Ongea kwa fact kima wewe!!TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Ongea kwa fact kima wewe!!TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Wachaga wana shida gan na wewe?mbona mnapenda ukabila?kisaaWachagga mna matatizo sana! Nyie ndiyo mnao tuletea siasa hizi za maji taka!
Wachaga mnawaonea tu.... mbona hata private ni wengi sana, nako wanapendelewa?TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Baseless allegationsHili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!
Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike
Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco
Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco
Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa
Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco
Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?
Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?
Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon
Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
chato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?
kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.
kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.
jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.
alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...
hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).
wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.
1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe
wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.
kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.
Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.
huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.
huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa
ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?
Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.
wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.
tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.
wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
Alikua na roho MBAYA kama ya Nyoka KOBOKOchato aliweka umeme wapi kama kwao Nyambogo hakuna umeme?
kalemani hajachomeka mtu yeyote tanesco labuda kama alilazimishwa na mwendazake.
kalemani ni ndugu yangu, lakini mbinafsi sana, tena sana.
jaribu kwenda kwao kijiji cha nyambogo, kata ya ilemela.
alifariki mama yake..... aliacha gumzo,
akafa mke wake.... alikuwa gumzo...
hata ubunge alibebwa sana na rafiki yake john, kwani 2012 alijaribu unec akachezea kichapo na 2015 kwenye ubunge kura za maoni alikuwa anapumuliwa kisogoni na kijana mmoja anaitwa Deusdedit Katwale( huyu baada ya uchaguzi walimbambikia kesi ya uhujum uchumi ili asigombee ubunge. mama ashamtoa).
wanufaika wa utawala wa magu hazivuki hata kaya 20 kwa chato.
1. familia yake, magu, wadogo zake, na mpwa wake Martin.
2. alipooa Gordian Magufuli.
3. alipooa Musa magufuli.
4. kwa mugosha...
5. walimu waliokuwa chato primary miaka ya 80 kurudi nyuma
6. familia ya furaha wa kawe
wengine walikuwa wamebanwa sana na magu hasa alipokuwa waziri.
kuna familia ya Sende aliwanyima umeme wakati walikuwa Jirani na tanesco wilaya. nguzo wanayotumia tanesco ndiyo wanatumia kwa sende, kisa Dr sende alitaka kugombea ubunge.
Jamaa alikuwa na rohoo mbaya sana, ya vusasi na kila aina ya chuki.
huwa sielewi, ilikuwaje idara ya usalama ikaruhusu hadi akawa alipofikia.
huwa sielewi ilikuwaje ametoka kwenye familia yenye historia ya afya ya akili usalama wa taifa ukaruhusu awe alipokuwa
ilikuwaje wakaruhusu mtu aliyekuwa hahudhurii kwenye sherehe za kitaifa, hakuwa anautii kwa viongozi wake akawa alipokuwa?
Tumsgukuruni sana mungu kwa kuruhusu Mtumishi wake apumzike.
wengi hasa mmemfaham alipokuwa top.
tunategemea 2022 na 2025 kwa mara ya kwanza jimbo la chato litakuwa na uchaguzi huru na haki.
wito: idara ya usalama msije mkaruhusu watu wa aina yake kuukarubia hata unaibu waziri.
Ukitoa madai ya namna hiii unatakiwa utoe mifano hai.. ili watu waipe uzito. Siyo wakubali au wapinge kwa sababu umesema.
Mkuu bado uko ulaya?Ukitoa madai ya namna hiii unatakiwa utoe mifano hai.. ili watu waipe uzito. Siyo wakubali au wapinge kwa sababu umesema.
TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Lete evidence siyo porojo. Wakina nani walipendelewaHili genge sijui ina lina laana gani mungu wangu!
Kwa kweli mnawafanya wanachato wote wasiaminike
Huyu bwana pamoja na kuwa rekodi nzuri ya utendaji alivyotolewa nilisikitika sana lakini kumbe alikua analeta ukabila na uchato huko Wizarani na Tanesco
Alikua analeta upendeleo wa kikabila na wa kieneo kwenye wizara yake pamoja na Tanesco
Waziri nzima unajaza watu wa chato tu Tanesco unapeleka mafavour yote yaende kwenu chato japo nyumbani ni nyumbani sio kwa ukabila huu wa kupendelea tu kwenu hii ni aibu na hasara kubwa kwa taifa
Huko Tanesco uliwajaza ndugu zako, kabila lako wachato wenzako!!! Halafu hao hata wakifanya makosa ulikua huwagusi na bado hukuridhika ukapeleka jengo la mabilioni huko Chato la tanesco
Yaani ni kusema kwamba chato ina wateja wengi wa umeme kuliko dsm au?Hivi mnatuonaje nyie Push gang?Hamtaki kuamini kwamba zama zenu zimekwisha?
Halafu kuna wajinga waliohoji mama kamtumbua bila kumwambia kosa lake eti magu alikua anamtumbua mtu anamwambia kosa...We msitufanye mazuzu mwendazake alivyomtoa makamba kipindi ile kwani makamba alifanya kosa gani?
Si hakufanya lolote baya?Sasa tulieni dawa iwaingie msimpangie mheshimiwa rais cha kufanya kwamba afanye km alivyokua anatenda huyo marehemu wenu.Halafu ni bora mkae kimya tu hivi mnajua tunajua hadi utambulisho wa huyo mtu wenu alotolewa kwamba ni damu moja na marehemu nasubiri ni suala la muda tu i will expose everything soon
Hili genge inabidi iwepo list kabisa watolewe wote, huyu kalemani nilimwamini sana na ni mchapakazi sana ila ukabila na uchato ulimpenda zaidi....
Wachaga wana shida gan na wewe?mbona mnapenda ukabila?kisaa
Nenda vyuoni ukaone masomo hayo ya Kodi ni kabila Gani Lina wanafunzi wengi!!...Sio TRA tu nenda Sekta zote angalia Wachagga walivyo wengi!!..Siri ni Elimu Ndugu!!..TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Nyie hamkusoma mlikimbia Elimu mnataka mpewe nini?Umeniwahi maana niliwahi fanya field TRA Arusha, utafikiri ili uwe pale ni mpaka uwe mchaga,nilisikitika Sana.
Wasukuma hawana ukabila.
Nia yao ovu ndo wamemtoa happy,Sasa umeme unakatika hovyohovyo tu, watajuta kumuweka muuza sura kwenye media.
Kama Elimu na connection alikua Hana ulitaka awape Kazi wapi?Mkuu hujui ulisemalo. Kalemani ni mkaksi, yaani ni mtu mwema sana ila ni mnoko! Hana muda na mtu zaidi ya wale anaojuana nao. Yaani kama ulikuwa na shida naye then ukatokea kumuona then ukawa hueleweki imekula kwako. Kalemani hakupenda hata kusalimiana kisukuma mbele ya watu. Yaani ukimkuta Kalemani kwenye vikao jifanye humjui, ukijifanya kumshobokea imekula kwako.
Kalemani watoto wake wote hawana kazi za maana, yaani hakuwahi kuwatafutia kazi serikalini. Ni mtu ambaye uzalendo upo damuni. Yaani ni kama Nyerere tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyie hamkusoma mlikimbia Elimu mnataka mpewe nini?
Historia ina sema hata sasa nenda vyuoni ukaone na mashuleni,nenda hata nnje ya nchi kaone!!
Wewe mchaga?.
Hujui usemacho
Mbona mzee wa Msoga alimuweke mama mkwe waziri wa wizara ya fedha hamukusema?Mkuu bado uko ulaya?
Haya mambo ya ukabila na upendeleo yako wazi sana.
Una mfahamu Doti James-mpwa wa Magufuli aliyekuwa katibu mkuu Fedha na Paymaster General?
Unahitsji uthibitisho gani uamini uozo wa kundi hilo la Chato?
Acha uchuro. Uliwahesabu?TRA walipo wachaga asilimi 79 ni kalemani aliwaweka?
Nilienda shule moja huko kanda ya ziwa nikadhani nipo uchagani nikawaza vipi hii nikajua hawa watu wa fursa!!..Kesho mtasema wanapendelewa!!
Wewe mchaga?.
Hujui usemacho