Mkaliamboga
Member
- Aug 7, 2026
- 23
- 34
Sasa nani hajampa Sugu respect yake?Block41 ni nyumbani sugu kaanza kuja block41 kabla hata ujio wa kuwepo kikosi cha mizinga,huyo mdg wangu pina bado hata kuvuma huko
Kabla ya kikosi block41 kulikuwepo na maskani ya Indianapolis sugu ndiyo alikuwa anakujaga ku hang na mabaria huko
Hebu mpeni sugu respect yake
Ova
Kama sugu mwenyewe alimtag kalapina