Ingekua Mwanaume ndio anampiga huyo Mwanamke,kila mtu angemsema vibaya huyo Mwanaume,hata wale wakutetea haki za Bibadamu wangetoa neno pia,
Cha ajabu hapa huyo Mwanamke anaweza kusifiwa!
Kama watu mmeshindwana si bora kuachana tu ili kila mtu aendelee na maisha yake.