Kale kaharufu una kaondoaje?

Kale kaharufu una kaondoaje?

Watu wanajifariji ila yawekana hata walionao hayo matatizo wanayo ila wanazuga,kama harufu mbaya kwa madmu hammna dawa mnayosema imetengenezwa yann?
 
Hali zenu wana jamvi,
Leo hii ningependa kuleta mada ambayo ki ukweli haina majibu ya kueleweka kichwani mwangu. Hakuna asie jua kuwa wanawake huwa wana kaharufu ambako ki ukweli kanakera mno ambacho huwa inatoka kwenye tupu zao. Wengi wao huweka miski, hufukiza udi, hupaka manukato, hupaosha na sabuni na njia nyingine nyiiingi. Swali langu ni kwamba njia ipi ni bora kiafya ambayo itatokomeza kabisa harufu hiyo ya kunako? Maana nasikia nyingi zao zinaweza kupelekea kansa ya uke

kaharufu!! pole probably ni usafi umekosekana.
 
Ndugu, sio kuzoazoa, hata mitaani tunakutana nao, asijitingishe tu, harufu iyooo inatoka!

Unambishia miss strong wakati ye ndo ana uchi lalalalaaah!

Sio wanawake wote, wengine wanaitambua kwa usafi vyema we unaokota wale wa vilabuni nino??
 
Last edited by a moderator:
Unang'oa maku pori/vikojozi kwanini usinukiwe?
 
Unambishia miss strong wakati ye ndo ana uchi lalalalaaah!

Sio wanawake wote, wengine wanaitambua kwa usafi vyema we unaokota wale wa vilabuni nino??

Alafu kingine, yeye ana uchi, ni mmoja tu kati ya nyuchi nyingi zilizopo duniani!
 
Last edited by a moderator:
Yaaah ni kweli kuna harufu flani hivi,ofcoz kama uvundo flani,haielezeki elezeki sometime nzuri sometimes ndovile jogoo analala doro baada ya 1st round
 
Back
Top Bottom