Kalameni kapigwa na mkewe Uingereza

Kalameni kapigwa na mkewe Uingereza

fired

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
209
Reaction score
453
Mnaigeria kupigwa na bibi yake Uingereza


 
Ingekua Mwanaume ndio anampiga huyo Mwanamke,kila mtu angemsema vibaya huyo Mwanaume,hata wale wakutetea haki za Bibadamu wangetoa neno pia,

Cha ajabu hapa huyo Mwanamke anaweza kusifiwa!

Kama watu mmeshindwana si bora kuachana tu ili kila mtu aendelee na maisha yake.
 
Mbona wanaume wengi tu tunawapiga,kwani ni uingereza tu! Wanaume wa kisasa??
 
Back
Top Bottom