Kale kaharufu una kaondoaje?

Kale kaharufu una kaondoaje?

Mi nakuambia ndugu yangu, yaani usimkute amevua, yaani hadi hewa chumbani ina badilika!

Jamani, mbona leo mmewakamia hao wamama? Kama ulikutana na mgonjwa mwenye tatizo na labda hajijui ndo uje humu jf na ku generalize kuwa kila papuchi ina harufu tena ya kumaliza hewa ndani ya chumba??? Watoto tutawatafutia vichakani tena siku kuna upepo? Ninaweza sema sijui kabila sijaonja Tz si kuwa najivuna kwani ningeanzisha uzi wangu wa wapuuzi ila mbona sijakutana na dizaini hiyo??? Ukimchukia mtu banaa na haswa aliyekupiga kibuti utamzulia mengi.
Wazo mbadala, Tafuta aina tofauti na kutoka nyanda tofauti mkuu. Huenda unatungua wale miserembuo. Sisi tuliooa tungenunua vishada vya kuvaa puani na feni zingemalizika madukani basi.
 
Kinachosababisha kansa hakiko very clear...lakini inadaiwa kuna uwezekano mkubwa ikawa ni chemicals...kwa hiyo watu wana connect wingi wa cases na tabia ya watu wa sehemu hiyo...

Mfano Wazambia wanaongoza kuosha K duniani na wanaongoza kwa kansa ya huko kwa bibi (niliisoma hii kwenye internet)...

Naamini kama ni Kansa lazima kwa kiasi kukibwa inaweza kuwa inasababishwa na vitu vinavyo tumiwa kusafisha huko!
 
Huyo bidada alikuwa mwembambaaa!! Nikiona wa ivo ile kitu inanijia. My woman is a no one lyk her!!!

Kwa hiyo kama wako hayupo hivyo unaweza kuwa ushahidi wa kuthibitisha si kila mwanamke ana hali hiyo!

Katika watu wenye kazi ngumu kutunza miili yao ni wanawake!

Na asilimia kubwa wanakosa elimu sahihiya kujisafisha maana wengi wanajisafisha kwa njia zao lakini hili tatizo wanalo....
 
kuosha na maji safi ya baridi au vuguvugu inatosha kabisa kuiweka papuchi ktk hali ya usafi, sabuni ni kwa nje tu na tuache kuingiza vidole huko unajidai unatoa uchafu huko ni kuua normal flora ni wadudu ambao wanatakiwa wawepo ukeni kuilinda papuchi yako.

  • douching. can cause yeast infection so tuache kuingiza vidole huko wanawake tuna harufu zetu huwezi kuzikwepa ila ikizidi sana ni uchafu au ugonjwa
 
Jamani, mbona leo mmewakamia hao wamama? Kama ulikutana na mgonjwa mwenye tatizo na labda hajijui ndo uje humu jf na ku generalize kuwa kila papuchi ina harufu tena ya kumaliza hewa ndani ya chumba??? Watoto tutawatafutia vichakani tena siku kuna upepo? Ninaweza sema sijui kabila sijaonja Tz si kuwa najivuna kwani ningeanzisha uzi wangu wa wapuuzi ila mbona sijakutana na dizaini hiyo??? Ukimchukia mtu banaa na haswa aliyekupiga kibuti utamzulia mengi.
Wazo mbadala, Tafuta aina tofauti na kutoka nyanda tofauti mkuu. Huenda unatungua wale miserembuo. Sisi tuliooa tungenunua vishada vya kuvaa puani na feni zingemalizika madukani basi.

Mkuu, simchukii mtu, ila napenda kujifunza, na kuelewa. na hawa wanawake pia waelewe namna ya kufanya ambayo itawaweka kuwa wasafi na bila ya kuwaletea matatizo ya kiafya baadae. Sina nia mbaya
 
Hao wanaonuka watakuwa nq infections za bacteria ndo mana wanatoa harufu pia kwenye kuosha haitakiwi kuingiza vidole mana inaua wale bacteria kwahyo unapata infections hao wa sabuni sijui nini inaleta kansa mana sabuni ina chemicals nyingi pia kuosha na vidole kunafanya K inakua kubwa haiwi mnato na unakuwa huponi uti
 
Kuna odor ambayo hutokea wakati wa hedhi au baada na hata baada ya papuchi kukamuliwa, lakini pia kuna ambazo hutokea baada ya kutoka jasho au matumizi ya vikata harufu - deodorant hii ni kawaida - jali usafi, lakini ikizidi sana mpaka kufikia harufu ya wewe mwenyewe kuisikia au kuwakera wengine ni bora ukaenda kwa Doc ukapata ushauri, vipimo na matibabu.

Nini kifanyike kwa ME ukiisikia kwa mwenzio mwambie kwa upole na mshauri kumwona Doc tena msindikizane. Jenga mazingila ya kuwa muwazi kwa mwenzio hata kwa kasoro kama hizo muwe na uwezo wa kuelezana
100% hulka ya kike !
 
niwahi kusema humu wakanishambulia sana. ile harufu kwa yule mwanamke cjui ni ya kitu gani aisee nilichoka baada ya 1st round tu. sikutaka kuendelea tena. alafu amejikaushaaaa nikajiuliza hivi hii harufu inamaana haisikii ama anazuga tu. ha ha ha
 
Suala la kujiswafi ni la kila mmoja wetu ni kweli wanawake wasipojiswafi vzr lazima watoe hiyo harufu lkn kwa msafi hutosikia. Halikadhalika wanaume nao wengi wao hupenda sana wanyonywe bunduki zao lakini unakuta kaosha.bunduki tu pale kati kuanzia korodani kuelekea matakoni wengi hawaswafi vzr, eneo lile huweka kiharufu kikali as if hakutawaza, na wengine hawatawazi vizuri anaoga fasta fasta anasahau kuosha vzr na kukausha vzr ule mstari
 
niwahi kusema humu wakanishambulia sana. ile harufu kwa yule mwanamke cjui ni ya kitu gani aisee nilichoka baada ya 1st round tu. sikutaka kuendelea tena. alafu amejikaushaaaa nikajiuliza hivi hii harufu inamaana haisikii ama anazuga tu. ha ha ha

Ana isikia sana, ila anazuga
Teh-teh-teh
 
Back
Top Bottom