Kalapina ampondea Sugu

Kalapina ampondea Sugu

Block41 ni nyumbani sugu kaanza kuja block41 kabla hata ujio wa kuwepo kikosi cha mizinga,huyo mdg wangu pina bado hata kuvuma huko
Kabla ya kikosi block41 kulikuwepo na maskani ya Indianapolis sugu ndiyo alikuwa anakujaga ku hang na mabaria huko
Hebu mpeni sugu respect yake

Ova
Sasa nani hajampa Sugu respect yake?
Kama sugu mwenyewe alimtag kalapina
 
Sasa mbona unaandika kijuaji juaji sana bro kote juu huko umekalia kusema Sugu anamkubali Kalapina kwa sababu zamani aliimba verse mbili tatu kumsifia kwani wewe hujui kwenye maisha kuna marafiki kugombana au kutofautiana mawazo?

1999 mpaka leo miaka 27 imepita still utegemee mtu mwenye akili active kama Sugu aendelee kumkubali mvuta bangi unga na chawa wa wanasiasa uchwara?
Sasa anayeandika kijuaji ni mm au wewe?
Sasa kama waligombana au kutofautiana ndio inaondoa ukweli kuwa alimtaja kwenye verse zake? Sasa mbona wewe na ujanja wako hajakutaja akamtaja mshamba Pina?
Acheni chuki za kishamba nyinyi,halafu kuonyesha ugoloko wako unaongelea bangi utasema Sugu naye havuti? Hivi mistari mingapi sugu Anajisifia kuvuta mpaka anasema "Ganja ndio inanipa misimamo "?
Nishajua naongea na mtu wa kuja asiyejua lolote
Hivi kwenye Rap na Hip hop kuvuta bangi nayo issue?
Wakati asilimia 90 ya Rappers wanavuta
 
Yes uko sahihi, Indianapolis.
Mshkaji ujuwe siyo mtoto wa Dar, kwahiyo Dar amepambana mwenyewe ndio maana alikuwa anatafuta base ya kukaa, na game ya zamani ilikuwa ni ya kimakundi zaidi siyo soul Artist ndio maana kuna muda alijiunga na kina Balozi Doula Soul kwenye kundi la DPT huku akiendelea na soul project zake.
Soul artist ndio nn?
Ndio unajiita Dr Phd
Fala kweli wewe wakuja
 
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
"Indianapolis" kwenye ile ngoma ya Sugu feat. Dolla Soulz "Sema Nao" wameipaisha hiyo maskani. Watu wametoka mbali na hii game Aisee! 1997/1998 ngoma hiyo. Daah!
 
Wamehamia wapi? Kigamboni ni nini? Kimepigwa mnada na benki? Huyu jamaa alikuwaga anajadiliwa hadi msikitini Kinpndoni wazee walikuwa hawamtaki na mitkasi yake ya kupiga watu
Inasemwa aliwahi kuwa bouncer wa club huko Uarabuni (Dubai, UAE).
 
Kama wanaleta figisu kuua kitu alichokianzia na fitina anafanyiwa, walitaka akae kimya?
Unajua haya mambo yana u_snitch mwingi sana. Kama ilikuwa ni idea ya Sugu kuja na hili tamasha ila wahuni wakamzunguka ni lazima "amaindi". Hata ingekuwa wewe ni wazi usingefurahi ila kwa kuwa inainekana waliomfanyia hivi wana nguvu kuliko yeye imebidi tu awe mpole. Ila ni mambo mabaya sana .

Tusisahau hata ile malaria campaign akina Ruge na Cliuds walimpindua wakati ile idea ilikuwa yake .
 
Unajua haya mambo yana u_snitch mwingi sana. Kama ilikuwa ni idea ya Sugu kuja na hili tamasha ila wahuni wakamzunguka ni lazima "amaindi". Hata ingekuwa wewe ni wazi usingefurahi ila kwa kuwa inainekana waliomfanyia hivi wana nguvu kuliko yeye imebidi tu awe mpole. Ila ni mambo mabaya sana .

Tusisahau hata ile malaria campaign akina Ruge na Cliuds walimpindua wakati ile idea ilikuwa yake .
Sugu anakuaga mbele ya muda, ILa watu wanamzunguka
 
Sasa mbona Sugu mwenyewe anamkubali?
Nje ya Bongo 1999 aliimba..
"..Maisha ni magumu lakini cheleapina nakuwa kama mchizi wangu KalaPina."?
Hata Biigie Na Pac walikuwa friends tu hapo mwanzo kama ilivyokuwa kwa Boyz II Men wa Bongo "Edo na JK". Kwa hiyo hoja yako haina maana.
 
Sasa mbona huyo Sugu mwenyews alikuwa anamkubali Pina kitambo?
Kumbuka kwenye wimbo wa ndani ya bongo wa mwaka 1996 Dola sol aliimba ".. Maisha ni magumu lakini chelea Pina nakuwa kama yule Gangstar Pina.."
Na Sugu mwenyewe kwenye Nje ya bongo wa mwaka 99 akaimba " Maisha ni magumu lakini chelea pina nakuwa kama mchizi wangu Kalapina"
Nyie watoto wadogo hamjui kitu enzi hizo mlikuwa mnanyonya
Usikariri Maisha hata Ruge na JayDee walikuwa wanajifunika shuka moja. Lakini ilifikia wakati JayDee alisema akifariki Ruge asikanyage msibani kwake. Na alipoondoka Ruge, JayDee hakuonekana. Bila shaka hapa inaonekana wewe ndio nado unanyonya.
 
Sasa mbona unaandika kijuaji juaji sana bro kote juu huko umekalia kusema Sugu anamkubali Kalapina kwa sababu zamani aliimba verse mbili tatu kumsifia kwani wewe hujui kwenye maisha kuna marafiki kugombana au kutofautiana mawazo?

1999 mpaka leo miaka 27 imepita still utegemee mtu mwenye akili active kama Sugu aendelee kumkubali mvuta bangi unga na chawa wa wanasiasa uchwara?
Jamaa anajishusha sana kwa kuendelea kukomalia historia ya zamani. Nimemuweka mifano ya Pac na Biggie, JK na Edo, na Ruge & JayDee. Kama hataelewa hiyo ni wazi hataelewa milele.
 
Sasa wa kuhadithiwa ni mm au wewe?
Emu muulize kama hajawahi kuishi kinondoni mwanamboka?
Halafu tofauti ya gateman na mlinzi ni nn
Mbona unaleta ulimbukeni nigga!!
Wewe Moms boy umekariri vistory vya maskani tu tutusa wewe.

Jose hajawahi kulinda Filling station, Jose aliajiliwa na BP HQ Kurasini ndio kituo chake cha kazi.

Jose Mpaka anapewa redundant BP na kupunguzwa kazini BP alikuwa hajahamia Kinondoni.

Amekuja UK mimi nipo UK na kaka yake Jose anaitwa Hartman Mbilinyi trip hiyo ametokea Sinza, acha vistory vya kuungaunga.
 
Hata Biigie Na Pac walikuwa friends tu hapo mwanzo kama ilivyokuwa kwa Boyz II Men wa Bongo "Edo na JK". Kwa hiyo hoja yako haina maana.
Wewe ndio hujui kinachoongelewa
Hapa nazungumzia kumuita kalapina mshamba toka enzi hizo ndio nami nikatoa hoja hiyo
So wewe ndio huna maana
 
Wewe Moms boy umekariri vistory vya maskani tu tutusa wewe.

Jose hajawahi kulinda Filling station, Jose aliajiliwa na BP HQ Kurasini ndio kituo chake cha kazi.

Jose Mpaka anapewa redundant BP na kupunguzwa kazini BP alikuwa hajahamia Kinondoni.

Amekuja UK mimi nipo UK na kaka yake Jose anaitwa Hartman Mbilinyi trip hiyo ametokea Sinza, acha vistory vya kuungaunga.
Wewe choko kumbe hujielewi
Unakunyakunya uharo tu mothefucker
Wewe si ndio umesema alikuwa gate man sasa ndo kazi gani hiyo
Guluguja wee
 
Unajua haya mambo yana u_snitch mwingi sana. Kama ilikuwa ni idea ya Sugu kuja na hili tamasha ila wahuni wakamzunguka ni lazima "amaindi". Hata ingekuwa wewe ni wazi usingefurahi ila kwa kuwa inainekana waliomfanyia hivi wana nguvu kuliko yeye imebidi tu awe mpole. Ila ni mambo mabaya sana .

Tusisahau hata ile malaria campaign akina Ruge na Cliuds walimpindua wakati ile idea ilikuwa yake .
Halafu huyo Sugu wenu ndiyo mjue naye ana matatizo.
kwenye hiyo dili ya malaria aliunda Anti Virus project halafu alivyovuta mpunga kwa kina Ruge akawazunguka wenzake kimyakimya
Naye snitch tu kama nyinyi
 
Back
Top Bottom