Kale kaharufu una kaondoaje?

Kale kaharufu una kaondoaje?

Mi nakuambia ndugu yangu, yaani usimkute amevua, yaani hadi hewa chumbani ina badilika!
Hao unaokutana nao wewe wanakuwa wagonjwa maana
Ke usipokuwa msafi ni rahisi sana kupata magonjwa km fungus na mengineyo.
Lkn ukutane na Ke smart km mm hiyo harufu unayosema ww ni historia.
 
Yaaah ni kweli kuna harufu flani hivi,ofcoz kama uvundo flani,haielezeki elezeki sometime nzuri sometimes ndovile jogoo analala doro baada ya 1st round

Wee acha, beberu si beberu, uozo si uozo, tabu tupu. Tena ukikutana nao barabarani wanavyo ringa! Wakati ni maiti wanao tembea!
We mtu kavaa chupi, taiti, na jeans juu, afu akikojoa ana jifutia tishu, nanihii itaacha kuvunda!
 
Unambishia miss strong wakati ye ndo ana uchi lalalalaaah!

Sio wanawake wote, wengine wanaitambua kwa usafi vyema we unaokota wale wa vilabuni nino??

Mwache ambishie mwenye mali yake.......usafi ni tatizo kwa hao anaokutana nao.Kujisafi ni art wengine hawajui
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli huwa kuna kaharufu flani kakali sana ndo mana mwanamke anatakiwa kuoga zaid ya mara 3 per day..... so usafi unahusika zaid, na weng huishia kusafisha juu tu na kuacha ndan ambako ndiko hasa kwenye uchafu...... lakini pia maambukizi ya fungus ukeni husababisha hiyo haruf hata aoge mara 10 kwa siku, bado itaendelea kuwepo....
 
Mwache ambishie mwenye mali yake.......usafi ni tatizo kwa hao anaokutana nao.Kujisafi ni art wengine hawajui

Mi nawashangaa sana, mnakaa kukandia kandia tu, leta hoja, mie huwa ya kwangu naipa service hii na hii ndio maana hainuki. Ili na wenzio nao wafaidike!
 
Kanaondoka kwa kujiswafi vizuriiii

Asante ndugu yangu, umeongea la maana. Sasa huo usafi ni upi? Wa kujisafisha na vidole na sabuni huko? Au ufanyikaje fanyikaje? Maana naamini huwa wanaoga sasa sijui tatizo ni nini.
 
Waambie hao wenzako wenye hizo harufu, wengine wasafi kinoma
 
Asante ndugu yangu, umeongea la maana. Sasa huo usafi ni upi? Wa kujisafisha na vidole na sabuni huko? Au ufanyikaje fanyikaje? Maana naamini huwa wanaoga sasa sijui tatizo ni nini.

Afike Hospital tatizo linawexa kuwa ni sio harufu ya kawaida ni magojwa ya zinaa
 
Asante ndugu yangu, umeongea la maana. Sasa huo usafi ni upi? Wa kujisafisha na vidole na sabuni huko? Au ufanyikaje fanyikaje? Maana naamini huwa wanaoga sasa sijui tatizo ni nini.

Anajisafisha kwa maji masafi tu bila sabuni, kwa kutumia kidole cha kati au cha pili toka dole gumba kutoa uchafu huko ndani.
 
Mi nakuambia ndugu yangu, yaani usimkute amevua, yaani hadi hewa chumbani ina badilika!

Ndugu, sio kuzoazoa, hata mitaani tunakutana nao, asijitingishe tu, harufu iyooo inatoka!

Kuna Aroma ambayo ni harufu nzuri ya kike na kuna strong odor/ smell, hii ni ile iliyozidi na kuwa mbaya. Mara nyingi hii iliyozidi na kukera huwa ni dalili ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, Klamidia, Gornohoea na mengine.
Swala la kuiondoa linapaswa kuanza na vipimo vya hospitali ili kujua chanzo cha tatizo kisha kulitibu hilo tatizo na itaondoka. Kusema utumie vitu vikali kama perfume, udi, douches na sabuni si kuliondoa tatizo na vingine vinuharibu uke na kuna uwezekano mtu akaharibu mfumo mzima wa kimaumbile wa kiungo hicho cha uzazi kutokana na kuwauwa bacteria wazuri wanaolinda kiungo hicho (Normal flora). Kwa kifupi kuna uwezekano unaokutana nao wana matatizo ya kiafya, ungewashauri wakatibiwe badala ya kuja kuwaanika hapa. Harufu ya mwanamke si kitu kibaya mradi iwe ile ya kawaida isiyokera.
 
Anajisafisha kwa maji masafi tu bila sabuni, kwa kutumia kidole cha kati au cha pili toka dole gumba kutoa uchafu huko ndani.

Nashukuru kwa mchango wako, ila kuna mtu mmoja alienda kwenye semina ya kansa ya uke, nikamsikia akitoa somo kwa wanawake wenzie, nanukuu: huko chini kwa mwanamke hakupaswi kuingizwa kitu chochote kisicho kuwa sterelized, na ndio maana hata madaktari ikiwabidi kuingiza vidole huko, huvaa gloves!
Sasa ndugu yangu una hakika ushauri wako hauna madhara kiafya?
 
Harufu inatokana na kujisafisha umesimama au harakaharaka...sisi wasichana unatakiwa uoshe sana k kuliko sehemu nyingine yoyote...so akienda kuoga aandae ndoo ndogo yenye maji safi ahakikishe mikono misafi...kisha aoshe kwa sabun ya jamaa au any non medicated soap kwakua ukitumia medicated inaweza kukuletea rashes na magonjwa mengine...iyo ni kwa nje aoshe sana ili sabun isibaki...then aingize kidole nusu cha kati au kinachofata badala ya chakati...amwage maji mengi kuelekea huko....maji yanatakiwa yawe mengi sana...yanapendekezwa yawe ya baridi kwakua ya moto yanasababisha kutanuka kwa k kwa kua kule pako kama rubber....then lastly kabsa kama mwanamke ana mavuzi mengi then ni moja ya kunuka coz akiswet sana na zile nywele lazima atoe harufu...akifanya ivyo chupi yake itakua safi na atanukia murua...na pia baada ya kuoga apake mafuta ya mgando juu ya k kuepusha ngozi kua ngumu na nyeusi....binafsi ndo nnachofanya sijapata malalamiko yoyote....bila kusahau kila baada ya kumaliza round aoshe k ndo muendelee...
 
Kuna Aroma ambayo ni harufu nzuri ya kike na kuna strong odor/ smell, hii ni ile iliyozidi na kuwa mbaya. Mara nyingi hii iliyozidi na kukera huwa ni dalili ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, Klamidia, Gornohoea na mengine.
Swala la kuiondoa linapaswa kuanza na vipimo vya hospitali ili kujua chanzo cha tatizo kisha kulitibu hilo tatizo na itaondoka. Kusema utumie vitu vikali kama perfume, udi, douches na sabuni si kuliondoa tatizo na vingine vinuharibu uke na kuna uwezekano mtu akaharibu mfumo mzima wa kimaumbile wa kiungo hicho cha uzazi kutokana na kuwauwa bacteria wazuri wanaolinda kiungo hicho (Normal flora). Kwa kifupi kuna uwezekano unaokutana nao wana matatizo ya kiafya, ungewashauri wakatibiwe badala ya kuja kuwaanika hapa. Harufu ya mwanamke si kitu kibaya mradi iwe ile ya kawaida isiyokera.

Safi sana, nimeupenda ushauri wako.lla sija muanika mtu kwa kumtaja jina, nimeongelea kwa ujumla
 
Back
Top Bottom