Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,490
- 108,829
Hujapitia shuruba alizopitia, angesharudisha mpira kwa kipa.Sugu namkubali, lakini wakati mwingine anatukana sana. Hii siyo nzuri.
Aendelee kuwashukuru sana wana Mbeya, ile kugombea Ubunge ilikuwa ni do or die baada ya kina Ruge kumpora mradi wa Malalia no more na wapo karibu na Mkwele wanamfanyia birthday wao, au ulikuwa bado upo kijijini?