Kalemani alikuwa analeta ukabila TANESCO ndo maana akapigwa chini

Chuki dhidi ya Kalemani hazitawaacha baadhi ya watu salama, huu upumbavu haukubaliki hata kidogo. Tunajua Kalemani katolewa pale kwa sababu ya usukuma wake, huwezi ukazuia mafuriko kwa mikono hata siku moja, tambeni mnavyojua, Kalemani umlinganishe na makamba?
Makabila mengine walioondolewa enzi za utawala wa KOBOKO zilikua chuki dhidi yao?
Tanesco aliondolewa Mramba, nssf alondolewa Dau na kwingine kwingi wakawekwa WASUKUMA
 
chato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?


kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.


kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.


jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.


alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...


hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).


wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.

1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe



wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.


kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.


Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.


huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.


huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa

ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?

Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.


wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.


tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.


wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
Inaonekana unajua mengi ya mwendazake mengine umeongea jumla jumla tu.
 
Kalemani ni mtu asiyefaa kuwa kiongozi. Alinishangaza zaidi alipoamua kupeleka umeme kilometer 25 kwenye plant ndogo ya shemeji yake ya kuchenjulia dhahabu, kwa gharama ya TANESCO. Plant ambayo hata kodi inayolipa haizidi shilingi milioni 1 kwa mwezi.

Ni mbinafsi na mnafiki kuoindukia. Alipoondolewa tu, nilipata imani kuwa kumbe mama Samia ana watu wanaompa baadhi ya taarifa ziluzo sahihi kabisa.

Kumwondoa Kalemani kwenye uwaziri, big credit to Samia.
 
Huo uzi nipe link mkuu
ngoja niutafute, ila nadhani ulifutwa kabisa wakati jiwe amepitishwa kupeperusha bendera ya CCMkwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais! Ulikuwa unazungumzia nyma ya pazia ya jinsi alivyokuwa anapita bila kupingwa kwenye ubunge! Anyaway tyaache yameishapita hayo ila je kuna kitu tunajfunza?
 
Wachagga mna matatizo sana! Nyie ndiyo mnao tuletea siasa hizi za maji taka!
Huyo aliyeleta hii mada amekueleza kuwa ni mchaga?

Kuna uwendawazimu siku hizi umezuka hapa JF ambao unaletwa na low minds, ukitoa hoja yoyote dhidi ya kiongozi msukuma, unaambiwa kuwa wewe ni mchaga hata kama hujawahi hata kufika huko uchagani.

Ina maana makabila mengine yote ni wajinga kiasi cha kushindwa kuhoji hadi ionekane kila anayehoji ni mchaga?
 
Wewe kama hujui kaa kimya tu!!..Nenda Mlimani,IFM,Mzumbe,Sua,Cbe chuo cha Kodi, Bandari, Diplomasia, uongozi nenda huko utapata jibu
Naunga Mkono
Wanaanza wachaga
Wanafata wahaya
Wanafata wanyakyusa
Makabila mengine hususani wasukuma tumepona kwenye elimu ENZI za mwendazake
Matokeo ya elimu bure yani baada ya miaka 20 ndio wasukuma watatake over kwenye elimu sio sasa
 
Kimsingi wasukuma walinufaika na mwendazake ndio maana wapinzani kwa Mama ni mkubwa pia kwa wateule wapya wa Mama hili jambo inahitajika handling nzuri kupunguza ukabila huu
 
Wewe nae kichwa kibovu unaunga trailer kwa vitu vya kufikirika muulize akuwekee hapa column ya ajira za TANESCO kama anaweza kuthibitisha alichoandika.
Hii Nchi Ina wapumbavu wengi sana mchakato wa ajira ulivyo ukiweka watu wako Nchi nzima sizani Kama wanaweza kufika hata 100 maana kazi nyingi hasa tanesco Ni zile za kupanda tu vyeo ..

Mambo ya sijui unaweka watu wako kwa miaka 4 huu Ni uzushi labda Kama aliweka weka mafundi maana ndio ajira nyingi za tanesco.

Ila kusema eti unaweka watu wako kwenye engineer au wafanyakazi walio kwenye payroll ya utumishi huu Ni uposhoji mkubwa Sana!!

Vijana tunachuki Sana za ukabila zisizo na maana hasa Wasukuma na Wachaga wamekuwa na shida Sana nowdays ya kupenda kushindana sijui why!
 
Hiyo Tanesco unaposema kunawachato..twambie asilimia ni ngapi na twambie watu wa iringa ni asilimia ngapi na twamvie wahaya ni asilimia ngapi na twambie wqtanga ni aailimia ngapi na twambie wakilimanjaro ni asilimia ngapi?
Huko tuendako siko! Nakumbuka maneno ya Baba wa Taifa kwamba tulikuwa tunaulizana makabila pindi tukitaka kutambika; naona JF tunataka kutambika!!
 
Back
Top Bottom