Kale kaharufu una kaondoaje?

Kale kaharufu una kaondoaje?

Kwa kawaida harufu ile ni fungus kuna dawa wakitumia kwa siku kadhaa inaondoa fungus na kubaki na natural odor ambayo sio kali na si ya kukera kama unavyosema, lakini bado kwa kila mwanamke haiyumkini kua mbunifu katika kuboresha mwonekano, mvuto na haiba pia.
 
me najua tupu ya mwanamke lazima iwe na harufu, ila ikizidi ndo inakua mbaya....
mwanamke anatakiwa ajisafishe vizur tu kuondoa harufu ya ziada , lakini harufu ya asili inatakiwa ibakie
hapo ukizama chumvini utafurahi na roho yako....
 
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya
kueleweka kichwani mwangu. Hakuna asie jua kuwa wanawake huwa wana
kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu
zao. Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na
sabuni na njia nyingine nyiiingi. Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora
kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako? Maana nasikia
nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke

hii kariiii na nimeskia leo?harufu gan iyo wajamen?
 
me najua tupu ya mwanamke lazima iwe na harufu, ila ikizidi ndo inakua mbaya....
mwanamke anatakiwa ajisafishe vizur tu kuondoa harufu ya ziada , lakini harufu ya asili inatakiwa ibakie
hapo ukizama chumvini utafurahi na roho yako....

jaman harufu gani iyo mbana mm sina?
 
Kwa anayejali afya yake inabidi a ignore maushauri ya humu JF mengi ni sumu...

Kama unatoa harufu muone daktari...mnaweza fikiri mnaondoa tatizo kumbe mnatengeneza tatizo kubwa zaidi...shauri zenu...

Maana hili suala nimeona watanzania wengi wagumu kuelewa...kila mtandao unatoa elimu ya uongo...wengine oooh osha na sabuni...wengine weka ndimu...wengine chumvi...eeehhhh unataka kuipika papuchi????

tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe kweli inapikwa
 
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu. Hakuna asie jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao. Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi. Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako? Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke

!
!
nakapendaje hako kaharufu,nakapenda balaa ija kasiwe consentretedi. Yani tupu iwe imeoshwa vizuri na maji tu bila hata sabuni.
Dah.....shkamoo ng'onda, habari za usiku anko ulimi.
 
Back
Top Bottom