ameagiza ufanyike ukaguzi ili kubaini tatizo.
Kwa aina ya muwakilishi kama huyo hana jipya sana katika kuishauri halmashauri kupitia baraza la madiwani.
Mh Rais aliwataka wabunge waliokuepo eneo hilo anhalau watoe salam. Mbunge wa Sengerema ndugu Tabasamu amewaambia vijana eti wasome waelewe ila serikalini hakuna ajira.
Wewe Tabasamu kwani hukusoma ukaelewa mbona uliomba ubunge?
Au hujajua kwamba hao unaowaeleza hayo ndio wamekuajiri. Au hutarudi tena kwao? Tabasamu umetonesha vidonda vya watu.
Muwe mnaandika kwanza halafu mkifika mbele za watu msome maana hamchelewi kutoa boko.
Tabasamu kwakua umesoma ukaelewa uchaguzi ujao kajikalie nyumbani kwako usiwasumbue vijana. Mbona Mh. Rais anatumia lugha ya upole, ustaarabu na inayoeleweka. Wewe kuonge atu dakika moja na robo umechafua hali ya hewa. Ama kweli mwenye shibe, hamjui mwenye njaa.
Hatahivyo, halmashauri ya Sengerema inakabiliwa na ufujaji wa fedha hivyo Mh Rais ameagiza ufanyike ukaguzi ili kubaini tatizo.
Kwa aina ya muwakilishi kama huyo hana jipya sana katika kuishauri halmashauri kupitia baraza la madiwani.