nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Umeona eeh yani inatatisha ...
Kuna rafiki yangu nilimshitua maana aliniuliza anaingiza midole daily lakini bado anawashwa na fangus haziishi pamoja na kwenda hospital several times...
Nikamwambia stop kuingiza madole huko chini...na sasa yuko vizuri kabisa toka aache hiyo tabia...
Inabidi tuombe wizara ya afya itoe elimu...
Maana kuna watu wanauza sijui mafuta ya ubuyu special kwa kuoshea papuchi...very scary...
Mtu akija na lecture yake hawaulizi ujuzi katoa wapi...wanameza mazima mazima...
oooh osha na sabuni...oooh ingiza midole...hatari sana...
Kuna rafiki yangu nilimshitua maana aliniuliza anaingiza midole daily lakini bado anawashwa na fangus haziishi pamoja na kwenda hospital several times...
Nikamwambia stop kuingiza madole huko chini...na sasa yuko vizuri kabisa toka aache hiyo tabia...
Inabidi tuombe wizara ya afya itoe elimu...
Maana kuna watu wanauza sijui mafuta ya ubuyu special kwa kuoshea papuchi...very scary...
Mtu akija na lecture yake hawaulizi ujuzi katoa wapi...wanameza mazima mazima...
oooh osha na sabuni...oooh ingiza midole...hatari sana...
Mkuu hadi sasa hujatoa elimu kuhusu kansa ya uke!