Kakobe aunga mkono UKAWA

Kakobe aunga mkono UKAWA

Kakobe siku zote ni mpiga debe wa wapinzani.

Hivi mkuu wewe sio mwananchi wa nchi hii??
Hivi kama mwananchi maoni yako unayotaka yajadiliwa BK ni yepi?
Hivi ukiwa peke yako ukitafakari huu uovu unaouteteaga hapa kila siku,roho yako huwaga haijisIkii vibaya?
Hivi unafkiri utakua mtetea maovu na uwongo siku zote za maisha yako?
Hivi unafkiri hicho unachokipata huko kwa kutetea uovu na uongo ndio kila kitu katika maisha yako?
Unafki na uwongo vitakufkisha wapi?
 
Mch.Zakaria Kakobe ameunga mkono kundi imara la UKAWA kusimamia msimamo wao wa kutorudi bungeni kama maoni ya wananchi hayatazingatiwa.Pia amewashangaa viongozi wa wengine dini kuwataka UKAWA kurudi bungeni bila kushauri namna ya kutatua mgogoro."Mbona hamuishauri CCM ijadili rasmi ya wananchi,mnawataka tu UKAWA kurudi bungeni" alisisitiza Mch.Kakobe.Source:Nipashe!

Ahaante sana Zachary Kakobe afadhali usimame upande wa waana wa khaki wanaoifanya Kazi ya sauti ya mungu. Waache viongozi wengine wa dini wanaafiki wasimame upande wa pharaoh. Wataipata hukumu atakayoipata pharaoh Siku sio nyingi. Laana yao na kushibisha matumbo yao kwa vipande vya fedha ndio mauti yao.
Go go too UKAWA. Mungu atasimama upande wetu kumwangusha pharaoh au Goliath.
 
Yeye kama kiongozi wa dini lazima awe upande wa wananchi ambao ndio upande wa Mungu.

Angekuwa upande wa wananchi basi angeisapoti CCM iliyopewa mamlaka na wananchi kuiongoza Tanzania.
Maandiko ya Mungu yanafundisha kuheshimu kila mamlaka halali iliyoko duniani. Kwahiyo Kakobe ni muhuni tu kama wahuni wenzie UKAWA.
 
Hivi mkuu wewe sio mwananchi wa nchi hii??
Hivi kama mwananchi maoni yako unayotaka yajadiliwa BK ni yepi?
Hivi ukiwa peke yako ukitafakari huu uovu unaouteteaga hapa kila siku,roho yako huwaga haijisIkii vibaya?
Hivi unafkiri utakua mtetea maovu na uwongo siku zote za maisha yako?
Hivi unafkiri hicho unachokipata huko kwa kutetea uovu na uongo ndio kila kitu katika maisha yako?
Unafki na uwongo vitakufkisha wapi?

Tulia Anko,
Kakobe siku zote amekuwa akitumia kanisa lake kufarakanisha wananchi wenye itikadi tofauti na yeye.
Tabia hii kwa kiongozi wa dini sio nzuri. Ni bora akavua joho la uaskofu na kuingia siasani kama alivyofanya Mzee Slaa.
 
ww ni kichaa huna akili, kakobe yuko sahihi na ww unga mkono ccm
 
Tulia Anko,
Kakobe siku zote amekuwa akitumia kanisa lake kufarakanisha wananchi wenye itikadi tofauti na yeye.
Tabia hii kwa kiongozi wa dini sio nzuri. Ni bora akavua joho la uaskofu na kuingia siasani kama alivyofanya Mzee Slaa.

Unamaana wale wanaoisifia serikali bila kuikosoa wako sahihi? nini majukum ya viongozi wadini kwa ujumla wake kwa serikali na raia


1. Wilium Lukuvi alimuwakilisha nani alipotuchongaanisha wakristu na waislam kanisani hivi majuzi?

2. Kakobe ni raia wa Taifa hili au hapana?

a) kama hapana ni raia wa taifa gani?

b) kama ndiyo, katiba inamhusu? kama inamhusu kwanini asitowe msimamo wake?

3. Ni sehemu gani ya Katiba ya JMT inaporuhusu viongozi wadini kuisifu serikali lakini wasikosowe?

4. Kwanini tuna viongozi wa dini ndani ya bunge la katiba wanamuwakilisha nani ccm au wananchi? kama ndivyo kakobe anatofautigani nahao?
 
Angekuwa upande wa wananchi basi angeisapoti CCM iliyopewa mamlaka na wananchi kuiongoza Tanzania.
Maandiko ya Mungu yanafundisha kuheshimu kila mamlaka halali iliyoko duniani. Kwahiyo Kakobe ni muhuni tu kama wahuni wenzie UKAWA.

1. Upande upi sio wa wananchi?

2. maoni ya serikali-3, yalikusanywa na tume yakiwemo ya wanaccm wananchigani unaowasema wewe?

3. Tume ya katiba ilipata maoni kutoka raia, vyama vya siasa na Taasisi mbalimbali na serikali-3 ndiyo matokeo

ccm imefanya utafiti au imekusanya maoni kupitia tumegani hadi useme upande wa wananchi ni wa ccm?

4. kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa tanzania-Mamlaka ya juu kabisa itatoka kwa wananchi, nimamlakagani zaidi ya watanzania unaiongelea?
 
Halafu mwaka 2010 aliwadanganya kondoo wake kuwa Mzee Slaa ni chaguo la Mungu hivyo wampe kura!

Huyu Mchungaji na waislam huwa mbali mbali,, na sio mnafiq maana huwa hafichi hisia zake,, kila siku nahisi ukakasi wa chama hiki
 
1. Upande upi sio wa wananchi?

2. maoni ya serikali-3, yalikusanywa na tume yakiwemo ya wanaccm wananchigani unaowasema wewe?

3. Tume ya katiba ilipata maoni kutoka raia, vyama vya siasa na Taasisi mbalimbali na serikali-3 ndiyo matokeo

ccm imefanya utafiti au imekusanya maoni kupitia tumegani hadi useme upande wa wananchi ni wa ccm?

4. kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa tanzania-Mamlaka ya juu kabisa itatoka kwa wananchi, nimamlakagani zaidi ya watanzania unaiongelea?

Soma kwanza comment ya mwezio niliyomjibu. Halafu kama hujui maana ya mamlaka bora ungekaa kimya!
 
Huyu Mchungaji na waislam huwa mbali mbali,, na sio mnafiq maana huwa hafichi hisia zake,, kila siku nahisi ukakasi wa chama hiki

Hisia zipi? Za kutokuchaguliwa bunge la katiba?
 
Soma kwanza comment ya mwezio niliyomjibu. Halafu kama hujui maana ya mamlaka bora ungekaa kimya!

ulichoandika ni hiki hapa chini.

quote_icon.png
By MSALANI

Angekuwa upande wa wananchi basi angeisapoti CCM iliyopewa mamlaka na wananchi kuiongoza Tanzania.
Maandiko ya Mungu yanafundisha kuheshimu kila mamlaka halali iliyoko duniani. Kwahiyo Kakobe ni muhuni tu kama wahuni wenzie UKAWA.

kwa mujibu wa maelezo hayo uliyoandika leta majibu mm sihitaji propaganda nahitaji majibu kwa mujibu wa maelezo yako nikeleweshwa nikaelewa sina maneno.

quote_icon.png
By adolay

1. Upande upi sio wa wananchi?

2. maoni ya serikali-3, yalikusanywa na tume yakiwemo ya wanaccm wananchigani unaowasema wewe?

3. Tume ya katiba ilipata maoni kutoka raia, vyama vya siasa na Taasisi mbalimbali na serikali-3 ndiyo matokeo

ccm imefanya utafiti au imekusanya maoni kupitia tumegani hadi useme upande wa wananchi ni wa ccm?

4. kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa tanzania-Mamlaka ya juu kabisa itatoka kwa wananchi, nimamlakagani zaidi ya watanzania unaiongelea?
 
Hisia zipi? Za kutokuchaguliwa bunge la katiba?


Mbona Kilain alisema Kikwete nichaguo la mungu akifaham fika anafanya dhambi kwa kudanganya umm

Lakini hakukuchaguliwa bunge la katiba je ummemsikia akisema chochote? bado unaendelea kupotosha

Unamaana ukiipendelea nakusema uwongo kuisifia ccm unapewa takrima mbalimbali kimagumashi?
 
Sio kakobe tu aliye upande wa upinzani, rejea tamko la TEC na la CCT yoote yalisimamia katika kuyaheshimu maoni ya wananchi yaliyowakilishwa na tume ya wariba. Kimsingi watu hawa wanaonekana kuwa sambamba na upinzani lakini uhalisia sii kweli kwamba wao ni upinzani l hasha. Wao ni wazlendo kwa taifa lao na kila aliye na matendo ya kizalendo yupo ama wapo nae upande mmoja. Hivyo kwa uzalendo wa ukawa kusimamia matakwa ya wananchi tofauti na manyangau sisiem kukaa upande wa kifedhuli wa kuhujumu matakwa ya umma ulio mpana ili kufanikisha matendo yao maovu hakuna mwenye akili anaeweza kuwa upande wao. Sisi raia tunasema tuko bega kwa bega na viongozi wetu walio upande wa ukawa ambao kimsingi wapo upande wetu katika kuheshimu umiiki wa tunu za taifa letu na sisi wenyewe. Wafanye wawezalo kufanya hata kama wakipitisha katiba kwa hila zao hiyo itakuwa ni katiba ya wana ccm na kamwe sisi raia tusi ccm au kuwa na chama chochote hatutakubali kamwe ituongoze. Tutapigana kufa kopona kupata katiba ya nchi iliyoridhiwa na makundi yoote.
.
 
Unamaana wale wanaoisifia serikali bila kuikosoa wako sahihi? nini majukum ya viongozi wadini kwa ujumla wake kwa serikali na raia


1. Wilium Lukuvi alimuwakilisha nani alipotuchongaanisha wakristu na waislam kanisani hivi majuzi?

2. Kakobe ni raia wa Taifa hili au hapana?

a) kama hapana ni raia wa taifa gani?

b) kama ndiyo, katiba inamhusu? kama inamhusu kwanini asitowe msimamo wake?

3. Ni sehemu gani ya Katiba ya JMT inaporuhusu viongozi wadini kuisifu serikali lakini wasikosowe?

4. Kwanini tuna viongozi wa dini ndani ya bunge la katiba wanamuwakilisha nani ccm au wananchi? kama ndivyo kakobe anatofautigani nahao?
Mkuu nondo kama hizi ndo unategemea kilaza MSALANI azijibu?Yule hana upeo kiasi hiki mkuu.
 
Una uhakika gani kama Kokobe anafanya hivyo kwa utashi wake mwenyewe? juzi juzi tu hapa alikuwa analia lia na kumuandikia rais waraka kisa hakuchaguliwa kwenye bunge la katiba!

Kwasababu alitaka akawakilishe maoni ya wananchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom