Kalapina ampondea Sugu

Kalapina ampondea Sugu

Sugu namkubali, lakini wakati mwingine anatukana sana. Hii siyo nzuri.
Hujapitia shuruba alizopitia, angesharudisha mpira kwa kipa.

Aendelee kuwashukuru sana wana Mbeya, ile kugombea Ubunge ilikuwa ni do or die baada ya kina Ruge kumpora mradi wa Malalia no more na wapo karibu na Mkwele wanamfanyia birthday wao, au ulikuwa bado upo kijijini?
 
Hujapitia shuruba alizopitia, angesharudisha mpira kwa kipa.

Aendelee kuwashukuru sana wana Mbeya, ile kugombea Ubunge ilikuwa ni do or die baada ya kina Ruge kumpora mradi wa Malalia no more na wapo karibu na Mkwele wanamfanyia birthday wao, au ulikuwa bado upo kijijini?
Ooh! Bado nilikuwa kazuramimba. Aisee jamaa amepitia magumu ndiyo maana amekuwa mkali sana!
 
Huyo Kalapina bila kubebwa na hao vilaza ataalikwa kuperform show ipi?

Usela mavi wa kuziba jicho moja ni wa kizamani
Skupingi mkuu lakn nafikiri kuziba jicho moja sio vibaya kwakua america kuna fetty wap na africa tuna ruger wote identity yao ni Eyesight....
ila kuitumia identity ya zerosight ili uonekane umepinda ni usela wa kizamani
 
I'm sure 99% humu hawafahamu hata wimbo mmoja wa huyo Kala Pina(this includes me), huwa anasikika kwenye ugonvi na malumbano tu exactly kama yule Wakazi ambaye yeye huwa ni critic tu(which is not bad) lakini eti wanamuita artist wakati hakuna hata wimbo wake mmoja unaofahamika.
Kala Pina anafaa kwenye udaku tu.
 
Watu wengi hawajui kuwa Sugu alikuwa celebrity mkubwa bongo mwaka 1996 akiitws 2 proud. Mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 alipokuja Prof J. Kamtoa Lady Jaydee na Mr Paul baada ya kuwashirikisha kwenye album zake.
Na sugu alianzia kundi la dar young mob
Nakumbuka tamasha pale mnazi mmoja alipanda jukwaani akaimba wimbo wa "ni wapi tunakwenda" ilikuwa 97 ile kama sijakosea

Ova
 
Na sugu alianzia kundi la dar young mob
Nakumbuka tamasha pale mnazi mmoja alipanda jukwaani akaimba wimbo wa "ni wapi tunakwenda" ilikuwa 97 ile kama sijakosea

Ova
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
 
Nimemaliza kusoma comments zote, sijaona wapi sugu alipodisiwa, na sababu ya kudisiwa kwake

Ikiwapendeza, wekeni taarifa kamili ili tusome na kuelewa wote. Sio wote tunapatikana mjini Instagram
Hata mimi nimejaribu kusoma, hakuna mahali nimeona Sugu ametajwa. Huyo Kalapina kaandika katika hali ya kawaida kabisa. Bii Dis kwa Sugu itakuwa ni ya kulazimisha bila shaka.
 
Nimemaliza kusoma comments zote, sijaona wapi sugu alipodisiwa, na sababu ya kudisiwa kwake

Ikiwapendeza, wekeni taarifa kamili ili tusome na kuelewa wote. Sio wote tunapatikana mjini Instagram
Akili za kijamaa

Alitaka sugu aandae show halafu asinufaike ili aonekane real

Anaongea as if kuna mtu kafanya show bure. Isitoshe hakuna msanii aliyelazimishwa kupanda kwa stage so ukimuona mtu pale inamaanisha karidhishwa na anacholipwa

Na wengine at least wamepata heshima maaana bila hilo tamasha hawana pawa ya kuita concert na watu wakajaa
 
Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
Yes I agree with you. Sugu " Mtaani " yupo vizuri zaidi.. Msanii wa bongo anaeweza kufanya beef na Sugu kwa level za " Mtaani" ni Ney wa Mitego..
 
Back
Top Bottom