Kalapina ampondea Sugu

Kalapina ampondea Sugu

Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
Sasa mbona huyo Sugu mwenyews alikuwa anamkubali Pina kitambo?
Kumbuka kwenye wimbo wa ndani ya bongo wa mwaka 1996 Dola sol aliimba ".. Maisha ni magumu lakini chelea Pina nakuwa kama yule Gangstar Pina.."
Na Sugu mwenyewe kwenye Nje ya bongo wa mwaka 99 akaimba " Maisha ni magumu lakini chelea pina nakuwa kama mchizi wangu Kalapina"
Nyie watoto wadogo hamjui kitu enzi hizo mlikuwa mnanyonya
 
Skupingi mkuu lakn nafikiri kuziba jicho moja sio vibaya kwakua america kuna fetty wap na africa tuna ruger wote identity yao ni Eyesight....
ila kuitumia identity ya zerosight ili uonekane umepinda ni usela wa kizamani
Nyinyi wote watoto wadogo kumbe hamna mnachojua
Hiyo eye patch Pina kachukua kwa Slick Ricky
 
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
Sasa huyo Sugu mbona anakubali flag la Pina toka enzi hizo? Nyinyi watoto wadogo ndio hamjui kitu
96 ndani ya bongo DolaSol anaimba

"Maisha ni magumu lakini cheleapina nakuwa kama yule gangstarPina"

Halafu huyo Sugu mwenyewe kwenye Nje ya Bongo 99 anaimba

"Maisha ni magumu lakini cheleapina ,nakuwa kama mchizi wangu Kalapina..."

Nyie watoto hamjui kitu kazi usnitch tu
 
Kitambo Sugu alimkubali KalaPina

" Maisha ni magumu lakini cheleapina nakuwa kama mchizi wangu KalaPina"
Nje ya Bongo 1999
Wewe uko kijijini sitimbi unalima mihogo
Block41 ni nyumbani sugu kaanza kuja block41 kabla hata ujio wa kuwepo kikosi cha mizinga,huyo mdg wangu pina bado hata kuvuma huko
Kabla ya kikosi block41 kulikuwepo na maskani ya Indianapolis sugu ndiyo alikuwa anakujaga ku hang na mabaria huko
Hebu mpeni sugu respect yake

Ova
 
Block41 ni nyumbani sugu kaanza kuja block41 kabla hata ujio wa kuwepo kikosi cha mizinga,huyo mdg wangu pina bado hata kuvuma huko
Kabla ya kikosi block41 kulikuwepo na maskani ya Indianapolis sugu ndiyo alikuwa anakujaga ku hang na mabaria huko
Hebu mpeni sugu respect yake

Ova
Sasa na hiyo mistari ambayo Sugu anamsalute Pina
Ilikuwaje?
Acha hizo sugu wakati analinda Petrol station alikuwa anakaa nyuma ya mwanamboka
Sugu mwenyewe anamkubali Pina ijekuwa wewe
 
Sasa na hiyo mistari ambayo Sugu anamsalute Pina
Ilikuwaje?
Acha hizo sugu wakati analinda Petrol station alikuwa anakaa nyuma ya mwanamboka
Sugu mwenyewe anamkubali Pina ijekuwa wewe
Pina ni mdg wangu
Kuanzia huyo chis,dany(rip)
Amani nk wote madg tu
Walijawa na utoto tu
Sasa mm blok41 utaniambia nini hko tuna kibanda cha urithi na nmekaa
Sugu alipokuwa anakuja blok41 alikuwa anakj Indianapolis hapo ht Pina alikuwa hajulikani,

Ova
 
Sasa na hiyo mistari ambayo Sugu anamsalute Pina
Ilikuwaje?
Acha hizo sugu wakati analinda Petrol station alikuwa anakaa nyuma ya mwanamboka
Sugu mwenyewe anamkubali Pina ijekuwa wewe
Sasa mbona unaandika kijuaji juaji sana bro kote juu huko umekalia kusema Sugu anamkubali Kalapina kwa sababu zamani aliimba verse mbili tatu kumsifia kwani wewe hujui kwenye maisha kuna marafiki kugombana au kutofautiana mawazo?

1999 mpaka leo miaka 27 imepita still utegemee mtu mwenye akili active kama Sugu aendelee kumkubali mvuta bangi unga na chawa wa wanasiasa uchwara?
 
Haya wale wanaosema ukiwa CCM tu ndio unatajirika mfano mzuri ni huyu mwana Hip Hop mstaafu Sugu a.ka Mr. Two.
 
Sasa huyo Sugu mbona anakubali flag la Pina toka enzi hizo? Nyinyi watoto wadogo ndio hamjui kitu
96 ndani ya bongo DolaSol anaimba

"Maisha ni magumu lakini cheleapina nakuwa kama yule gangstarPina"

Halafu huyo Sugu mwenyewe kwenye Nje ya Bongo 99 anaimba

"Maisha ni magumu lakini cheleapina ,nakuwa kama mchizi wangu Kalapina..."

Nyie watoto hamjui kitu kazi usnitch tu
Unajua maana ya cheleapina ? Pina mshamba tu hajui lolote
 
Sasa mbona unaandika kijuaji juaji sana bro kote juu huko umekalia kusema Sugu anamkubali Kalapina kwa sababu zamani aliimba verse mbili tatu kumsifia kwani wewe hujui kwenye maisha kuna marafiki kugombana au kutofautiana mawazo?

1999 mpaka leo miaka 27 imepita still utegemee mtu mwenye akili active kama Sugu aendelee kumkubali mvuta bangi unga na chawa wa wanasiasa uchwara?
Bora umemchana anaileta ushamba wake kama Kalapina hapa , Kalapina boya TU hata Wana block 41.hatuna time nae, kaulize Block 41 khs Kalapina utaambiwa ushamba wake wa ki maku
 
Pina ni mdg wangu
Kuanzia huyo chis,dany(rip)
Amani nk wote madg tu
Walijawa na utoto tu
Sasa mm blok41 utaniambia nini hko tuna kibanda cha urithi na nmekaa
Sugu alipokuwa anakuja blok41 alikuwa anakj Indianapolis hapo ht Pina alikuwa hajulikani,

Ova
Maskani Indianapolis,nyuma ya Kumbukumbu Shule,now Kuna shed ya parking, Kalapina alikua mshamba tu,aongei kitu,Tena boya ku rap yenyewe kafundishwa na Hashim Dogo, yeye alikua baunsa tu
 
Pina ni mdg wangu
Kuanzia huyo chis,dany(rip)
Amani nk wote madg tu
Walijawa na utoto tu
Sasa mm blok41 utaniambia nini hko tuna kibanda cha urithi na nmekaa
Sugu alipokuwa anakuja blok41 alikuwa anakj Indianapolis hapo ht Pina alikuwa hajulikani,

Ova
Indianapolis Dar es salaam, Sugu amewarusha sana hewani.
 
Back
Top Bottom